Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mchezaji wa Azam FC Feisal Salum amekimbia uvaaji wa medali za mshindi wa pili Kombe la Shirikisho baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penati dhidi ya Yanga.
Feisal alionesha ishara ya kuwanyamazisha mashabiki wa Yanga baada ya kufunga mkwaju wa penati wa uongozi.
Pia soma: Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?
Feisal alionesha ishara ya kuwanyamazisha mashabiki wa Yanga baada ya kufunga mkwaju wa penati wa uongozi.
Pia soma: Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?