FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hey cules.

Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.

Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.

Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency

Ikitokea tunacheza nusu fainali na Atletico kuna uwezekano mkubwa sana wa kutoboa fainali.

Vipi maoni yenu cules wenzangu ikitokea tumetoboa mpaka fainali?
 
Hey cules.

Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.

Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.

Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency

Ikitokea tunacheza nusu fainali na Atletico kuna uwezekano mkubwa sana wa kutoboa fainali.

Vipi maoni yenu cules wenzangu ikitokea tumetoboa mpaka fainali?
Mtakutana na Madrid na mtapigwa kama ngoma.
 
Mtakutana na Madrid na mtapigwa kama ngoma.
Tatizo sio kukutana na Madrid final.

Tatizo huyo Madrid atatoboa Etihad.

Nafkiri uliona alivyopelekewa moto na akafosi sare bernabeu

Ana kazi kubwa sana muhispania mwenzetu ya kumzuia Pep.
 
Hey cules.

Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.

Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.

Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency

Ikitokea tunacheza nusu fainali na Atletico kuna uwezekano mkubwa sana wa kutoboa fainali.

Vipi maoni yenu cules wenzangu ikitokea tumetoboa mpaka fainali?
Mimi toka draw inapangwa nilivyoona tu path yetu kuna Dortmund/Atleti/PSG i saw the possibility to reach the final,Why? quality ya hizi team na team yetu hatuachani sana.Barca watu wanaichukulia poa but believe this team Ina quality ya ku battle na team yoyote Ile ulaya,mtu anaesema Barca ana form mbaya aniambie toka Xavi atangaze kuondoka ,lini imepata worse results/performance?. Game ya PSG still Bado ipo open,but haitakua rahisi kwao kutoboa kwenye atmosphere yetu. Tukimtoa PSG. still Atleti/ Dortmund sio threat kwetu.Simeone tu kashapigwa san na Xavi,so nafasi kubwa tu tunayo.
 
Hey cules.

Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.

Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.

Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency

Ikitokea tunacheza nusu fainali na Atletico kuna uwezekano mkubwa sana wa kutoboa fainali.

Vipi maoni yenu cules wenzangu ikitokea tumetoboa mpaka fainali?
Based on our previous achievement personally ntakua surprised.Lakini Kutokana na quality na form tuliyonayo sitakua surprised kabisa na itakua proper farewell Kwa Xavi.
 
Kikosi kitachoivaa PSG leo[emoji123]
READY TO COLOR EUROPE[emoji837][emoji838]
VISCA ÉL BARCA
[emoji2522]. Montjuic Stadium
[emoji3496].10:00 PM
 
Kikosi kitachoivaa PSG leo[emoji123]
READY TO COLOR EUROPE[emoji837][emoji838]
VISCA ÉL BARCA
[emoji2522]. Montjuic Stadium
[emoji3496].10:00 PM
20240416_140426.jpg
 
Back
Top Bottom