Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Tetesi: Fei Toto apokea Ofa ya Tsh Milioni 600 kutoka Simba SC kwa Mkataba wa miaka Mitatu

Mkuu, embu acha kuongozwa na emotions za kisoka rudi kwenye uhalisia.

Kama kweli wewe unavijua hivyo vipengele vya mkataba wa Fei, Yanga ikimtaka leo italipa kiasi gani?

Maana zipo tetesi atarudi Yanga dirisha kubwa.

Binafsi naamini suala la ugumu wa usajili wa Fei linahusiana zaidi na thamani yake sokoni sababu ya perfomance yake, na hii inazihusu timu zote hata za nje.

Ingekuwa kizuizi ni hicho kipengele cha B1 unachosema kwa timu za ndani angeuzwa nje kisha timu ya ndani inayomtaka ingemfata huko nje kwa mkopo.

Au kipengele ulichosoma kinasema hata akiuzwa nje timu ya nje ikitaka kumtoa kwa mkopo kwa timu za Tanzania iwalipe Yanga 1B?
Azam ikimuuza nje yanga anao mgawo wake pia kwa maana iyo Azam aiwezi kumuuza nje kwa pesa ya nyanya ni fungu kubwa ivyo timu iliyomnunua nje ya nchi itakuwa ni juu yake kama ikiamua kumtoa kwa mkopo kwa timu ya Tanzania Tena kwakuwa yanga anakuwa ashavuta chake na Azam pia atakuwa ashavuta chake,,
Yanga haina mpango wa kumrudisha fei hizo ni tetesi tu za vijiweni,,
 
Azam ikimuuza nje yanga anao mgawo wake pia kwa maana iyo Azam aiwezi kumuuza nje kwa pesa ya nyanya ni fungu kubwa ivyo timu iliyomnunua nje ya nchi itakuwa ni juu yake kama ikiamua kumtoa kwa mkopo kwa timu ya Tanzania Tena kwakuwa yanga anakuwa ashavuta chake na Azam pia atakuwa ashavuta chake,,
Yanga haina mpango wa kumrudisha fei hizo ni tetesi tu za vijiweni,,
Kila kitu ni tetesi hata haya unayosema hapa ni tetesi. Unless utuambie huko Yanga wewe ni kiongozi na kwenye vikao vyenu kuna hiyo ajenda.

Kama ni kusema tu, nikisema Simba haina mpango wa kumsajili ni mashabiki tu wa vijiweni nakuwa na tofauti gani na wewe?

Nikuulize, Kwanini Azam walikubali hicho kipengele?

Mkataba unasemaje iwapo Fei atakuwa mtori bila perfomance au akaandamwa na majeraha na Azam wakahitaji wamtoe kwa hasara au mkopo?

Au kipengele kinasema akiwa mtori Yanga watamnunua?
 
Fei ni wa kawaida sana. Acheni kulazimisha paka kuwa chui. Yaani wabongo wakimpenda mchezaji watamkuza sana. Zamani niliamini Kaseja ni sawa na casilas wa Real Madrid lakini nikajiuliza mbona timu za ulaya hazimuitii!!!
kuwa na ubora tu si kigezo cha kusajiliwa ulaya au nje ya nchi,kuna mambo kama usimamizi wako,klabu yako na hata utayari wako wa kwenda huko ukoje.
 
Kila kitu ni tetesi hata haya unayosema hapa ni tetesi. Unless utuambie huko Yanga wewe ni kiongozi na kwenye vikao vyenu kuna hiyo ajenda.

Kama ni kusema tu, nikisema Simba haina mpango wa kumsajili ni mashabiki tu wa vijiweni nakuwa na tofauti gani na wewe?

Nikuulize, Kwanini Azam walikubali hicho kipengele?

Mkataba unasemaje iwapo Fei atakuwa mtori bila perfomance au akaandamwa na majeraha na Azam wakahitaji wamtoe kwa hasara au mkopo?

Au kipengele kinasema akiwa mtori Yanga watamnunua?
Nadhani unaelewa sakata zima la fei kutoka yanga lilikuwaje,,fei alikuwa bado na mkataba halali na yanga wa mwaka mmoja na nusu,,yanga walitii agizo la mkuu wa nchi kumwachia fei kwenda Azam but walifanya vile kutii mamlaka isingekuwa Rais kuingilia kati fei mpaka sasa angekuwa achezi popote kwakuwa mkataba ulikuwa unambana,,kwa maana iyo yanga walitii mamlaka but sio kiurahisi kama mnavyodhani nyie,,ndio maana yanga waliweka vipengele madhubuti ili wafaidike nae ata kama akiwa Azam ama akiuzwa ndani ya nchi ama nje ya nchi!
Suala la kuuzwa kwa hasara akiwa na majeraha ama kiwango yanga awahusiki nalo hilo wao wanachotaka ni pesa yao Ile Ile kwakuwa Azam walimrubuni kinyume na Sheria za soka ivyo watafata vipengele vyote vya mkataba!
Na Azam wasingekataa kukubali icho kipengele kwakuwa tiyali Rais aliwasaidia kupunguza ugumu na Rais akishatoa tamko ni amri sio OMBI!
Kwa maana iyo suala la fei msilichukulie poa poa kama transfer za wachezaji wengine!
 
Atakua Mpuuzi kama ataamua kucheza Tena Tanzania, wakati Kaizer Chief, Mamelodi na Wydad wote wanamuhitaji, na offer zao hakuna Club Tanzania inaweza kutoa.
Wydad wanamtaka Mzize mbona hamuwauzii, mkisikia mchezaji anakuja Simba ndio mnaona alitakiwa kwenda nje.
 
Nadhani unaelewa sakata zima la fei kutoka yanga lilikuwaje,,fei alikuwa bado na mkataba halali na yanga wa mwaka mmoja na nusu,,yanga walitii agizo la mkuu wa nchi kumwachia fei kwenda Azam but walifanya vile kutii mamlaka isingekuwa Rais kuingilia kati fei mpaka sasa angekuwa achezi popote kwakuwa mkataba ulikuwa unambana,,kwa maana iyo yanga walitii mamlaka but sio kiurahisi kama mnavyodhani nyie,,ndio maana yanga waliweka vipengele madhubuti ili wafaidike nae ata kama akiwa Azam ama akiuzwa ndani ya nchi ama nje ya nchi!
Suala la kuuzwa kwa hasara akiwa na majeraha ama kiwango yanga awahusiki nalo hilo wao wanachotaka ni pesa yao Ile Ile kwakuwa Azam walimrubuni kinyume na Sheria za soka ivyo watafata vipengele vyote vya mkataba!
Na Azam wasingekataa kukubali icho kipengele kwakuwa tiyali Rais aliwasaidia kupunguza ugumu na Rais akishatoa tamko ni amri sio OMBI!
Kwa maana iyo suala la fei msilichukulie poa poa kama transfer za wachezaji wengine!
Mtakapoenda cas ndio mtajua Kama mamlaka za rais zinatambulika kwenye Sheria za soka.
 
Unazungumzia Simba ipi hiyo ya kutoa milioni 600 ili kumpa mchezaji kutoka Tz tena Zanzibar?
Hizi mnaijua milioni 600 nyinyi?

Faini tu ya 100milioni Simba tunatembeza kapu la kukusanya pesa ili tukalipe.
 
Nadhani unaelewa sakata zima la fei kutoka yanga lilikuwaje,,fei alikuwa bado na mkataba halali na yanga wa mwaka mmoja na nusu,,yanga walitii agizo la mkuu wa nchi kumwachia fei kwenda Azam but walifanya vile kutii mamlaka isingekuwa Rais kuingilia kati fei mpaka sasa angekuwa achezi popote kwakuwa mkataba ulikuwa unambana,,kwa maana iyo yanga walitii mamlaka but sio kiurahisi kama mnavyodhani nyie,,ndio maana yanga waliweka vipengele madhubuti ili wafaidike nae ata kama akiwa Azam ama akiuzwa ndani ya nchi ama nje ya nchi!
Suala la kuuzwa kwa hasara akiwa na majeraha ama kiwango yanga awahusiki nalo hilo wao wanachotaka ni pesa yao Ile Ile kwakuwa Azam walimrubuni kinyume na Sheria za soka ivyo watafata vipengele vyote vya mkataba!
Na Azam wasingekataa kukubali icho kipengele kwakuwa tiyali Rais aliwasaidia kupunguza ugumu na Rais akishatoa tamko ni amri sio OMBI!
Kwa maana iyo suala la fei msilichukulie poa poa kama transfer za wachezaji wengine!

Raisi kuwaambia wakae wayamalize ndo uthibitisho kuwa Yanga wameweka kipengele cha B1 akiuzwa ndani?

Mkuu, unaandika mambo mengi ila yote ni nadharia.

Embu rasimisha hii nadharia kwa kutuambia, hichi kipengele umekisoma kwenye mkataba wa Fei au ni tetesi unazijengea nadharia tu?

Hakuna aibu yoyote kusema ni tetesi na hata kama upo sahihi hakuna malipo. We sema tu, hii habari ya 1B umetoa wapi?
 
Raisi kuwaambia wakae wayamalize ndo uthibitisho kuwa Yanga wameweka kipengele cha B1 akiuzwa ndani?

Mkuu, unaandika mambo mengi ila yote ni nadharia.

Embu rasimisha hii nadharia kwa kutuambia, hichi kipengele umekisoma kwenye mkataba wa Fei au ni tetesi unazijengea nadharia tu?

Hakuna aibu yoyote kusema ni tetesi na hata kama upo sahihi hakuna malipo. We sema tu, hii habari ya 1B umetoa wapi?
Elewa ninachokwambia na amini ninachokwambia bila b.1 ya kuilipa yanga Azam aiwezi kumuuza fei ndani ya nchi ndio kipengele icho kwenye mkataba wa fei!
 
Mtakapoenda cas ndio mtajua Kama mamlaka za rais zinatambulika kwenye Sheria za soka.
Kama sio Rais kuingilia kati unadhani fei alikuwa anatoboa kwenye sakata lake,,alikuwa keshayakanyaga na yanga walitaka wamfundishe adabu!
 
Elewa ninachokwambia na amini ninachokwambia bila b.1 ya kuilipa yanga Azam aiwezi kumuuza fei ndani ya nchi ndio kipengele icho kwenye mkataba wa fei!
Mkataba wa Fei umeuona?
 
Kama sio Rais kuingilia kati unadhani fei alikuwa anatoboa kwenye sakata lake,,alikuwa keshayakanyaga na yanga walitaka wamfundishe adabu!
Yanga walitaka wamfundishe adabu? Walitaka kufanyaje?
 
Hakuna Sheria za soka zinazomzungumzia rais.
Utetezi wenu wa rais hauna nguvu kisheria.
Wewe hujuagi chochote ndo maana hata ile mashabiki wa simba kuvunja vitu ulibisha kwa nguvu zote ilihali video zilikuwepo na leo hii simba inatembeza bakuli kwa mashabiki kulipa faini

Macron alishawah kumshawishi mbappe aongeze mkataba psg unashaangaa nini samia kuingilia swala la mkataba wa feisal
 
Wewe hujuagi chochote ndo maana hata ile mashabiki wa simba kuvunja vitu ulibisha kwa nguvu zote ilihali video zilikuwepo na leo hii simba inatembeza bakuli kwa mashabiki kulipa faini

Macron alishawah kumshawishi mbappe aongeze mkataba psg unashaangaa nini samia kuingilia swala la mkataba wa feisal
Yupo sawa mkuu, huwezi tumia vielelezo vya ushawishi wa kiongozi wa kisiasa kwenye sheria za soka, kinachoangaliwa ni iwapo mikataba inakidhi matakwa ya kisheria na ustaarabu wa soka.
 
Yupo sawa mkuu, linapokuja suala la kesi, huwezi peleka vielelezo kuwa ulimuuza Fei sababu kiongozi wa kisiasa kalazimisha, wao wataangalia tu iwapo mkataba mliosaini unakidhi matakwa ya kisheria na ustaarabu wa soka.
Lazima umtete sababu ni mshabiki mwenzako hata swala la kuvunja viti mashabiki wenu mlipinga hivi-hivi ilihali video zinaonyesha live
 
Wewe hujuagi chochote ndo maana hata ile mashabiki wa simba kuvunja vitu ulibisha kwa nguvu zote ilihali video zilikuwepo na leo hii simba inatembeza bakuli kwa mashabiki kulipa faini

Macron alishawah kumshawishi mbappe aongeze mkataba psg unashaangaa nini samia kuingilia swala la mkataba wa feisal
Ndio maana wanasema wenye akili wapo wawili kitu kidogo unashindwa kuelewa. Kama yanga walifanya kwa ajili ya maagizo ya rais ama ni vilaza au uchawa na kujipendekeza .
 
Ndio maana wanasema wenye akili wapo wawili kitu kidogo unashindwa kuelewa. Kama yanga walifanya kwa ajili ya maagizo ya rais ama ni vilaza au uchawa na kujipendekeza .
Hata lile la mashabiki kuvunja viti ulipinga kwa nguvu zote ilihali video zinaonyesha live
Sasa-hivi mnatembeza bakuli ili mlipe faini
 
Back
Top Bottom