greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Milion 20 nilipata kwenye ule mgao wa Escrow account nikiwa usingizini, na sikupata hisia zozote za tofauti.Leo nimekumbuka Babati mkoani Manyara,
Punde baada ya kumaliza chuo
,siku ambayo nilipatiwa Millioni 2 kama malipo ya tenda....Nilijikuta kama Bill Gates vile.
IIlikuwaje kwa mara ya kwanza uliposhika hela yako kubwa.
- Natembea barabarani kwa kuvimba
- Napiga thamani fedha ya kila kitu nachokiona njiani.
- Nafika kwenye mgahawa naagiza tu wala sitaki kujua bei.
Mh...Hii kali
Mimi kwangu ilikuwa zaidi ya Mboga.Hela ya mboga in Prof voice.
Generation Z ya kwetu hiyo...Nilivyopata pussy nyeupe nilifarijika sana
Upo kama mimi mkuu ila pesa yangu kubwa kupata ilikua boom nakumbuka la kwanza nilisain sikupata la pili likaungana na la kwanza 1.2mMi hata nikishika shi ngapi najishangaa huwa si shtuki hata kidogo...
Buku jeroLeo nimekumbuka Babati mkoani Manyara,
Punde baada ya kumaliza chuo
,siku ambayo nilipatiwa Millioni 2 kama malipo ya tenda....Nilijikuta kama Bill Gates vile.
IIlikuwaje kwa mara ya kwanza uliposhika hela yako kubwa.
- Natembea barabarani kwa kuvimba
- Napiga thamani fedha ya kila kitu nachokiona njiani.
- Nafika kwenye mgahawa naagiza tu wala sitaki kujua bei.
Kinyeo kama kinyeo kikatoa hewa chafuNilikenua mpaka nikajamba
Shida gani baba πππππππ Bichwa.... Nina shida
Marinda ya mwamba yatakukomaππππ Bichwa.... Nina shida
Hivi utafurahi mimi nikifia dodoma huku πππShida gani baba πππ
ππππππ Daaah aiseeeeMarinda ya mwamba yatakukoma
njoo nanenane nikutunze πππHivi utafurahi mimi nikifia dodoma huku πππ
Babati sehemu gn napajua huko Kwa kiasi flanBabati mkoani Manyara,