Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.

Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.

Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.

Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.

Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
kitoto kinadeka deka tokea mama yake kuwa raisi kimekuwa jeuri sana
 
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.

Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.

Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.

Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.

Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
Dogo ana utoto mwingi sana. Atafutiwe watu wa kumshauri.
 
Dogo ana dharau, kiburi kilicho komaa mnoo.

Kwa Ile ishara alipofunga Gori lake Ina tafsiri Pana sana, wala sio nongwa
Sio hata ngumu kumuona Feisal kuwa kwa sasa ana pride sana, Kendrick Lamar alisema "Pride is gonna be the death of you and me".

Abadilike bado mapema.
 
Hahaha, baadhi ya mashabiki wa Yanga furaha yao itakamilika pale tu Fei atakapopotea kisoka. Yaani haifichiki hata wajitahidi vipi unakaona kachuki kaleee.
Tuchukulie Wachezaji wote wa Azam wangesusia kuvalishwa medali, wewe ungeona poa tu Mkuu? Mambo haya madogo ndio yanafanya Wachezaji wengi wa Kitanzania kushindwa kuendeleza career zao.
 
Nimeteska sehemu gani, niimekupa mifano halisi unasema nateseka.

Kwanza huoni kwamba unateseka ww sababu mechi haikuhusu. Halafu waliocheza jana wapo level tofauti na ww,wenzako wapo Championship, ww upo confederation level mbili tofauti.
Hahaha. Mechi hainihusu. Embu tuishie hapa boss. Pumzika.
 
Tuchukulie Wachezaji wote wa Azam wangesusia kuvalishwa medali, wewe ungeona poa tu Mkuu? Mambo haya madogo ndio yanafanya Wachezaji wengi wa Kitanzania kushindwa kuendeleza career zao.
Upo sawa.
 
Fei ni mwamba anawachachafya mishabiki michawi ya utopolo.
 
Back
Top Bottom