FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Leo hajatoka, lete Maneno mkuu😃

kila mechi ina pressure yake, style ya uchezaji kwa timu pinzani inakua tofauti, strategy tofauti na Psychology bila kusahau ubora wa timu na hata mazingira ya mechi inakua tofauti.

Sasa kwa mechi ya PSG tulikua mbele ya goal mbili kwa aggregate, ilikua tunahitaji kushambulia kwasabab Kila goal kuingia ingezidisha tofauti ya goal kua kubwa na kuzidi kuwapa pressure PSG na wakaanza kujilinda. Hii ingepunguza wao kutushambulia

sasa kufanikisha hili ilihitajika player Kama Yamal. So kumuondoa mchezaji ambaye alikuwa threat kwa PSG katika kushambulia kama ambavyo tuliona jinsi alivyo wapa wakati mgumu katika dk 30 za mwanzo na tena ikapelea yeye kutoa assist ya goal, kwa kweli wasn’t the right call for Xavi aisee, hapa alizingua.

Yamal angeweza kusababisha matatizo mengi kwa PSG, hata Nuno Mendes analijua hili. Barca walipungua nguvu katika offence kwasabab Yamal hakuwepo bcoz dogo anaweza kucheza chenga, kutawala mpira, kupiga pasi na kutengeneza nafasi, Lamine Yamal ana uwezo wa kucheza kama mshambuliaji wa kati, kiungo mkabaji au winga ambayo ndo nafasi yake kwasasa na hasa upande wa kulia, pia anaweza kushuka nyuma kusaidia katika defense. So sikuona sababu ya Xavi kumtoa kwa
kweli.
 
Nyakati ngumu hazidumu, we'll come back stronger to reclaim our lost throne.
Lost throne ipi labda?

1. UCL
Barca 5
Madrid 14, la 15 linakuja soon

2. LA LIGA
Barca 27
Madrid 35, la 36 linakuja

3. CLUB WORLD CUP
B 3
RM 5 + 3 ya intercontinental cup, jumla 8

4. EUROPEAN SUPER CUP
B 5
RM 5

5. COPA DEL REY
B 31
RM 20

6. SUPER CUP
B 14
RM 13

Kama throne unamaanisha COPA DEL REY hapo sawa
 
Woza
20240429_215004.jpg
 
Timu yetu ya wanawake imetuwakilisha vema fainali ya UEFA ya wanawake.
 
Tukiachana na kile kipigo cha 8-2, hata kwenye hii sub ambayo ilienda kumnyima ubingwa Messi alihusika, yeye ndio alimshauri Joachim Low amtoe Klose na kumuingiza Gotze... kwa hiyo jamaa amewaachia kumbu kumbu mbaya ambazo hazisahauliki mashabiki wa Barcelona mara mbili
1717103694819.jpg
 
Mwakani tukichukuwa tena UEFA tutawakabidhi na nyie maana sasa mmechoka kushabikia clubs nyingine zikicheza na MADRID kwenye final za UCL. ONGEZENI UKUBWA WA MAKABATI YENU TUTAWALETEA KOMBE NA NYIE
 
Back
Top Bottom