Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujidanganya.Hii timu haina mashabiki
Japo jana imeifundisha madrid how to play football
Tupo....sema hatuna kelele kelele wala fujo wala kubishana...tupo na barca yetu tuna enjoy kimya kimya na mda mwingine ndo kama hivyo tunaumia kimya kimya....kama Mimi mashabiki wengi wa barca naowajua hawanaga kelele. Just enjoy footballHii timu haina mashabiki
Japo jana imeifundisha madrid how to play football
Mashabiki wa Barca au wa Messi?[emoji28]Tupo....sema hatuna kelele kelele wala fujo wala kubishana...tupo na barca yetu tuna enjoy kimya kimya na mda mwingine ndo kama hivyo tunaumia kimya kimya....kama Mimi mashabiki wengi wa barca naowajua hawanaga kelele. Just enjoy football
Hao hawakua mashabiki wa Barca...hao walikua mashabiki wa messi kama ulivyosema. Mimi naongelea mashabiki wa Barca.Mashabiki wa Barca au wa Messi?[emoji28]
Mbona wakati wa messi kelele zilikua mingi sana humu na nje
Achana nae huyo madridista.Hao hawakua mashabiki wa Barca...hao walikua mashabiki wa messi kama ulivyosema. Mimi naongelea mashabiki wa Barca.
Halafu ngoja nikuambie kitu, kipindi kile kulikua na uMessi na uRonaldo...so watu hawakua wanashangilia Barca Bali Messi ama Ronaldo ili wabishane
Unafikiri ukisema hivyo hasira za kufungwa tano ndo zitaisha!Mashabiki wa Barca au wa Messi?[emoji28]
Mbona wakati wa messi kelele zilikua mingi sana humu na nje
Kabisa yaani wakicheza na timu nyingine wanakuwa wabovu sanaWakicheza na madrid
Hii timu haina mashabiki
Japo jana imeifundisha madrid how to play football
Huo ubovu sana ni kwa sababu wako number three kwenye msimamo wa ligi?Kabisa yaani wakicheza na timu nyingine wanakuwa wabovu sana
Kumbuka walikuwa wanaongoza ligi Kwa gap la point 9Huo ubovu sana ni kwa sababu wako number three kwenye msimamo wa ligi?