mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Key player kivp wakat tangu aondoke timu inashindahata kumlipa key player wako Tsh. 3m kwa mwezi ni manyanyaso tosha 😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Key player kivp wakat tangu aondoke timu inashindahata kumlipa key player wako Tsh. 3m kwa mwezi ni manyanyaso tosha 😀 😀
Hayo manyanyaso ni ya aina gani? Na kabla ya kufikia hiyo hatua ya kubunja mkataba, alishtaki kwenye vyombo gani vya kisheria, ili kuondakana nayo?View attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
Ukiona mpaka yule Jasmin aliyemsaidia Msuva, kaingia mitini; basi ni wazi amegundua hakuna kesi ya kushinda hapo.Dogo anaendesha vitu kama sio proffesional ili apate sympathy ila ndio haitomsaidia.
Kama ndiyo aliyoidemand kwa mujibu wa mkataba... Manyanyaso yanatoka wapi?hata kumlipa key player wako Tsh. 3m kwa mwezi ni manyanyaso tosha 😀 😀
Cheki naye huyuImagine hawa mikia ndio wanauchungu nae kuliko sisi tuliesota nae enzi za kuchangishana! bahati mbaya nae hana akili za kushituka.
Mwingine huyuYanga wanamfanyia utu sana sababu wamemlea na wanamjali.
Ameshakua kajazwa ujinga na wasiomtakia mema waliodhani wataidhoofisha Yanga, wakamfundisha hadi kuichukia Yanga, na akamtanguliza hadi mama yake mbele ili tu wafanikishe kujenga chuki.
Huyu si wa kuhurumiwa tena, wakamatie hapohapo...Mchezaji wa Zenji kabisa huyo.
Huyu ndo kabisaaImage ya Yanga inapwaya kwa kufuata sheria na taratibu za soka?
Image inapwaya kwa kumuadabisha mchezaji mtovu wa nidhamu?
Acheni ushabiki maandazi hakuna huruma kwenye sheria. Imagine ingekua Yanga ndio ka mis behave kwa dogo mngesema ivyo ivyo dogo aionee huruma Yanga?
Bush lawyer unakula za uso daily. Mtetezi wa haki za binadamu unaangukia puaHuyu ndo kabisaa
Hivi unaelewa kwann mahakamani kesi hua zinatupwa na kurejeshwa upya ,hujuiMwanzoni mwa huu mgogoro Mwenyekiti wa kamati ya Haki na Hadhi za wachezaji alisema, Wakati wanasikiliza shauri Kwa mara ya kwanza Mawakili wa Yanga walitaka mchezaji aileze kamati Sababu ya Kuvunja mkataba.
Afafanue manyanyaso aliyokua akifanyiwa na Yanga labda yanaweza kuwa na mantiki.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti, Mawakili wa Feitoto walikataa Fei Toto kueleza mbele ya shauri ilo Sababu za Kuvunja mkataba ila kikao kielewe mchezaji hajaridhika na mazingira ya kazi yake.
Kamati ikawaeleza Mawakili wa Feitoto basi baada ya hoja za pandembili kusikilizwa, Watamuita Fei Toto chemba na kumsikiliza ila maelezo atakayo yatoa hayata tumika kama kielelezo Cha kesi.
Mawakili wa pande zote wakakubaliana na hoja iyo.
Kamati ilimsikiliza na Mwishowe wakatoa maamuzi Waliyo yatoa.
Kwasasa Feitoto Hana hoja mpya ya Msingi na Kamati ndio ileile na majibu yatakua ndio yaleyale kwakua hoja za Kuvunja mkataba ndio zilezile.
Kama anaona anaonewa aende CAS akutane na maamuzi ya kibabe na ya kushurutishwa kuliko Aya ya Tff.
nimejiuliza mengi Sana ,tazama na sahihi yakeBarua "chafu" kushinda maelezo. Barua tu ina mapungufu lukuki, Hoja ya Msingi itakuwa na makosa mengi mno.
Acha tabia ya kugushi nyarakaView attachment 2585280
Aliandika kwa TFF kwamba alichoka manyanyaso mbalimbali kutoka kwa uongozi. Ni mambo ya kusikitisha
He is alone without any support from wachawi FC,[emoji24][emoji24][emoji24]kinachomdhalilisha ni Yanga kuendelea kufanya vizuri bila yeye [emoji137][emoji137]Bro, unajidhalilisha kuandika haya bila kuyataja hayo manyanyaso anayopata toka kwa viongozi wa Yanga. Hivi tarehe ya barua haikuambii kitu chochote..!???
Kifupi Fei toto kachemsha Big time, na waliokuwa wanampa kichwa wamemuacha peke yake
Na mbaya zaidi pengo alilodanganywa kwamba litakuwepo, HALIPO.He is alone without any support from wachawi FC,[emoji24][emoji24][emoji24]kinachomdhalilisha ni Yanga kuendelea kufanya vizuri bila yeye [emoji137][emoji137]
Kwasasa anaona aibu sana, na ndio maana hatamani hata kurudi Yanga tena. Alijazwa sifa, ya kuonekana Yanga bila Feisal hakuna kitu. Kajazwa maneno kuwa yeye ndiye anayeibeba timu kwa mabega yake. Basi na yeye akayasikiliza maneno na kuvimba. Siku Yanga amefungwa goli mbili na Monastir akapost anaonesha matokeo ya mechi kwenye simu yake huku akijawa na furaha kwa kicheko. Ila kwasasa yeye ndio anaonekana hana faida timu bado ipo kwenye malengo yaliyojiwekea na uwanjani mpira unachezwa vizuri kabisa bila kuonekana kuna pengo la mtu.He is alone without any support from wachawi FC,[emoji24][emoji24][emoji24]kinachomdhalilisha ni Yanga kuendelea kufanya vizuri bila yeye [emoji137][emoji137]
TFF wanakosea wanapojaribu kuendesha hii ishu kama vile wao ni mahakama.
Nenda CAS una endelea kupoteza mda na nguvuCheki naye huyu