joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nimeteska sehemu gani, niimekupa mifano halisi unasema nateseka.Hahahaa. Mm naona unateseka nae. Huu ni mpira boss.
Kwanza huoni kwamba unateseka ww sababu mechi haikuhusu. Halafu walio cheza jana wapo level tofauti na ww,wenzako wapo Championship, ww upo confederation level mbili tofauti.