Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20230412-131605_Gallery.jpg


Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
 
View attachment 2585280

Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Akae na Yanga wamalizane, hiyo approach anayoenda nayo haitamsaidia. Au la aendelee kususa hadi mkataba utakapofikia level ya kyvunjika.
Awali nilikua namtetea sana, ila hivi sasa acha aendelee kupitia anayoyapitia
 
Mwanzoni mwa huu mgogoro Mwenyekiti wa kamati ya Haki na Hadhi za wachezaji alisema, Wakati wanasikiliza shauri Kwa mara ya kwanza Mawakili wa Yanga walitaka mchezaji aileze kamati Sababu ya Kuvunja mkataba.
Afafanue manyanyaso aliyokua akifanyiwa na Yanga labda yanaweza kuwa na mantiki.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti, Mawakili wa Feitoto walikataa Fei Toto kueleza mbele ya shauri ilo Sababu za Kuvunja mkataba ila kikao kielewe mchezaji hajaridhika na mazingira ya kazi yake.
Kamati ikawaeleza Mawakili wa Feitoto basi baada ya hoja za pandembili kusikilizwa, Watamuita Fei Toto chemba na kumsikiliza ila maelezo atakayo yatoa hayata tumika kama kielelezo Cha kesi.

Mawakili wa pande zote wakakubaliana na hoja iyo.
Kamati ilimsikiliza na Mwishowe wakatoa maamuzi Waliyo yatoa.

Kwasasa Feitoto Hana hoja mpya ya Msingi na Kamati ndio ileile na majibu yatakua ndio yaleyale kwakua hoja za Kuvunja mkataba ndio zilezile.

Kama anaona anaonewa aende CAS akutane na maamuzi ya kibabe na ya kushurutishwa kuliko Aya ya Tff.
 
Hii barua ya tarehe 6 mwezi wa tatu, ingekuwa na mashiko zaidi angeiandika kabla ya kujichukulia maamuzi yeye mwenyewe ya kuvunja mkataba na kuingiza zile pesa kwa Yanga.

Ngoja tusubili maamuzi ila hii kesi imekaa vibaya kwa Fei Toto .
 
Yanga achani uhuni, nyie ni Club kubwa kama mnavyojiita sasa kama mchezaji hataki kucheza na nyie kwa nini muamue kumkomoa.

Angalieni Duniani mbona Man U waliamua kuachana na Ronaldo kwa mutual aggrements - makubaliano bila kuthiri pande zote mbili.

Mwiteni kijana kaeni naye myamalize, je mlimwita akagoma kuja mezani? - Wachezaji wanaojielewa watakuwa wanagoma kujiunga na ninyi.

Acheni mambo ya kitoto, mnatuboa sasa.

 
Akae na Yanga wamalizane, hiyo haitamsaidia. Au la aendelee kususa hadi mkataba utakapofikia level ya kyvunjika.
Awali nilikua namtetea sana, ila hivi sasa acha aendelee kupitia anayoyapitia
Na akikaa mkataba utakapoisha kama afanyavyo sahivi kuna kesi ya kutokutumikia mkataba mambo sio marahis kama anavyodhani
 
Yanga achani uhuni, nyie ni Club kubwa kama mnavyojiita sasa kama mchezaji hataki kucheza na nyie kwa nini muamue kumkomoa.

Angalieni Duniani mbona Man U waliamua kuachana na Ronaldo kwa mutual aggrements - makubaliano bila kuthiri pande zote mbili.

Mwiteni kijana kaeni naye myamalize, je mlimwita akagoma kuja mezani? - Wachezaji wanaojielewa watakuwa wanagoma kujiunga na ninyi.

Acheni mambo ya kitoto, mnatuboa sasa.

Sheria ni msumeno, unakata kote kote.
 
Back
Top Bottom