Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma

Hivi wewe Rebecca, toka uanze kutembea na wanaume ulishawahi kupewa milionimilioni ukihesabu ziwe 1600? Afu useme anajenga mazingira mazuri ili umpende, hii ni bongo, unapokua unatetea ufisadi sijui unataka kujenga taifa gani? Sasa unadhani hatukujui, umemegewa 0.00000000001 ya mlungula sasa unabaki kuhangaika humu kuwa divert watu na ukweli, njaa inakusumbua sana. Huwezi kueleweka kama kila siku bei za umeme zinapanda watanzania wanashindwa hata kuchemsha maji kwa umeme, afu watu wanagawana mipesa hjku watu wanalia, kwanini wasiwasaidie hata dawa basi au wapunguze gharama za umeme? Acha um..a wa kingese.
 


Acha matusi, nani anatumika sasa, kwahiyo mtu akiwa na mtazamo tofauti na wako anatumika?

Mkuu st. Kayumba kweli noma, nimepata shida sana kukuelewa :smile-big:. Sasa wewe inakuhusu nini kama kagawa mipesa kama njugu? Pesa za Rugemarila, kama kagawa sizakwake.
 
sina muda wa kushindana na mfu kama wewe

View attachment 204660View attachment 204661
 
Nyie kenge madoa hamtoki halafu mko wachache sana mnao jenga nyumba kwa mchanga tupu hewani!! Rudisheni hela zetu period!!
 
kweli akanye alale anataka kujiona yeye anaujua ukweli, hajui wenzake wanalia dodoma
 
Unatumika kinyume na maumbile, sasa akili zako zinafikiria kinyume na maumbile, puru lako..!!!

 
Now it is easy as pie, jamani ID ya informer ni ya Zitto Kabwe.

1.Anapenda kujitambulisha kuwa ni informer
2.Ametoa taarifa ambazo kwa namna yoyote chanzo ni chake yeye mwenyewe
3.sasa popote penye ID ya Informer ni zitto


Ok, sina kinyongo na maoni ya informer. Yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi. Kwasasa sitajibu hapa. Ingawa naona kabisa taarifa hizi zinajaribu kufunika hoja kuu ya msingi. Yaani kimantiki na kiuhalisia fedha za escrow ni za umma kwa sababu ipi? au ni za IPTL kwasababu zipi?

Naahidi kurudi na kutoa maoni yangu yasiyo na ushabiki

 
your money with who?,dai pesa za kwenu kwanza,ur money uliwasaidia kuzalisha umeme?

Leo jumapili nisingependa kuharibu siku yangu na either mtoto wa Chenge,Werema,Muhongo au Fisadi wa aina yoyote.

Ni pesa zetu zinatokana na bei kubwa ya umeme tunayotozwa na nyie manyang'au,majangili,wahujumu uchumi,wauaji wa uchumi wa taifa letu.

Soma alama za nyakati siyo wakati wake huu.Mlikulwa sana sasa ifike mwisho muadhibiwe.
 
1.Hon. A. Change 1.617bil
2.Wierina Investment Co 404Mil
3.Prof.Eudes Ruhangisa 404Mil
4.Mutabuzi & Advocates 404Mil
5.Rugonzibwa Theophil 404Mil
6.Dr.Enos Bukuku 161Mil
7.Placida Luoga 121Mil
8.Joyce Kyoba 80.8Mil
9.Hassan A.Matunga 80.8Mil
10.Eustadius Rutabingwa 80.8Mil
11.Shaban Gurumo 80.8Mil
12.Dr. James Diu 80.8Mil
13.Limbanga M Kinyero 40.2Mil
14.Hon.J.A.K. Mujulizi 40.4Mil
15.Fr.Romuald Rutagerekwa 40.4Mil
16.Philip Gerald Saliboko 40.4Mil
17.Miss Evelyin J. Rugemalira 808.5Mil
18.Alice Kemirembe Marco 80.8Mil
19.Rashid Abdallah Kupyasa 80.8Mil
20.Prof. Anna Tibaijuka 1,617Bil
21.Daniel A.N.Yona 40.4
22.Theophil Bwakea 161.7Mil
23.Steven Roman Urassa 161.7Mil
24.Paul Peter Kimiti 40.4Mil
25.Rev.Alphonce Twimaninn Ye Simon 40.4Mil
26.Bishop Method Kilaini 80.8Mil
27.Bishop Eusebius A. Nzigirwa 40.4Mil
28.Emmanuel Daniel Ole Naiko 40.4Mil
29.Fr.Hubert Rutashumururwa Rewabangira 40.Mil

Aisee List ni Ndefu nimechoka kuandika atleast hapo mtapata picha what type of People waliokula hii pesa.Jambo la kushangaza ni kwanini amount zao wengi zinaendana endana?
 
Mbona hii ni kama bado ni orodha ya Mkombozi Bank tu. Tunataka na ile ya Stanbink
 
1. Pesa za Akaunti ya ESCROW ni za umma au watu binafsi?
Duru zilizoarifiwa zina maoni tofauti. Na hivi ndivyo wanavyosema.
Kutoka Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) kwenda kwa Waziri Mkuu kuhusu ukaguzi wa Akaunti ya Escrow. “Pesa zilizomo katika Akaunti ya Escrow zaweza kuwa za umma au zaweza zisiwe za umma”.

2. Jaji Warioba: Katika mahojiano na gazeti la Raia Tanzania
“Fedha hizo ni za tozo za gharama ya uwekezaji. Hawakufika mahali ni kiasi gani, lakini kwa kuwa sasa wanakwenda kuchunguza, nina hakika mwisho itaonekana, sehemu kubwa ya fedha hizo zilikuwa ni za tozo za gharama za uwekezaji”.
“Hata hivyo wananchi wamefanywa waamini kwamba fedha zote zilikuwa za umma, huo ni mwelekeo wa kisiasa………”

3. Mwigulu Nchemba katika gazeti la Jambo Leo, Jumapili Desemba 7, 2014 amenukuliwa akisema “Bunge lilimwonea Maige” na anaendelea kusema kwamba, “hata kwa Prof. Muhongo, Tibaijuka lazima serikali iwe makini”. Mwigulu Nchemba ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, alikuwa mstari wa mbele akitaka waliohusika na kashfa ya akaunti ya Escrow wakiwemo mawaziri na wabunge wawajibishwe. Mwigulu anasema kulikuwepo na mvutano kati ya Bunge na Serikali kwani Serikali ilikuwa haiko tayari kufanya makosa kama ilivyokwisha kufanya makosa ya kuwatimua mawaziri katika sakata la Richmond na operesheni Tokomeza. Mwigulu anasema na tunamnukuu, “Hatutaki kufanya makosa tena kwa kufanya uamuzi kwa kufuata upepo badala ya uhalisia, kwani kule nyuma tumewahi kufanya hivyo na kuwawajibisha baadhi ya mawaziri bila ushahidi wala ukweli kuhusu tuhuma na kashfa zilizotokea kwenye wizara zao”.
Kwa maelezo hayo juu ni wazi kwamba suala la Escrow Akaunti lilichukuliwa kwa pupa na ndiyo maana wahusika wameanza kuhamisha nguzo za magoli.

4. David Kafulila: Maaskofu – kuhusu viongozi wa dini waliopata mgao wa fedha kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engineering and Marketing, James Rugemalira alisema anaona hawana tatizo kwa kuwa , mamlaka zao haziwezi kushinikiza au kusaidia fedha hizo zitoke. Rushwa lazima iwe na vishawishi ambavyo vinasababisha mtu/watu wafanye kitu fulani, watu wa mamlaka kwa sababu mamlaka zao kwa namna moja au nyingine zilihusika kwa mfano Jaji, waziri, viongozi wa dini hakuna sheria ambayo wao wanaweza kuipindisha ili fedha ziweze kutoka alisema.

5. Wachimbaji wadogo:walioko karibu na Buhemba wamekerwa na mpango wa baadhi ya wabunge na wanaharakati kwa kumshinikiza Rais Jakaya Kikwete amfukuze kazi Waziri Muhongo.
Wachimbaji hao baadhi yao waliojitambulisha kwa majina ya Alez Nyamenda, Mabula Miloga (mwanza), Kinapo Mtazama, Peter Haule (Ruvuma), Mwaitenda Simon (Mbeya na Liwola Mpole (Morogoro) wamesema kwamba Waziri Muhongo ni mmoja kati ya Mawaziri ‘Majembe’ katika serikali ya Rais Kikwete.

6. Muluga: Anasema kwamba Waziri Muhongo ni hodari sana wa kazi ingawa amekuwa na tabia ya kusema ukweli, hivyo kujitengenezea maadui wengi. Maneno haya ya Maluga yaliungwa mkono na baadhi ya wadau ambao walisema kwamba, Rais Kikwete asikubali kuburuzwa na baadhi ya wabunge ambao wana ajenda zao za chuki, hasira na visasi dhidi ya Waziri huyo makini.
 
Kwa nini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ameshindwa kueleza iwapo fedha hizo ni za umma au za watu binafsi? Majibu sahihi yatasaidia kupunguza jazba miongoni mwa wananchi.
 
CAG yupo sahihi. Ni mpaka wafikie muafaka kuhusu ku over charge TANESCO ndiyo ijulikane kiasi gani zinaenda kwa matepeli na kiasi gani ni za umma. Kabla ya hilo ni za umma tu.
 
Siyo za umma, ndio maana walizisomba kwenye viroba, maboksi na sandarusi pale stanbinc bank. MOFO!!
 
Kwa nini Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ameshindwa kueleza iwapo fedha hizo ni za umma au za watu binafsi? Majibu sahihi yatasaidia kupunguza jazba miongoni mwa wananchi.
Mna kazi ya kujisafisha, mama Tiba nae anapitapita huko kujisafisha. Once a traitor, always a traitor.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…