Fedha za Plea-Bargain aulizwe Balozi Mbelwa Kairuki, anajua vizuri sana

Fedha za Plea-Bargain aulizwe Balozi Mbelwa Kairuki, anajua vizuri sana

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Nakuomba Rais Samia Suluhu Hassan umeamua "kuliamsha dude" kuweka nchi yako sawa kimedani. Umekasirishwa na uporaji wa fedha zilizoitwa za "fidia kukiri kosa" au Plea-bargain Kwa kimombo. Ushauri wangu muulize Balozi Mbelwa Kairuki anazojua VIZURI sana.

Aliwahi kuhoji mahali, "Kuna hela zimeletwa hapa kwangu na nimeambiwa nizilinde ila sijui ni za nini japo zimetoka nyumbani". Samia anzia hapo.
 
Nakuomba Rais Samia Suluhu Hassan umeamua "kuliamsha dude" kuweka nchi yako sawa kimedani. Umekasirishwa na uporaji wa fedha zilizoitwa za "fidia kukiri kosa" au Plea-bargain Kwa kimombo. Ushauri wangu muulize Balozi Mbelwa Kairuki anazojua VIZURI sana. Aliwahi kuhoji mahali, "Kuna hela zimeletwa hapa kwangu na nimeambiwa nizilinde ila sijui ni za nini japo zimetoka nyumbani". Samia anzia hapo.
Mshaurini kwanza aache kuwa mwanaharakati wa dola yake yeye mwenyewe. Haitamsaidia kitu. Wanaharakati wapo, wabunge wapo, NGO's zipo, watoa misaada wapo, tume ya haki za binadamu ipo.
 
Ni vizuri lisiachwe jiwe hata moja bila ya kupinduliwa.
 
Subiri tume itakuja na majibu muda ukifika , ukweli huwa unakuja taratibu sana
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nakuomba Rais Samia Suluhu Hassan umeamua "kuliamsha dude" kuweka nchi yako sawa kimedani. Umekasirishwa na uporaji wa fedha zilizoitwa za "fidia kukiri kosa" au Plea-bargain Kwa kimombo. Ushauri wangu muulize Balozi Mbelwa Kairuki anazojua VIZURI sana. Aliwahi kuhoji mahali, "Kuna hela zimeletwa hapa kwangu na nimeambiwa nizilinde ila sijui ni za nini japo zimetoka nyumbani". Samia anzia hapo.
Mwingine anayeweza kusaidia ni Doto James
 
Nakuomba Rais Samia Suluhu Hassan umeamua "kuliamsha dude" kuweka nchi yako sawa kimedani. Umekasirishwa na uporaji wa fedha zilizoitwa za "fidia kukiri kosa" au Plea-bargain Kwa kimombo. Ushauri wangu muulize Balozi Mbelwa Kairuki anazojua VIZURI sana. Aliwahi kuhoji mahali, "Kuna hela zimeletwa hapa kwangu na nimeambiwa nizilinde ila sijui ni za nini japo zimetoka nyumbani". Samia anzia hapo.
Fedha za ununuzi wa ndege Balozi Kidata alivaa ujasiri kumuulizia Jiwe, Jiwe alimrudisha nyumbani mbio mbio, akamnyanganya ubalozi, na akafikishiwa safe house.

Tuna maswali mengi kuhusu kick back ya fedha za ununuzi wa ndege Canada,

Pia sijui kama mama alivyoenda Misri alifanikiwa kumshawishi Abdel Fatah Al Sisi arejeshe mabilioni ambayo Jiwe alikuwa akifichia huko kupitia kampuni zake zilizo subcontract katika kampuni ya ujenzi ya Misri katika mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere .


Bado uturuki na kick back ya ujenzi wa SGR
 
Mwingine anayeweza kusaidia ni Doto James
Samia ana roho ngumu sana kuendelea kumwangalia Doto James. Ilahali alimwambia kutaka kujua hesabu za kutoka date 17/3/2020 Hadi anaapishwa. Doto abanwe mapum***
 
Fedha za ununuzi wa ndege Balozi Kidata alivaa ujasiri kumuulizia Jiwe, Jiwe alimrudisha nyumbani mbio mbio, akamnyanganya ubalozi, na akafikishiwa safe house.

Tuna maswali mengi kuhusu kick back ya fedha za ununuzi wa ndege Canada,

Pia sijui kama mama alivyoenda Misri alifanikiwa kumshawishi Abdel Fatah Al Sisi arejeshe mabilioni ambayo Jiwe alikuwa akifichia huko kupitia kampuni zake za hiyo ya Misri katika mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere .


Bado uturuki na kick back ya ujenzi wa SGR
Yesu wangu mwana wa Daudi unaniua Kwa shinikizo la damu halafu ya chini. Misri???!!!
 
Utawala uliofitinika dhidi yake wenyewe kamwe hauwezi kusimama....

Mama alikuwa ndiye second in command wa wakati ule na system anaijua vyema. Nadhani yupo katika kuangalia system itakavyombeba 2025 na ni kama vile tayari yuko kwenye campaign mode akijaribu sana kufurahisha kikundi fulani ambacho anaaamini kuwa ndicho kitambakiza madarakani 2025.

Kama kweli kuna pesa zimefichwa China napata ugumu sana kuamini kuwa yeye hakujua. I think she is already limited in her capabilities to deal with this issue maana akizembea hata yeye anaweza kujikuta anachovya kidole chake kwenye matope na kuishia kuchafuka.

Wakati utasema!
 
Utawala uliofitinika dhidi yake wenyewe kamwe hauwezi kusimama....

Mama alikuwa ndiye second in command wa wakati ule na system anaijua vyema. Nadhani yupo katika kuangalia system itakavyombeba 2025 na ni kama vile tayari yuko kwenye campaign mode akijaribu sana kufurahisha kikundi fulani ambacho anaaamini kuwa ndicho kitambakiza madarakani 2025.

Kama kweli kuna pesa zimefichwa China napata ugumu sana kuamini kuwa yeye hakujua. I think she is already limited in her capabilities to deal with this issue maana akizembea hata yeye anaweza kujikuta anachovya kidole chake kwenye matope na kuishia kuchafuka.

Wakati utasema!
Niweke wazi, Samia alikuwepo utawala wa Jiwe lakini hakuwahi kushiriki uamuzi wowote wa hovyo kama hili la "Kiri-Kosa Tukuachie". Mara mbili ametaka kuachia ngazi kuepuka lawama za kifedhuli lakini wazee wa chama na mfumo wakiongozaa na Msoga na Msomali walimsihi "atulie" taabu yote itaisha. Hatimaye "taabu" ikaisha.
 
Utawala uliofitinika dhidi yake wenyewe kamwe hauwezi kusimama....

Mama alikuwa ndiye second in command wa wakati ule na system anaijua vyema. Nadhani yupo katika kuangalia system itakavyombeba 2025 na ni kama vile tayari yuko kwenye campaign mode akijaribu sana kufurahisha kikundi fulani ambacho anaaamini kuwa ndicho kitambakiza madarakani 2025.

Kama kweli kuna pesa zimefichwa China napata ugumu sana kuamini kuwa yeye hakujua. I think she is already limited in her capabilities to deal with this issue maana akizembea hata yeye anaweza kujikuta anachovya kidole chake kwenye matope na kuishia kuchafuka.

Wakati utasema!
Duh!!!?
 
ila jiwe alikuwa Rais jambazi ile mbaya jamani ..Rais anaongoza kikosi Cha uporaji alafu Kuna pimbi wanasema alakuwa Rais wa wanyonge , kweli?? Msaidi mkuu ktk hicho kikosi alikuwa jambazi Sabaya ..anatoka Hai anakuja kupora watu kule chanika dar ... Daaah acheni mungu aitwe mungu .. mtunza hazina Dotto Jemsi
IMG-20230201-WA0017.jpg
IMG-20230201-WA0015.jpg


Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Utawala uliofitinika dhidi yake wenyewe kamwe hauwezi kusimama....

Mama alikuwa ndiye second in command wa wakati ule na system anaijua vyema. Nadhani yupo katika kuangalia system itakavyombeba 2025 na ni kama vile tayari yuko kwenye campaign mode akijaribu sana kufurahisha kikundi fulani ambacho anaaamini kuwa ndicho kitambakiza madarakani 2025.

Kama kweli kuna pesa zimefichwa China napata ugumu sana kuamini kuwa yeye hakujua. I think she is already limited in her capabilities to deal with this issue maana akizembea hata yeye anaweza kujikuta anachovya kidole chake kwenye matope na kuishia kuchafuka.

Wakati utasema!

ni kichaa pekee na mwendawazimu anaweza kumuamini mtu anaehurusu mbuzi wale kwa urefu wa kamba yake!

Si alikuwa msaidizi wake?
Iwapo alijua maovu yote hayo alishindwa kujiondoa kwenye nafasi yake ili kuilinda haiba na heshima yake?

Kuna mtu alimshikia bastora kichwani kumlazimisha kuwa kwenye hiyo serikali ya wizi?

Angekuwa na busara angetulia tu coz kuendelea kusema ni kuendelea kujivua nguo mwenyewe.

Kipimo cha busara kwake.
hata mume wake wala asiongeza wake wengine!

Kwa sasa anafurahisha hicho kikundi ila kweli it’s a matter of time!
 
Nakuomba Rais Samia Suluhu Hassan umeamua "kuliamsha dude" kuweka nchi yako sawa kimedani. Umekasirishwa na uporaji wa fedha zilizoitwa za "fidia kukiri kosa" au Plea-bargain Kwa kimombo. Ushauri wangu muulize Balozi Mbelwa Kairuki anazojua VIZURI sana. Aliwahi kuhoji mahali, "Kuna hela zimeletwa hapa kwangu na nimeambiwa nizilinde ila sijui ni za nini japo zimetoka nyumbani". Samia anzia hapo.
ANAYETAKIWA KUULIZWA NA BISWALO NA DOTTO hawa ndio Wahusika WAKUU
 
Niweke wazi, Samia alikuwepo utawala wa Jiwe lakini hakuwahi kushiriki uamuzi wowote wa hovyo kama hili la "Kiri-Kosa Tukuachie". Mara mbili ametaka kuachia ngazi kuepuka lawama za kifedhuli lakini wazee wa chama na mfumo wakiongozaa na Msoga na Msomali walimsihi "atulie" taabu yote itaisha. Hatimaye "taabu" ikaisha.
Mhh
 
Back
Top Bottom