"Fei Salum ni kiungo bora Afrika Mashariki" asifananishwe na kina Ndemla, Mkude, Chama, Majogoro nk

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
Fei Salum ni level za kina Khama billit,Ngoma au Dieng.

Anaweza akacheza kama 8 au 10.

Anasifika kwa mashuti ya mbali, dribble na chenga za mauzi.

Amezifunga timu nyingi kama Tunisia, Madagascar Simba nk
 
Umeshiba makande, sasa unaanza kuchafua hali ya hewa.
 
Nimeandika hivi; baada ya kushiba makande ya kunde, sasa umekaa kwenye feni la pangaboy unachafua hali ya hewa.
Leta kiungo wako unaemkubali mzee acha porojo ili jukwaa la michezo.
 
Karudie kutazama mechi dhidi ya rivers ndio utajua ni wa kawaida sana.
Mechi ya Rivers niliangalia na Fei salum alitengeneza clear chance mbili kwa Makambo Ambazo zote alilenga nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…