Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.
Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.