Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Ni level ya Dieng..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini mchezaji bora akatakiwa na timu dhaifu?Utaje , ni aina gani ya kiungo . Mf ,nyanya , pilipili, kitunguu , mdarasini n.k. Lakini kama unamaanisha kiungo wa mpira, acha utani usio na faida ktk jamii .Feitoto huyu ambaye hata timu dhaifu za shelisheli , somalia na Djibouti haziwahi kumuhitaji ndiye umulinganishe na chama ?Feitoto huyu ambaye timu anayochezea inashika nafasi ya 300 katika ubora wa vilabu barani Afrika ndiye alinganishwe na chama anayecheza miongoni mwa vilabu bora kabisa barani Afrika kweli jamani?Huku sasa nikumkufuru Mungu.