FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Msumari wa mwisho toka kwa Messi:

lionel_messi_gt_1411505i.jpg


barca_fans_get_1411470i.jpg
 
Kufungwa kubaya Mtani wee muuliza nanihii hapa....!

ha ha haa...

nakweli! ...Belo, Nziku, Manda, Saikosisi, Mtaalamu wapo wapi na wana hali gani jamani? ...hatari, game kama hizi kuna watu roho zishaacha mwili!

Ab-Tichaz sasa tuletee mapicha mazee, wiki nzima kusherehekea ubingwa wa Barca mpaka Icadon azoee!
 
Poleni ManU. The best team of the day WON!!! there is always next time!!
 
ha ha haa...

nakweli! ...Belo, Nziku, Manda, Saikosisi, Mtaalamu wapo wapi na wana hali gani jamani? ...hatari, game kama hizi kuna watu roho zishaacha mwili!

Ab-Tichaz sasa tuletee mapicha mazee, wiki nzima kusherehekea ubingwa wa Barca mpaka Icadon azoee!


Congrats to Barca and consolation to Manure!!!!!!!!!!! quintuple dream is over and out...
 
wakuu mie nashangilia hapa JF maana uku kashori kamoja ni man u kwa hio inabidi nisikitike nako.......
 
Congrats to Barca and consolation to Manure!!!!!!!!!!! quintuple dream is over and out...

walishasahau huo msamiati wao siku nyingi!! ulikuwa mwaka wao mzuri, lakini uzuri wa mpira ni kwamba kuanzia hapo, ni historia, leta msimu mwingine sasa!!
 
ha ha haa...

nakweli! ...Belo, Nziku, Manda, Saikosisi, Mtaalamu wapo wapi na wana hali gani jamani? ...hatari, game kama hizi kuna watu roho zishaacha mwili!

Ab-Tichaz sasa tuletee mapicha mazee, wiki nzima kusherehekea ubingwa wa Barca mpaka Icadon azoee!


Yasijekuwa yale ya jamaa M-jaluo wa Nairobi...!!!!!
 
...usijali bana, mngeshinda mngekuwa na kelele miiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!...

Ni kweli Man Utd wakishinda hapakaliki..

Messi's goal was magnificent, siwezi kulisahau hilo!..

Majira mema popote ulipo..Bye for now
icon9.gif
 
Ni kweli Man Utd wakishinda hapakaliki..

Messi's goal was magnificent, siwezi kulisahau hilo!..

Majira mema popote ulipo..Bye for now
icon9.gif

...ohoooooo, yale yale kama mzee masa,....

Mpwa, tafadhali muangalie BJ bana,...anahuzunika sana masikini.
 
wakuu mie nashangilia hapa JF maana uku kashori kamoja ni man u kwa hio inabidi nisikitike nako.......

Mzee inasemekana ulikuwa umezama maeneo kwa dakika zote 90 za mchezo!
 
Back
Top Bottom