Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Mpira wa Tanzania hauna tofauti na siasa za CCM na Chadema...
 
Kwa kiwango Cha Fei niseme TU hiyo hela ni ndogo sana labda kama Kuna kingine hatukioni ila ml 600 kwa Fei hapana
Fei ni Yaya Toure wa ligi yetu ni alama ya mpira wa tz move ya kwenda Simba ni nzuri sana kwa kiwango chake kuliko kuwa chamazi pasipokuwa na ndoto yoyote ila sio kwa hiyo hela Simba waweke angalau bill 1 na ilipwe haraka na kwa utulivu
Fei ni wa kawaida sana. Acheni kulazimisha paka kuwa chui. Yaani wabongo wakimpenda mchezaji watamkuza sana. Zamani niliamini Kaseja ni sawa na casilas wa Real Madrid lakini nikajiuliza mbona timu za ulaya hazimuitii!!!
 
Fei ni wa kawaida sana. Acheni kulazimisha paka kuwa chui. Yaani wabongo wakimpenda mchezaji watamkuza sana. Zamani niliamini Kaseja ni sawa na casilas wa Real Madrid lakini nikajiuliza mbona timu za ulaya hazimuitii!!!
Casillas na kaseja wawe sawa !?
Hatari sana
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Tupe udhibitisho wa hichi ulicho kiandika.
 
Casillas na kaseja wawe sawa !?
Hatari sana
Wabongo walikuwa walimkuza sana. Hata huyu Ngoma wa Simba nilivyosikia wamemuiba Airport nikajua ni level za Ronaldo, pia nilivyosikia Che Malon ni ukuta wa Babeli nikaogopa sana lakini kumbe anazidiwa na Zimbwe na Kapombe. SIMBA WANAJUA KUM BRAND MTU WALAAH!!
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Mbona simple tuu, wakiamua kufanya biashara inafanyika tuu, dogo anapewa hela anavunja mkataba anaondoka as free agent, Azam wanapata chao Yanga hawapati kitu maana anakua amevunja mkataba hajauzwa

Ila silioni hilo dili likitokea
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Hichi kipengele aliyekiweka wazi ni Fei, Azam au Yanga?
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Kitu usichokijua Yanga siyo wazuri kwenye mikataba ya aina hiyo.
Haijawahi kuwa na mwanasheria mwenye uwezo.
Watalaam wameupitia mkataba huo wameona mianya mingi ya kufanikisha dili hilo.
Kama Simba hawatamsajili Fei sababu zitakuwa ni za kimaslahi na wala si sababu za kimkataba.

Subiri atakapo sajiliwa kisha uje na ngonjera kama zile za Emanuel Okwi, Bernad Morrison na Yusuf Kagoma.
 
Kiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.

Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
View attachment 3195088
Originally kabisa alipotoka Zenji nia yake ilikuwa kuja Msimbazi lakini alipotua Tanganyika viongozi wa SIMBA wa wakati huo wakazembea kwenda kumpokea ndipo akanyakuliwa na mwewe
 
Originally kabisa alipotoka Zenji nia yake ilikuwa kuja Msimbazi lakini alipotua Tanganyika viongozi wa SIMBA wa wakati huo wakazembea kwenda kumpokea ndipo akanyakuliwa na mwewe
Pamoja na yote lakini dogo ni wa kawaida sana sema mashabiki wa Simba mkimpenda mchezaji mtampamba sana aonekane Ronaldo
 
Hii huwa inatokea Tanzania pekee mchezaji wa yanga akiwa anafanya vzr huwa anatakiwa aende nje ya nchi mfano mzuri Mzize ila kwa wachezaji wa timu zingine wanashauriwa waende simba mfano mzuri fei
 
Na vipi kuhusu Manzoki? Haki ya nani safari hii Mangungu asipotuletea Manzoki, tunaenda kumuondoa kwenye ile nafasi yake kwa nguvu. Hawezi na yeye kutugeuza mbumbumbu, kama alivyofanya Rage.
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Mkataba wa Feisal na Yanga uliisha June 2024, huyu kwa Sasa ni Mali ya Azam 100%
Azam wakiamua wanamuuza Yanga hawana uhalali wowote wa kujihusisha na uhamisho wa Feisal.
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Huo mkataba wa kuwapa nyuma mwiko bilioni wewe uliuona 🤔
 
Na vipi kuhusu Manzoki? Haki ya nani safari hii Mangungu asipotuletea Manzoki, tunaenda kumuondoa kwenye ile nafasi yake kwa nguvu. Hawezi na yeye kutugeuza mbumbumbu, kama alivyofanya Rage.
Kumbe ashura cheupe alikua sahihi kusema mashabiki wa nyuma mwiko nyote nyie hamna akili timamu
 
Back
Top Bottom