Fedheha: Marekani imeilipa Urusi bilioni mbili za Ruble ili mwanaanga wa Kimarekani aweze kurejeshwa duniani na chombo cha Urusi

Yaani wabongo, dah! πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† kwamba tuko busy tunacheka Mmarekani mmoja kupewa lifti, ilhali Warusi wenyewe wapo kimya. Na kwahiyo tayari tunaamini kwasababu Mmarekani anadandia lifti za Urusi basi sasa Mrusi ndio Supa pawa wa dunia au sio? 🀣🀣🀣 Well, tuendelee kumuombea Mrusi - huenda kuna muujiza utatokea ambao utafanya ndoto zake za miaka mingi (Za kumpindua US) ziweze kutimia.

Mwenye nguvu muite pawa, usione aibu. Hii ni Orodha ya nchi wababe wa dunia ya mwaka huu 2022.
 
Space exploration ni moja ya eneo muhimu sana katika future ya binadamu. Sio mrusi, mpare wala muisrael, bali binadamu. Nawapongeza USA kwa kutotanguliza kiburi na kujishusha ili binadamu arudi duniani salama.
 
Sorry,,,Kuna kaskendo kuwa Urusi anauwezo wa kufunga/kuzima anga Zima(mawasiliano) duniani na amezichezea bank kadhaa pesa badala ya kwenda sehemu husika anazipeleka anakojua yeye,,,,unakopita huko ukizipata zidondoshe hapa!
 
Miaka yote Marekani anatumia vyombo vya Urusi kwenda anga za mbali hiyo haina ubishi na mpaka kipindi cha mwanzo wa Vita ya Urusi na UKRAINE wamarekani na warusi walisafiri pamoja kwenda anga za mbali kwa chombo cha Urusi
Siyo tu hivyo hadi Injini zote za vyombo vya kwenda anga za mbali vya usa [emoji631] vinanunuliwa kutoka Urusi, marekani iliacha kuunda injini baada ya kuwa zinalipuka marakwa mara tofauti na zamrusi hivyo kutegemea za kuuziwa na russia
 
Fedhea ya nini?...unaelewa nini wewe mbantu kaa chini kula ugali wako ukalale manati tu hujawahi kushika nyau
 
Space exploration ni moja ya eneo muhimu sana katika future ya binadamu. Sio mrusi, mpare wala muisrael, bali binadamu. Nawapongeza USA kwa kutotanguliza kiburi na kujishusha ili binadamu arudi duniani salama.
Naunga mkono hoja: kwenye suala la anga za juu mpaka sasa hakuna taifa linaloweza kujitegemea kwa 100%, na kwa kujua hilo ndio maana wanaendeleza ushirikiano kwenye eneo hilo licha ya tofauti zao kwenye maeneo mengine. Ingekuwa kama tunavyodhani, basi Urusi wangeweza kukataa kushirikiana na Marekani, lakini tangu mwaka 1975 mpaka leo kila upande unamuhitaji mwenzake.
 
"sisi wamarekani wa buza kwa mpalange hatujakubalina na suala hili" limesikika jinga moja likitoa kauli hii baada ya kushiba wali maharage
Ujui kitu usa [emoji631] anategemea injini za mrusi kwenye Maroketi yake ya kwenga anga za mbali hii ilikuwa hivyo baada ya mara kwa mara maroketi ya kimarekani kuwa yanalipuka na hata kuua wana anga baada ya kurusha na hivyo injini za roketi za mrusi silikuwa bora kisayansi hapo ndipo marekani akawa ana nunua hizo injini kutoka urusi ....kama miezi 8 hivi kulikuwa na kelele marekani kuwa kwanini wasijitaidi kuunda injini zao wenyewe zilizo madhubuti kama za urussi
 
USA ni mbwembwe hata vita adiapate washirika peke yake hawezi labda mataifa ya AFRICA.
 
Ufaulu tz umeongezeka,. tutajengaga za kwetu, TU.
Hivi hamna TO aliyegundua jambo la kusaidia kampuni letu hili(tz)
 
kuna kitu nimejifunza kuhusu siasa za kimataifa.....!

Kwangu mimi nitaazimia kutumia staili ya Urusi ktk mambo yangu......

wacha watu wakubagaze, wacha watu wajitape...... uwezo wako na vile ulivyonavyo BAKI KIMYA NA FUMBA MDOMO...... WATAONA WENYEWE......

Wacha watengeneze data feki za wao kuongoza ktk mambo mbalimbali na kuonyesha huwezi chochote..... LAKINI UWEZO ULIO NAO NI WA KUJIVUNIA
 
mnakosea. Tafuteni taarifa kwenye Source zinazoaminika siyo Gossip. Soma hapa.πŸ‘‡πŸ‘‡
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Unatulazimisha? Vumilia tu ndo ukweli huo unatabia ya kuuma ndani kwa ndani.😜😜😜😜😜😜😜😜😜
 
Haya ni mambo ya utaalamu zaidi inawezekana ,tukachangia kiushabiki Bila Kujua nini kimepelekea hadi us imediriki kumtumia Rasia katika hii mision labda logistics zilizo tumika kutengenezea hicho chombo ni kutokana Rasia na kwa usalama zaidi wakaamua kumtumia yeye Rasia ili kuhakikisha usalama wa raia wake .Hawa Hawa wanaanga wana share sana share my
mambo mengi
 
Wangemuacha tu huko Juu apigwe na Baridi mpake agande kama ice cream
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…