Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 698
Nimekusoma mzee!
Yeah, Iniesta, Xavi na Messi ni utatu mbaya sana mkuu. ManU wamekamatwa katikati, midfield yao haioni mpira sababu ya hao jamaa watatu....especially Xavi na Iniesta. Wanajaua kumiliki mpira, na wakipoteza wanakaba haraka.!