Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hapo kwenye kulipana kwa mafungu hapooo..!!!!! HAYAKiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.
Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
View attachment 3195088
Hata vilaza hujadiliwa..!!!Angekuwa wa kawaida asingekuwa mjadala
Ni sawa kabisa kwakuwa sio wa kawaida piaHata vilaza hujadiliwa..!!!
Hata shetani hujadiliwa...!!!
Hata vichaa hujadiliwa...!!!
Hata wezi hujadiliwa..!!
Goba heka shilingi ngapi mkuu!?Ha haaa 😆😆😆
Goba kwetu kuna thamani kiasi hiki?
Hekari 1 bei yake parefu.Goba heka shilingi ngapi mkuu!?
Mara ya mwisho hata sikupatana bei niliondoka taratibu sana
Unapoenda dukan unatoa offer kwa muuza bidhaa au kwa bidhaa!Kiungo fundi wa Azam FC, Feisal 'Fei Toto' Salum inadaiwa amepokea ofa ya Tsh milioni 600 kutoka kwa miamba ya Soka, Simba SC, ikiwa ni malipo ya kusaini mkataba wa miaka mitatu. Simba wapo tayari kulipa kwa mafungu ya Tsh milioni 200 kila mwaka.
Soma: Mwigulu: Feisal ukishatoka Simba uje Singida
Fei Toto amekubali kujiunga na Simba akiona ni hatua kubwa katika safari yake ya kusakata Soka.
View attachment 3195088
🤣🤣🤣Tukuite nani Abubakar Bakhresa au Zakazakazi?
SahihiBila shaka biashara inaweza kuwa Dirisha la usajili la majira ya kiangazi
Hizo siasa tu ndugu.. hkuna kipengele cha aina hyo. Iyo ilikuwa zubaisha bwegeKitu ambacho amkijui ni mkataba wa fei ulivyo, ni ngumu sana kwa Azam kumuuza fei kwa sasa labda mpaka amalize mkataba wake ama avunje mkataba wake jambo ambalo ni gumu kwakuwa Azam anatakiwa ailipe yanga bilioni Moja kama itamuuza ndani ya nchi kwa timu yoyote Ile ama endapo itamtoa kwa mkopo kwa timu yoyote Ile ndani ya nchi, kwa maana iyo itawalazimu Azam wamuuze si chini ya bilioni Moja na nusu ili na wao wapate faida yao kwa kuwa bilioni Moja itaenda yanga,,sasa ni timu Gani bongo hapa itatoa iyo pesa kwaajili ya feitoto? Yanga wanajua kilichopo ndio maana wametulia tuli wanajua Kuna watu wanafurahisha genge tu na propaganda uchwara za milioni 600
Hapo hakuna hela ya wakala yote ni yake wakala analipwa tofauti na mchezaji kibu alilipwa 300m wakala wake 50mKwa wanaojua baada ya wakala wake kupata chake, timu, kodi serikal yeye anabaka na ngap kwny hyo 600? Madili makubwa ya hivi unaweza pewa mgawanyo had ukachoka mixer kukata madeni ya timu kana anayo
Tumeona Simba ilivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,habari za kwenye vijiwe vya kahawa uwa mnavizingatia sanaHizo siasa tu ndugu.. hkuna kipengele cha aina hyo. Iyo ilikuwa zubaisha bwege
Nimeona mlivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,mtakuwa mnabaki na propaganda uchwara kuhusu fei Kila dirisha likifunguliwa but amtoweza kumsajili labda mkataba wake ukiisha, vipengele vya kimkataba vinaibana Azam usidhani yanga walikuwa wajinga kwenye lile sakata lake!Unatuletea story za vijiweni. Wewe uko Sikonge ndanindani huko, mkataba wa Feisal umeuonea wapi?
Mkuu, embu acha kuongozwa na emotions za kisoka rudi kwenye uhalisia.Nimeona mlivyomsajili kabla dirisha alijafungwa,,mtakuwa mnabaki na propaganda uchwara kuhusu fei Kila dirisha likifunguliwa but amtoweza kumsajili labda mkataba wake ukiisha, vipengele vya kimkataba vinaibana Azam usidhani yanga walikuwa wajinga kwenye lile sakata lake!