Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

Mkuu wewe ndiye unayeleta ushabiki, unataka Yanga watumie huruma ili wachezaji wengine wajifunze kitu gani?
Feisal hajakatazwa kuondoka bali Yanga hawapo tayari kuondoka kiuhuni, kama Yanga itaruhusu huo upuuzi ina maana itakuwa ni taasisi ya kihuni.
Na la mwisho Feisal kaisha ichafua taasisi kwa kusema kuwa alikuwa ananyanyaswa, lazima aoneshe ushahidi na maelezo ni kwa yapi alikuwa ana nyanyaswa.
Mkuu haya mambo yanavyozidi kusambaa Image ya Yanga huku nje inapwaya kuliko ya Fei, narudia tena Club kubwa kama Yanga ni kuachana na hili jambo haraka - Yanga ni bland na kuzidi kuwa kwenye media kila siku kwa shutuma kama hizi si jambo nzuri.

Kwa sakata hili Yanga inapoteza zaidi kuliko Fei nakuhakikishia.
 
Yanga achani uhuni, nyie ni Club kubwa kama mnavyojiita sasa kama mchezaji hataki kucheza na nyie kwa nini muamue kumkomoa.

Angalieni Duniani mbona Man U waliamua kuachana na Ronaldo kwa mutual aggrements - makubaliano bila kuthiri pande zote mbili.

Mwiteni kijana kaeni naye myamalize, je mlimwita akagoma kuja mezani? - Wachezaji wanaojielewa watakuwa wanagoma kujiunga na ninyi.

Acheni mambo ya kitoto, mnatuboa sasa.

Mpeleke Man utd akacheze huku kwetu ni uhuni uhuni tu
 
ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.

Nyie ni Club kubwa msitake Dunia yote iwatambue mlivyo.
Mutual agreement inafanyika TFF?
 
Mkuu haya mambo yanavyozidi kusambaa Image ya Yanga huku nje inapwaya kuliko ya Fei, narudia tena Club kubwa kama Yanga ni kuachana na hili jambo haraka - Yanga ni bland na kuzidi kuwa kwenye media kila siku kwa shutuma kama hizi si jambo nzuri.

Kwa sakata hili Yanga inapoteza zaidi kuliko Fei nakuhakikishia.
Kama noma naiwe noma, jino kwa jino
 
Mkuu haya mambo yanavyozidi kusambaa Image ya Yanga huku nje inapwaya kuliko ya Fei, narudia tena Club kubwa kama Yanga ni kuachana na hili jambo haraka - Yanga ni bland na kuzidi kuwa kwenye media kila siku kwa shutuma kama hizi si jambo nzuri.

Kwa sakata hili Yanga inapoteza zaidi kuliko Fei nakuhakikishia.

Yanga inapoteza kipi na kivipi? Wanaoangaika ni Yanga au Feisali? Yanga wanaendelea na program zao kama kawaida, huyo dogo kafanya ujinga na hataki kuangalia wapi alipokosea ili apate anachotaka, ila yeye anajifanya hawezi kujishusha kuona nini afanye. Amekalia ujeuri na ujuaji na maneno ya uongo. Sijui akili kapeleka wapi kichwani yeye na mzazi wake wanashindwa hata kukaa kutumia akili na kulimaliza hili kwa akili badala yake wanataka kulimaliza kwa propaganda. Jambo la kisheria haliwezi kuisha kwa huruma na propaganda. Apambane tu hadi mwisho hakuna sababu ya kutaka kupewa huruma.

Yanga wala hawana hata haja ya kumng'ang'ania Feisal, kwasababu kwanzia wakose huduma yake hakuna jambo lililoshindwa kwenda uwanjani, na kwasasa sasa hata swala la namba hana pale. Ila wanachokitaka Yanga ni kukomesha hii tabia ya kihuni, ili iwe funzo kwa wachezaji wake wengine.
 
Mkuu haya mambo yanavyozidi kusambaa Image ya Yanga huku nje inapwaya kuliko ya Fei, narudia tena Club kubwa kama Yanga ni kuachana na hili jambo haraka - Yanga ni bland na kuzidi kuwa kwenye media kila siku kwa shutuma kama hizi si jambo nzuri.

Kwa sakata hili Yanga inapoteza zaidi kuliko Fei nakuhakikishia.
Yanga anapotea vipi na image yake inachafuka vip?
 
Akae na Yanga wamalizane, hiyo haitamsaidia. Au la aendelee kususa hadi mkataba utakapofikia level ya kyvunjika.
Awali nilikua namtetea sana, ila hivi sasa acha aendelee kupitia anayoyapitia
Pole Kwa kutetea ujinga na hongera Kwa kujisahihisha. Ukishajua chanzo cha huu uhuni wala hupati shida kuendelea kutetea wasiojitambua.
 
Yanga achani uhuni, nyie ni Club kubwa kama mnavyojiita sasa kama mchezaji hataki kucheza na nyie kwa nini muamue kumkomoa.

Angalieni Duniani mbona Man U waliamua kuachana na Ronaldo kwa mutual aggrements - makubaliano bila kuthiri pande zote mbili.

Mwiteni kijana kaeni naye myamalize, je mlimwita akagoma kuja mezani? - Wachezaji wanaojielewa watakuwa wanagoma kujiunga na ninyi.

Acheni mambo ya kitoto, mnatuboa sasa.

Nabaki kucheka tu.
 
Elimu ni jambo muhimu sana.
lakini kuna wajinga wanaomuunga mkono wengine Wana masters, au elimu haijawasaidia kitu? Wewe sikiliza baadhi ya hoja eti kisa analipwa mil4 sheria zinamruhusu kuondoka.
 
Back
Top Bottom