tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
umeelewa kile kimetajwa hapa au unaongea tuHiyo ni bajeti ya Wizara ya fedha siyo bajeti ya taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeelewa kile kimetajwa hapa au unaongea tuHiyo ni bajeti ya Wizara ya fedha siyo bajeti ya taifa!
pls kuwa unakuywa maziwa baada ya kuvuta ile kitu , chadema wanapata ruzuku wapi, wewe itaungua pressure high blood kwa chuki zako dhidi ya cdmWizara ya fedha ndio inalipa mishahara na ruzuku ya Chadema usishangae matumizi ya kawaida kuwa makubwa hivyo bwashee!
wana ccm ni wale walekuhusu ruzuku ipo wazi chama kimesema mara kadhaa kuwa hakipoekei na hakitarajii kupokea ruzuku.
Hivi huko CCM huwa mnajipa muda wa kufikiri kwa kutumia akili zenu kweli??
Kabla ya kukurupuka ungeingia tovuti ya bunge au wizara ya fedha utaikuta hotuba nzima na mchanganuo wake
Hii ni abajeti ya mwaka 2020/21
, Wizara ya Fedha na Mipango inaomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi trilioni 12.39 kwa mafungu yote saba (7) kwa ajili ya matumizi ya kawaida na maendeleo. Kati ya kiasi hicho, shilingi trilioni 11.73 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shilingi bilioni 659 kwa ajili ya matumizi ya maendeleo. Kati ya matumizi ya kawaida, shilingi trilioni 10.48 kwa ajili ya deni la Serikali, shilingi bilioni 750.29 matumizi mengineyo na shilingi bilioni 510 kwa ajili ya mishahara na marekebisho ya mishahara. Aidha, matumizi ya maendeleo yanajumuisha shilingi bilioni 624.7 fedha za ndani na shilingi bilioni 34.61 fedha za nje.
Nenda kajifunze public finance utapata picha kubwa kuhusu hilo unaloongea, iko hivi kila mwaka serikali inakopa fresh debts ili kulipa deni la nyuma, kwa mantiki hiyo deni haliwezi kupungua zaidi ya kuongezeka babu, yaani unadaiwa shing 100 unaenda kukopa 50+riba ili ukapunguze deni la shing 100 je ktk mtririko huo deni litapungua au litazidi kupanuka.Sh. Trillion 10.48 kwaajiri ya deni la serikali/taifa... Hizi pesa ni nyingi Sana kulinganisha na ujumla wa bajeti kuu ya wizara zote....
Kama pesa zote hizo zinalipa deni ingekuwa deni linapungua kuliko sasa kuongezeka... Miaka mitatu tu ingepunguza nusu ya deni la taifa...
Hizi bajeti ni tarakimu tu tofauti na uhalisia...
Ni bajeti mbinuko, halafu bajeti mbonyeo ndio onayosaipport maendeleao kwa asilimia lubwa, sema safari hii naona imekua kinyume kidogo
madawa,mishahara,umeme,vifaa tiba,mafunzo,kadha kwa kadha ndo maana bajeti ya matumizi ya kawaida huwa kubwa.Matumizi ya kawaida ni lazima yawe juu sababu kuna mishahara, running cost mbalimbali na mambo kibao hapo sishangai sn, tatizo lipo hapo kuwa fedha za maendeleo hata hiyo kidogo hazitolewi zote
Watu wengi hawaelewi maana ya fedha za miradi, miradi ni majengo, barabara, maji, umeme n.kmadawa,mishahara,umeme,vifaa tiba,mafunzo,kadha kwa kadha ndo maana bajeti ya matumizi ya kawaida huwa kubwa.
Mkuu sikuelewi!View attachment 1812485
BAJETI ina matumizi mengi ya kawaida kuliko Matumizi ya maendeleo ya nchi?
Hivyo kweli tutaendelea
nchi yetu kiuchumi? Bajeti aliyotoa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu ili ipitishwe na Wabunge ni bajeti mbaya haifai kupitishwa Wabunge.
Tunamuomba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu atueleze Shilingi Trilioni 11.93 zitatumika kwa ajili ya Matumizi yapi ya kawaida? Wakati pesa aliyoweka ya Maendeleo ni ndogo sana Shilingi Trilioni 1.02.
Maendeleo gani yatakayoweza kuifanikisha Tanzania kwa Pesa ya Shilingi Trilioni 1.02.? Hebu atufafanulie zaidi Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu.
Mkuu umekopa kahela ka mboga kinoma njoo pm nikupe mzigo wa maana kwa liba ndogo sanaKwani kukopa ni tatizo?
Kikubwa pesa ifanye ilichokusudiwa.
Mie nimekopa 35M kwa ajili mradi wangu na umekamilika, mbona hata sijutii?
Wewe mbona una akili ya panzi sana, kwako chama ni Chadema tu hujui kwamba hii nchi ina vyama zaidi ya ishirini. You're very useless in this forum.Wizara ya fedha ndio inalipa mishahara na ruzuku ya Chadema usishangae matumizi ya kawaida kuwa makubwa hivyo bwashee!
Maendeleo mtaysikia kwa majiraniView attachment 1812485
BAJETI ina matumizi mengi ya kawaida kuliko Matumizi ya maendeleo ya nchi?
Hivyo kweli tutaendelea
nchi yetu kiuchumi? Bajeti aliyotoa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu ili ipitishwe na Wabunge ni bajeti mbaya haifai kupitishwa Wabunge.
Tunamuomba Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu atueleze Shilingi Trilioni 11.93 zitatumika kwa ajili ya Matumizi yapi ya kawaida? Wakati pesa aliyoweka ya Maendeleo ni ndogo sana Shilingi Trilioni 1.02.
Maendeleo gani yatakayoweza kuifanikisha Tanzania kwa Pesa ya Shilingi Trilioni 1.02.? Hebu atufafanulie zaidi Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu.