Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Kiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.

Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
View attachment 3195088
Hapo kwenye kulipana kwa mafungu hapooo..!!!!! HAYA
 
Atakua Mpuuzi kama ataamua kucheza Tena Tanzania, wakati Kaizer Chief, Mamelodi na Wydad wote wanamuhitaji, na offer zao hakuna Club Tanzania inaweza kutoa.
 
Sasa ile ya Utopolo sijui bilioni 1 Ndio acheze kwao itakuwaje😂😂😂

Ila yanga hawana akili.
 
Kiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.

Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida

Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
View attachment 3195088
Unapoenda dukan unatoa offer kwa muuza bidhaa au kwa bidhaa!
 
Kwa wanaojua baada ya wakala wake kupata chake, timu, kodi serikal yeye anabaka na ngap kwny hyo 600? Madili makubwa ya hivi unaweza pewa mgawanyo had ukachoka mixer kukata madeni ya timu kana anayo
 
Kitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Hizo siasa tu ndugu.. hkuna kipengele cha aina hyo. Iyo ilikuwa zubaisha bwege
 
Kwa wanaojua baada ya wakala wake kupata chake, timu, kodi serikal yeye anabaka na ngap kwny hyo 600? Madili makubwa ya hivi unaweza pewa mgawanyo had ukachoka mixer kukata madeni ya timu kana anayo
Hapo hakuna hela ya wakala yote ni yake wakala analipwa tofauti na mchezaji kibu alilipwa 300m wakala wake 50m
 
Hizo siasa tu ndugu.. hkuna kipengele cha aina hyo. Iyo ilikuwa zubaisha bwege
Tumeona Simba ilivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,habari za kwenye vijiwe vya kahawa uwa mnavizingatia sana
 
Unatuletea story za vijiweni. Wewe uko Sikonge ndanindani huko, mkataba wa Feisal umeuonea wapi?
Nimeona mlivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,mtakuwa mnabaki na propaganda uchwara kuhusu fei Kila dirisha likifunguliwa but amtoweza kumsajili labda mkataba wake ukiisha, vipengele vya kimkataba vinaibana Azam usidhani yanga walikuwa wajinga kwenye lile sakata lake!
 
Nimeona mlivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,mtakuwa mnabaki na propaganda uchwara kuhusu fei Kila dirisha likifunguliwa but amtoweza kumsajili labda mkataba wake ukiisha, vipengele vya kimkataba vinaibana Azam usidhani yanga walikuwa wajinga kwenye lile sakata lake!
Mkuu, embu acha kuongozwa na emotions za kisoka rudi kwenye uhalisia.

Kama kweli wewe unavijua hivyo vipengele vya mkataba wa Fei, Yanga ikimtaka leo italipa kiasi gani?

Maana zipo tetesi atarudi Yanga dirisha kubwa.

Binafsi naamini suala la ugumu wa usajili wa Fei linahusiana zaidi na thamani yake sokoni sababu ya perfomance yake, na hii inazihusu timu zote hata za nje. Mfano kuna tetesi Keiser Chief naye katuma ofa imekataliwa.
Screenshot_20250116-075226_X.jpg


Ingekuwa kizuizi ni hicho kipengele cha B1 unachosema kwa timu za ndani angeuzwa nje kisha timu ya ndani inayomtaka ingemfata huko nje kwa mkopo.

Au kipengele ulichosoma kinasema hata akiuzwa nje timu ya nje ikitaka kumtoa kwa mkopo kwa timu za Tanzania iwalipe Yanga 1B?
 
Back
Top Bottom