Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unasema kiboya? Safari ya Villareal ilianza kufanya surprise kwenye mechi dhidi ya Atalanta walikuwa away ila walichofanyiwa Atalanta hawakuamini na hawa wahuni. Imekuja kwa Ajax wengi walichukulia kwamba Ajax watapita lakini imekuja kutolewa na sasa timu ambayo ilitegemewa kucheza fainali msimu huu nayo wamefanyiwa surprise na hawa VillarealImetolewa kiboya sana
Daahh, kweli mkuu.Kwanini unasema kiboya? Safari ya Villareal ilianza kufanya surprise kwenye mechi dhidi ya Atalanta walikuwa away ila walichofanyiwa Atalanta hawakuamini na hawa wahuni. Imekuja kwa Ajax wengi walichukulia kwamba Ajax watapita lakini imekuja kutolewa na sasa timu ambayo ilitegemewa kucheza fainali msimu huu nayo wamefanyiwa surprise na hawa Villareal
Kabisa yaaniNi wakati sasa wa kuwa na Uzi maalumu kwa ajili ya miamba hii ya Bundesliga
Karibuni
Peleka timu yako ukakione cha Moto
Moja ya vitu nakumbuka kwenye hiyo fainali ni team captain wa timu zote mbili huku Steffen Effenberg na Gaizka Mandieta. 🔥🔥🔥Nakumbuka 2001 wanamtoa Man Utd robo fainal kwa 3 - 1 (win home and away), nusu fainal Real Madrid anakufa kwa 3 - 1 (win home and away), Giovani Elber akiwa ni moja ya hatari kwenye hizi game lakini timu ya taifa hayumo.
Fainali Valencia anakufa kwa matuta, baada ya hapo upepo ukakata UEFA.
Ile mijamaa ilikuwa hatari sana.