Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.

Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.

Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.

Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.

Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.

Pia soma: Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?
 
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi. Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.


Ni maisha yake, focus kwenye changamoto zako.
 
hatuzungumzii shingo tunazungumzia mchezo,kama ni hivyo angezira hata kucheza kabisa!!..
hana heshima,kaonyesha mfano mbaya sana tena akiwa kwao!
Uko sahihi mkuu. Wachezaji wanaadhibiwa Kwa kukataa kupeana mkono na mwenzake, lakini Mtu anaona Sawa mchezaji aliyesusia kuvishwa medali na kushikana mkono na mgeni rasmi?
 
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi. Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
 
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi. Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
20240603_060130.jpg
 
Back
Top Bottom