Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mwamba aliyeandika hii ana kitu kama nyerere tu,ajengewe mnara kabisa na pembezoni upandwe maua yake...Fei alijua Yanga ni ya mwaka 47 kwamba anaweza kuondoka kama msela anavyoondoka gesti house baada ya kula nyapu ya malayaMdogo wangu Feisal Salum ( Fei Toto ) leo GENTAMYCINE nimeamua kukupa Ushauri wangu kama ambavyo pia nilimpa Mdogo wangu wa Kinondoni Biafra Jonas Mkude hakuufuata na sasa yamemkuta hadi anakwepa hata Kuonana nami.
Fei Toto najua Sakata lako lote na labda leo niseme tu Ukweli kuwa Mpango uliosukwa Kipumbavu na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ili uanzie nchini Uturuki kwa muda kisha urejee Kuchezea umefanyika kwa Kukurupuka.
Fei Toto nakujua Wewe ni Mshabiki mkubwa wa Simba SC ( Kiasili na Moyoni ) kama alivyo Kaka yako na Mzanzibari Mwenzako Rafiki yangu wa Ilala Bungoni enzi hizo Nadir Haroub 'Cannavaro' hivyo ulikuwa unataka Kutimiza Ndoto yako Kuchezea Simba SC ila Waliokuongoza na Kukudanganya wamekosea sehemu ndogo sana.
Mdogo wangu Feisal Salum 'Fei Toto' leo Mimi Kaka yako GENTAMYCINE nakuomba nenda Mwenyewe Klabuni Yanga anza Kwanza kwa Kuwaomba Radhi kwa yote yaliyopita, waambie unataka Kucheza Soka nje ya Tanzania ili wakupe Baraka zote na Leseni yako kisha uondoke / uachane nao kwa Amani.
Fei Toto nikuhakikishie Yanga SC ya sasa Wamejifunza pakubwa hasa Kisheria baada ya Kuteswa na Bernard Morisson katika lile Sakata lake na Simba na Yanga hivyo kwa sasa hawawezi Kukosea tena Wanatamba hivi kwakuwa Walikokubania hakika huchomiki hata ende Mahakama ya Mungu Mbinguni.
Rafiki yako Jonas Mkude nimejitahidi mno Kumsihi abadilike hasa kwa Kulewa Kwake na Kusema Kauli kuwa kabla Mama yake hajafa anataka aichezee Yanga SC ili amfurahishe ambaye imesharekodiwa na Watu na kuwafikia Viongozi wa Simba SC ambao na Wao sasa kwa Makusudi wameamua Kukukomoa kwa kumwambia Kocha asikupange au akupange katika Mechi za Kawaida na zisizo na Umuhimu kivile ili Kukuzuga na Kutuzuga Sisi wana Simba SC tujue kuwa hakuna / huna Tatizo.
Fei Toto bila Yanga Kubariki kokote atakapoenda hatofanikiws kwani GENTAMYCINE nazijua tabia za Siri za hivi Vilabu Vikubwa nchini vya Simba na Yanga wanazowafanyia Wachezaji Jeuri na Viburi.
Kwa msiojua Wazee wa Yanga na Simba pale Klabuni Jangwani na Msimbazi huwa wanaweza / wanatunza Jasho za Wachezaji wao Mahiri na Tegemeo katika Chupa Maalum ili Siku akiwazingua tu wanamkalia Kikao cha Kummaliza Kiuchawi / Kiushirikina kupitia Chupa yenye Jasho lake walioiifadhi Klabuni.
Wahanga wa hivi Karibuni wa Mchezo huu wa Wazee wa Simba na Yanga ni Wachezaji Bernard Morisson akitoka Yanga SC kwenda Simba na Frank Domayo kutoka Yanga SC na kwenda Azam FC.
Wengine walikuwa ni Ramadhan Singano akitokea Simba SC kwenda Azam FC na Victor Costa akitokea Simba SC kwenda Yanga SC.
Fei Toto Mdogo wangu cheza na Wote ila siyo Watu ( Wazee wa Simba na Yanga ) na ndiyo maana naendelea Kusisitiza kuwa rudi Yanga SC, jishushe Kwao, Waombe Radhi, Waage kwa Amani ili Wakubariki na uende zako kwa Amani.
Nakutakia kila la Kheri Mdogo wangu.
Mtani leo tv imetulia hakuna mawingu wala upepo😂😂Mdogo wangu Feisal Salum ( Fei Toto ) leo GENTAMYCINE nimeamua kukupa Ushauri wangu kama ambavyo pia nilimpa Mdogo wangu wa Kinondoni Biafra Jonas Mkude hakuufuata na sasa yamemkuta hadi anakwepa hata Kuonana nami.
Fei Toto najua Sakata lako lote na labda leo niseme tu Ukweli kuwa Mpango uliosukwa Kipumbavu na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ili uanzie nchini Uturuki kwa muda kisha urejee Kuchezea umefanyika kwa Kukurupuka.
Fei Toto nakujua Wewe ni Mshabiki mkubwa wa Simba SC ( Kiasili na Moyoni ) kama alivyo Kaka yako na Mzanzibari Mwenzako Rafiki yangu wa Ilala Bungoni enzi hizo Nadir Haroub 'Cannavaro' hivyo ulikuwa unataka Kutimiza Ndoto yako Kuchezea Simba SC ila Waliokuongoza na Kukudanganya wamekosea sehemu ndogo sana.
Mdogo wangu Feisal Salum 'Fei Toto' leo Mimi Kaka yako GENTAMYCINE nakuomba nenda Mwenyewe Klabuni Yanga anza Kwanza kwa Kuwaomba Radhi kwa yote yaliyopita, waambie unataka Kucheza Soka nje ya Tanzania ili wakupe Baraka zote na Leseni yako kisha uondoke / uachane nao kwa Amani.
Fei Toto nikuhakikishie Yanga SC ya sasa Wamejifunza pakubwa hasa Kisheria baada ya Kuteswa na Bernard Morisson katika lile Sakata lake na Simba na Yanga hivyo kwa sasa hawawezi Kukosea tena Wanatamba hivi kwakuwa Walikokubania hakika huchomiki hata ende Mahakama ya Mungu Mbinguni.
Rafiki yako Jonas Mkude nimejitahidi mno Kumsihi abadilike hasa kwa Kulewa Kwake na Kusema Kauli kuwa kabla Mama yake hajafa anataka aichezee Yanga SC ili amfurahishe ambaye imesharekodiwa na Watu na kuwafikia Viongozi wa Simba SC ambao na Wao sasa kwa Makusudi wameamua Kukukomoa kwa kumwambia Kocha asikupange au akupange katika Mechi za Kawaida na zisizo na Umuhimu kivile ili Kukuzuga na Kutuzuga Sisi wana Simba SC tujue kuwa hakuna / huna Tatizo.
Fei Toto bila Yanga Kubariki kokote atakapoenda hatofanikiws kwani GENTAMYCINE nazijua tabia za Siri za hivi Vilabu Vikubwa nchini vya Simba na Yanga wanazowafanyia Wachezaji Jeuri na Viburi.
Kwa msiojua Wazee wa Yanga na Simba pale Klabuni Jangwani na Msimbazi huwa wanaweza / wanatunza Jasho za Wachezaji wao Mahiri na Tegemeo katika Chupa Maalum ili Siku akiwazingua tu wanamkalia Kikao cha Kummaliza Kiuchawi / Kiushirikina kupitia Chupa yenye Jasho lake walioiifadhi Klabuni.
Wahanga wa hivi Karibuni wa Mchezo huu wa Wazee wa Simba na Yanga ni Wachezaji Bernard Morisson akitoka Yanga SC kwenda Simba na Frank Domayo kutoka Yanga SC na kwenda Azam FC.
Wengine walikuwa ni Ramadhan Singano akitokea Simba SC kwenda Azam FC na Victor Costa akitokea Simba SC kwenda Yanga SC.
Fei Toto Mdogo wangu cheza na Wote ila siyo Watu ( Wazee wa Simba na Yanga ) na ndiyo maana naendelea Kusisitiza kuwa rudi Yanga SC, jishushe Kwao, Waombe Radhi, Waage kwa Amani ili Wakubariki na uende zako kwa Amani.
Nakutakia kila la Kheri Mdogo wangu.
Matusi ambayo GENTAMYCINE Kutwa anatukanwa hapa huwa hamuyaoni ila Mimi nikijibu tu Mapigo Vipira Pori vyenu Vyeusi vinaanza Kuwawasha na Kuniona Mkosaji na Mkorofi.Ha ha ha mkuu matusi ya nini tena?
Sasa kama haunikubali / hamnikubali huku mkisema sina Akili kwanini bado 24/7 ( Kila Siku ) mnahangaika Kusoma Mada zangu GENTAMYCINE wakati mnawajua Watu Wengine mnaowaona wana hizo Akili na Bora Kwenu?Hakuna anaekukubali chenjeo kama wewe sema wakuhype tu ujione mtu na undumilakuwili wako
Ukiona mtu unamkubali huyu mleta mada ujue una matatizo kichwani. Jamaa hayupo smart kama anavyojiona, zaidi ni uswahili tu.
Namfahamu toka day 1 anajiunga JF. Alionekana JF sana kipindi ambacho Tz ikiwa na migogoro na Rwanda, hasa m23 kule Congo.
Ni mtutsi 100%. Hakunaga lolote la maana alilonalo hapa JF.
We jamaa unachekesha sana sometime. Jasho lakutunzwa kwenye chupa linakuwa na ujazo gani na wazee wanalikamua wakati gani na mchezaji anakuwa wapiKwa msiojua Wazee wa Yanga na Simba pale Klabuni Jangwani na Msimbazi huwa wanaweza / wanatunza Jasho za Wachezaji wao Mahiri na Tegemeo katika Chupa Maalum ili Siku akiwazingua tu wanamkalia Kikao cha Kummaliza Kiuchawi / Kiushirikina kupitia Chupa yenye Jasho lake walioiifadhi Klabuni.
Niwekee hapa Ushahidi wa yafuatayo....Ni kweli unayooongea ila nakusahihisha huyo sio Mtutsi hata kidgo ila ni mtu ambaye yupo obsessed sana na Rwanda kama uliamini ni Mtutsi futa hilo..Hajui kinyarwanda hata kidogo na hajui kinafananaje kuna kipindi alisema anajua kitutsi mimi ndio nilimsanua hakuna Lugha inayoitwa Kitutsi dunia hii na hakuna kabila linaloitwa Tutsi wala Hutu(Hii inaonyesha hata historia tu ya Rwanda haijui vizuri)
Ni kajamaa fulani hivi kana upara,mshamba anadanganya watu kaishi na Nyerere akapelekwa kwa Museveni na jana kadanganya ni mjukuu wa Nimrod Mkono
Najua media anayoifanyia kazi na najua kwamba kuna kagazeti uchwara kuna kipindi alikuwa kama mhariri sijui siku mbili hizi maana biashara yenyew bosi anataka aifunge.Hili suala la kusema ni mtutsi lifute mkuu huyu jamaa ni wa bunda
Sasa kama Unakiri kuwa huwa husomi Mada zangu lakini huwa Unaandika ili uninyime Amani huoni kuwa Wewe automatically ni Mental Case / Bipolar kama Mwenzako TADPOLE?Mimi huwa sisomi mada zako naandika tu nikunyime amani bwana andunje
Hivi kwa hapo Mimi na Wao ( Huyo ) nani ndiyo Mbumbumbu ( Fool ) hasa?unajua kabisa ni mbumbumbu halafu bado unafuatilia mada zake, dah!!!
Kumbe jina la Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kasungura ulipewa na Mwalimu JK mwenyewe ?Niwekee hapa Ushahidi wa yafuatayo....
1. Nilisema kuna Lugha ya Kitutsi
2. Jana nimesema Mimi ni Mjukuu wa Marehemu Nimrod Elirehema Mkono
3. Nafanya Kazi katika Media unayoijua.
MAJIBU YAKO JUU YA NYERERE NA MUSEVENI
Na bahati nzuri hata Kaka yangu Makongoro Nyerere ( RC Manyara ) hii ID yangu ya GENTAMYCINE anaijua vyema.
Nilipozaliwa Agha Khan Hospital chini ya Sister Brenda na Aghatha Marehemu Baba yake Baba wa Taifa alikuja Kunibeba ( akitokea Ikulu Magogoni iliyo mita chache na Hospitali tajwa ) na hata Jina langu Halisi Yeye ndiyo alinipa.
Hao akina Kaka Makongoro na Dada yake Anna wamenilea na wamenibeba mno Mdogo wao Ikulu Magogoni, Msasani Kwao na hata Kwetu Oysterbay walipokuwa wakija.
Kuhusu Rais Museveni ( Familia yake ) na GENTAMYCINE pamoja na Familia yangu nenda Foreign Affairs pale kawaulize ni Nani alimpokea Mtoto wa Kiume wa Rais Museveni aitwae Muhoozi Kainerugaba mwaka 2014 na nikamtembeza alikozaliwa Upanga, nikampeleka UDSM, kisha Makumbusho Magomeni na kumalizia kwa Bibi Mama Maria Nyerere Msasani akamsalimie.
Mwaka 2019 Binti Mkubwa wa Rais Museveni aitwae Natasha na Mumewe walikuja Kuhudhuria Harusi ya Dada yangu na Watu wa Foreign Affairs ( Maafisa ) wanalijua hili na nilishirikiana nao kwa huo Ugeni.
Kwakuwa Rais Mstaafu Kikwete yuko hapa JamiiForums mtafute umuulize mwaka 1996 Mkapa akiwa Rais na Yeye Waziri wa Mambo ya Nje alipoenda nchini Uganda ( hasa Nakasero State ) Rais Museveni alimkutanisha na Watoto wa Viongozi gani Wawili Wastaafu hapa Tanzania huku akiambiwa kuwa Mimi na huyo Mwenzangu tuko pale na anatusomesha na kutulea kama sehemu ya Asante yake kwa Msaada mkubwa ambao Tanzania imempa hadi Yeye kuwa Rais hivyo alivyo sasa.
Mdogo wangu Feisal Salum ( Fei Toto ) leo GENTAMYCINE nimeamua kukupa Ushauri wangu kama ambavyo pia nilimpa Mdogo wangu wa Kinondoni Biafra Jonas Mkude hakuufuata na sasa yamemkuta hadi anakwepa hata Kuonana nami.
Fei Toto najua Sakata lako lote na labda leo niseme tu Ukweli kuwa Mpango uliosukwa Kipumbavu na baadhi ya Viongozi wa Simba SC ili uanzie nchini Uturuki kwa muda kisha urejee Kuchezea umefanyika kwa Kukurupuka.
Fei Toto nakujua Wewe ni Mshabiki mkubwa wa Simba SC ( Kiasili na Moyoni ) kama alivyo Kaka yako na Mzanzibari Mwenzako Rafiki yangu wa Ilala Bungoni enzi hizo Nadir Haroub 'Cannavaro' hivyo ulikuwa unataka Kutimiza Ndoto yako Kuchezea Simba SC ila Waliokuongoza na Kukudanganya wamekosea sehemu ndogo sana.
Mdogo wangu Feisal Salum 'Fei Toto' leo Mimi Kaka yako GENTAMYCINE nakuomba nenda Mwenyewe Klabuni Yanga anza Kwanza kwa Kuwaomba Radhi kwa yote yaliyopita, waambie unataka Kucheza Soka nje ya Tanzania ili wakupe Baraka zote na Leseni yako kisha uondoke / uachane nao kwa Amani.
Fei Toto nikuhakikishie Yanga SC ya sasa Wamejifunza pakubwa hasa Kisheria baada ya Kuteswa na Bernard Morisson katika lile Sakata lake na Simba na Yanga hivyo kwa sasa hawawezi Kukosea tena Wanatamba hivi kwakuwa Walikokubania hakika huchomiki hata ende Mahakama ya Mungu Mbinguni.
Rafiki yako Jonas Mkude nimejitahidi mno Kumsihi abadilike hasa kwa Kulewa Kwake na Kusema Kauli kuwa kabla Mama yake hajafa anataka aichezee Yanga SC ili amfurahishe ambaye imesharekodiwa na Watu na kuwafikia Viongozi wa Simba SC ambao na Wao sasa kwa Makusudi wameamua Kukukomoa kwa kumwambia Kocha asikupange au akupange katika Mechi za Kawaida na zisizo na Umuhimu kivile ili Kukuzuga na Kutuzuga Sisi wana Simba SC tujue kuwa hakuna / huna Tatizo.
Fei Toto bila Yanga Kubariki kokote atakapoenda hatofanikiws kwani GENTAMYCINE nazijua tabia za Siri za hivi Vilabu Vikubwa nchini vya Simba na Yanga wanazowafanyia Wachezaji Jeuri na Viburi.
Kwa msiojua Wazee wa Yanga na Simba pale Klabuni Jangwani na Msimbazi huwa wanaweza / wanatunza Jasho za Wachezaji wao Mahiri na Tegemeo katika Chupa Maalum ili Siku akiwazingua tu wanamkalia Kikao cha Kummaliza Kiuchawi / Kiushirikina kupitia Chupa yenye Jasho lake walioiifadhi Klabuni.
Wahanga wa hivi Karibuni wa Mchezo huu wa Wazee wa Simba na Yanga ni Wachezaji Bernard Morisson akitoka Yanga SC kwenda Simba na Frank Domayo kutoka Yanga SC na kwenda Azam FC.
Wengine walikuwa ni Ramadhan Singano akitokea Simba SC kwenda Azam FC na Victor Costa akitokea Simba SC kwenda Yanga SC.
Fei Toto Mdogo wangu cheza na Wote ila siyo Watu ( Wazee wa Simba na Yanga ) na ndiyo maana naendelea Kusisitiza kuwa rudi Yanga SC, jishushe Kwao, Waombe Radhi, Waage kwa Amani ili Wakubariki na uende zako kwa Amani.
Nakutakia kila la Kheri Mdogo wangu.
Nikivuta.kumbe kuna mda unakuaga na akili.
Ukijaa Kizembezembe katika 18 zangu unapewa tu Dozi ili uwe na Adabu Siku zingine sawa?ha ha ha ahsante mkuu na mwaka sijatukanwa hongera.