Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

Fei Toto aliomba kuvunja mkataba baada ya kuchoka manyanyaso

ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.

Nyie ni Club kubwa msitake Dunia yote iwatambue mlivyo.
Hamna hiyo, tunakaba hapo hapo mpaka kieleweke.
 
Mimi nikajua matahira Kama nyie baada ya review ya Tff mngemsaidia aende CAS?, Kumbe bado mnaleta upuuzi ambao hauwezi kumsaidia chochote... Poor Platinum member ever.
 
Hamna hiyo, tunakaba hapo hapo mpaka kieleweke.
ha ha ha, mwacheni kijana akasake fursa mbele, you never know in fugure Dunia inazunguka hii. Muda wa kucheza soka ni mfupi sana kwa mchezaji hardly miaka 10.
Fanyeni uungwana mlimalize hili jambo kikubwa, kutunishiana misuli na wachezaji Dunia ya kisoka leo haiko huko hayo mambo ya kukomoana yalikuwepo miaka ya 80 enzi za kina Zamoyoni mogella na Athman Chama.
 
ha ha ha, mwacheni kijana akasake fursa mbele, you never know in fugure Dunia inazunguka hii. Muda wa kucheza soka ni mfupi sana kwa mchezaji hardly miaka 10.
Fanyeni uungwana mlimalize hili jambo kikubwa, kutunishiana misuli na wachezaji Dunia ya kisoka leo haiko huko hayo mambo ya kukomoana yalikuwepo miaka ya 80 enzi za kina Zamoyoni mogella na Athman Chama.
Mpaka akome kabisa kudanganya watu anakula ugali sukari.
 
Hivi huyu mtoto alikuwa yanga au , naskia eti alikuwa anapewa suruali sijui za nani yule mwana wa mai eti akafue just imagine 🤪🤪
 
View attachment 2585280

Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Bro, unajidhalilisha kuandika haya bila kuyataja hayo manyanyaso anayopata toka kwa viongozi wa Yanga. Hivi tarehe ya barua haikuambii kitu chochote..!???

Kifupi Fei toto kachemsha Big time, na waliokuwa wanampa kichwa wamemuacha peke yake
 
Bro, unajidhalilisha kuandika haya bila kuyataja hayo manyanyaso anayopata toka kwa viongozi wa Yanga. Hivi tarehe ya barua haikuambii kitu chochote..!???

Kifupi Fei toto kachemsha Big time, na waliokuwa wanampa kichwa wamemuacha peke yake
Najisikia kichefucheku kuona huyo jamaa yupo chadema na anapigania katiba mpya na utawala wa sheria aisee tunasafari ndefu sana
 
ulimakafu acha ushabiki ndugu wa waziwazi, mwachieni kijana akasake fursa zingine maana kwenu mlango ushafugwa. mutual agreement ndiyo jambo pekee lilikobaki kati yenu na dogo.

Nyie ni Club kubwa msitake Dunia yote iwatambue mlivyo.
Mkuu wewe ndiye unayeleta ushabiki, unataka Yanga watumie huruma ili wachezaji wengine wajifunze kitu gani?
Feisal hajakatazwa kuondoka bali Yanga hawapo tayari kuondoka kiuhuni, kama Yanga itaruhusu huo upuuzi ina maana itakuwa ni taasisi ya kihuni.
Na la mwisho Feisal kaisha ichafua taasisi kwa kusema kuwa alikuwa ananyanyaswa, lazima aoneshe ushahidi na maelezo ni kwa yapi alikuwa ana nyanyaswa.
 
Back
Top Bottom