Fei Toto aitwa Taifa Stars katika kikosi cha wachezaji 31

Fei Toto aitwa Taifa Stars katika kikosi cha wachezaji 31

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
1678714076407.png

Picha: Fesal Salum 'Fei Toto'

Kocha wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Adel Amrouche amemuita kikosini kiungo Feisal Salum katika michezo miwili ya kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda.

1678714301360.png

Picha: Majina ya kikosi kilichoitwa

Katika kikosi hicho cha wachezaji 31 kocha Amrouche amewaacha mabeki wa pembeni wa Simba, Mohamed Husseini na Shomari Kapombe.
 
Yanga a.k.a wala mihogo wa utopoloni walitaka kuuwa kipaji chake kwa kumkomoa asicheze. Ila naamini ataibeba nchi na kurejesha heshima yetu watanzania.
 
Kichwa cha mwendawazimu. Kapombe na shabalala bado wana mchango mkubwa sana taifa stars.
 
Wengine wapate nafasi. Twawezapata sura ngeni zenye upepo wao tukafuzu.
 
Shabalala kuachwa ni sawa na mpinzani wetu tiyari ametangulia na goli moja kabla mchezo haujachezwa😁😀
 
Kocha wa timu ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Adel Amrouche amemuita kikosini kiungo Feisal Salum katika michezo miwili ya kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Uganda.

Katika kikosi hicho cha wachezaji 31 kocha Amrouche amewaacha mabeki wa pembeni wa Simba, Mohamed Husseini na Shomari Kapombe.
Nimewaza, nimekosa majibu! Hivi alimuona wapi huyo mchezaji mtoro kwenye klabu, akicheza?
 
Kocha hana akili.

Yaani kuna wachezaji wanakaa benchi kwenye timu zao alafu amewachagua.

Yaani aingii akilini magolikipa wawili(2) wanatoka timu moja(1), hapo hakuna Kocha, ni mhuni tu amepewa timu na wahuni wenzake.
 
Back
Top Bottom