greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Leo nimekumbuka Babati mkoani Manyara,
Punde baada ya kumaliza chuo
,siku ambayo nilipatiwa Millioni 2 kama malipo ya tenda....Nilijikuta kama Bill Gates vile.
Punde baada ya kumaliza chuo
,siku ambayo nilipatiwa Millioni 2 kama malipo ya tenda....Nilijikuta kama Bill Gates vile.
- Natembea barabarani kwa kuvimba
- Napiga thamani fedha ya kila kitu nachokiona njiani.
- Nafika kwenye mgahawa naagiza tu wala sitaki kujua bei.