Fedheha: Marekani imeilipa Urusi bilioni mbili za Ruble ili mwanaanga wa Kimarekani aweze kurejeshwa duniani na chombo cha Urusi

Fedheha: Marekani imeilipa Urusi bilioni mbili za Ruble ili mwanaanga wa Kimarekani aweze kurejeshwa duniani na chombo cha Urusi

Hii ni fedhea ya Hali ya juu Sana kwa kwa wale walioamini USA Ni super power[emoji28]
Propaganda zimefika mwisho.
Hakuna marefu yasiyo na ncha,
Mbio za sakafuni huishia ukingoni,
Kumbe Urusi masikini inategemewa namna hii na matajiri Hadi supa pawa?

Daladala USA kwenda angani -urusi.
Uranium ya umeme wa USA - Urusi.
Injini za roket za USA - Urusi.
Mbolea za mashamba ya USA - Urusi.
Mafuta kwa USA - Urusi.
Gesi ulaya - Urusi.
Da Kuna mtu atakuambia Urusi njaa tuu,Urusi msikini,Urusi hamna kitu.
Watu walilishwa propaganda kuliko chakula.
 
Aisee [emoji38][emoji38][emoji38]

Aibu kubwa Sana ,Hawa wezi kuja hapa , hao mara nyingi Huwa Wana aminishwa na media zao kuwa Russia Hana uwezo wowote hata uchumi wake ume paralaizi ,[emoji38][emoji38]
Msemo mpya umefanya kazi"Wacha inyeshe tuone panapovuja".
Tumeshapaona.
Najua west na pro west wanaumia kweli kwa habari kama hizi
 
Aisee [emoji38][emoji38][emoji38]

Aibu kubwa Sana ,Hawa wezi kuja hapa , hao mara nyingi Huwa Wana aminishwa na media zao kuwa Russia Hana uwezo wowote hata uchumi wake ume paralaizi ,[emoji38][emoji38]
Uwezo mkubwa alikua nao Urusi kwenye masuala ya anga,ndio angekua nao rohombaya marekaniMrusi .
1)angekua ni mwanaanga wa Urusi angeachwa.
2)wamarekani wasingeshirikia kabisa na Urusi ili Urusi isifanikiwe au kujifunza chochote kuhusu space.
3)Dunia ingepata shida sana,maana mitambo yote iliyoko angani ingewza kuwa inalipishwa Kodi na Marekani.

Marekani ni wachoyo sana na Wana roho mbaya.
Kwa Nia ya kumiliki TU kitu tofauti Urusi aliwahi kutaka kununua mistrial ship Carrier ya kubebea helcopter kutoka Ufaransa.
Ufaransa ikakubali mauziano,Urusi ikalipa na Hela.
Marekani kusikia hivyo ikaenda kumuambia Ufaransa aache mara moja Dili hilo kwa sababu Urusi atapata technolojia ya meli hiyo.
Aisee Ufaransa alisitisha mkataba na Hela akarudisha.kibaya zaidi kwa mujibu wa mkataba ilibidi Ufaransa amlipe Urusi zaidi kwa kuvunja mkataba.

Urusi ilisema Ina uwezo wa kutengeneza meli kama hiyo ila sema ilitaka TU kununua toka ufarasa kama zifanyavyo nchi nyingine.
Marekani roho mbaya sana.
 
Ha
Yule jamaa yao wa SPACE-X nae alishindwa kutoa pande ili huyo mwanaanga wa US arudi home salama au ndio mbwembwe tu za TWITTER
Mbwembwe tu , waweza kukuta hata huo utajiri Alionao umekuzwa mara 3 yke [emoji91][emoji38]
 
Propaganda zimefika mwisho.
Hakuna marefu yasiyo na ncha,
Mbio za sakafuni huishia ukingoni,
Kumbe Urusi masikini inategemewa namna hii na matajiri Hadi supa pawa?

Daladala USA kwenda angani -urusi.
Uranium ya umeme wa USA - Urusi.
Injini za roket za USA - Urusi.
Mbolea za mashamba ya USA - Urusi.
Mafuta kwa USA - Urusi.
Gesi ulaya - Urusi.
Da Kuna mtu atakuambia Urusi njaa tuu,Urusi msikini,Urusi hamna kitu.
Watu walilishwa propaganda kuliko chakula.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watu walilishwa propaganda sana
 
Uwezo mkubwa alikua nao Urusi kwenye masuala ya anga,ndio angekua nao rohombaya marekaniMrusi .
1)angekua ni mwanaanga wa Urusi angeachwa.
2)wamarekani wasingeshirikia kabisa na Urusi ili Urusi isifanikiwe au kujifunza chochote kuhusu space.
3)Dunia ingepata shida sana,maana mitambo yote iliyoko angani ingewza kuwa inalipishwa Kodi na Marekani.

Marekani ni wachoyo sana na Wana roho mbaya.
Kwa Nia ya kumiliki TU kitu tofauti Urusi aliwahi kutaka kununua mistrial ship Carrier ya kubebea helcopter kutoka Ufaransa.
Ufaransa ikakubali mauziano,Urusi ikalipa na Hela.
Marekani kusikia hivyo ikaenda kumuambia Ufaransa aache mara moja Dili hilo kwa sababu Urusi atapata technolojia ya meli hiyo.
Aisee Ufaransa alisitisha mkataba na Hela akarudisha.kibaya zaidi kwa mujibu wa mkataba ilibidi Ufaransa amlipe Urusi zaidi kwa kuvunja mkataba.

Urusi ilisema Ina uwezo wa kutengeneza meli kama hiyo ila sema ilitaka TU kununua toka ufarasa kama zifanyavyo nchi nyingine.
Marekani roho mbaya sana.
Wana roho mbaya sana Hilo kiki wazi wanataka wao tu ndio wanufaike
 
"sisi wamarekani wa buza kwa mpalange hatujakubalina na suala hili" limesikika jinga moja likitoa kauli hii baada ya kushiba wali maharage
 
Back
Top Bottom