Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
8'8 tena mbona mbali pote kulenjoo nanenane nikutunze ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8'8 tena mbona mbali pote kulenjoo nanenane nikutunze ๐๐๐
Million 5 eeeeh sikulala om kua ntavamiwa.Leo nimekumbuka Babati mkoani Manyara,
Punde baada ya kumaliza chuo
,siku ambayo nilipatiwa Millioni 2 kama malipo ya tenda....Nilijikuta kama Bill Gates vile.
IIlikuwaje kwa mara ya kwanza uliposhika hela yako kubwa.
- Natembea barabarani kwa kuvimba
- Napiga thamani fedha ya kila kitu nachokiona njiani.
- Nafika kwenye mgahawa naagiza tu wala sitaki kujua bei.
Kumbe JF kuna maskini kiasi hiki.Million 5 eeeeh sikulala om kua ntavamiwa.
www.jamiiforums.com
Ndio masikini mwenzangu.Kumbe JF kuna maskini kiasi hiki.
Natania bana
Usi catch feelings asee mimi enyewe sijaai kushika one meterNdio masikini mwenzangu.
Natania bana
Pole mwayaUsi catch feelings asee mimi enyewe sijaai kushika one meter
Chapisho la hisia na maono kwa watanzaniaโบ๏ธ๐๐พHela yangu ya kwanza kubwa ni 80000/= ilikuwa ni posho kule JKT๐ฐ nilifurahi. Kwakweli familia nyingi za kitanzania hasa sisi tuliotoka kaya za kawaida labda ushike ya ndugu ila kama ya mtu binafsi tofauti na mshahara bado sana. Ndio maana tunajipambania hadi kwenye majukwaa ya mashindano kujitafutia riziki kupitia mitandao iliyochangizwa na dunia ya kidijitali. Kama hutojali ndugu yangu nisaidie kunipigia kura kwa kusoma chapisho langu kwa kugusa hapa chini๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ
SoC04 - Tanzania tuitakayo: rasilimali watu kwenye ulimwengu wa sayansi na teknolojia
Tanzania ni nchi iliyojaliwa kudumisha amani ya muungano wa nchi ya Tanganyika na Zanzibar tangu tarehe 26 Aprili, 1964 barani Afrika na kubarikiwa rasilimali za kipekee kutoka kwa mwenyezi Mungu zenye tija ya maendeleo. Mfano: madini ya tanzanite. TANZANIA TUITAKAYO miaka 5-25 ijayo. Si rahisi...www.jamiiforums.com
Doh....Million 5 eeeeh sikulala om kua ntavamiwa.
MaisakaBabati sehemu gn napajua huko Kwa kiasi flan
Huo mkopp uliupataje pataje...Nauwinda sanaMkopo wa hazina ule million 10 ila Unapewa 9.6 laki nne eti ndo tiba.. Nilijiita mfumo nilikula maisha pia nikafanya vya kufanya. Poleni... Nikaja Tena kupata kazi ya million 6.. RAHA HAHAHAHAHAHA
Sijui wizara nyingine ila kwetu maji huwa kila mwakaHuo mkopp uliupataje pataje...Nauwinda sana
Ni aibuDoh....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]njoo nanenane nikutunze [emoji23][emoji23][emoji23]