mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Na pia ana kidharau Fulani Cha kishamba sanaAliona aibu baada ya kuonesha ishara za kukomesha mashabiki wa Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pia ana kidharau Fulani Cha kishamba sanaAliona aibu baada ya kuonesha ishara za kukomesha mashabiki wa Yanga
Sawa braza ake feisal atakua amesoma na amekusikia .. ntamsisitiza nikimuona kua brother haujapenda mdg wenu alicho wafanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa braza ake feisal atakua amesoma na amekusikia .. ntamsisitiza nikimuona kua brother haujapenda mdg wenu alicho wafanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni moja ya changamoto yangu labda wewe ndo ufocus na maisha yako.
Hivi walijichanganyaje...maana biblia inasema hakuna aijuaye siku wala saa!Wasabato hii siku hawataisahau kamwe.Imagine umeuza kila kitu na kuaga watu wote wa duniani kwamba unaenda Mbinguni na Bwana Yesu, halafu hola.
Una uhakika muanzisha mada anastahili kufurahia kombe la Yanga?Badala ya kufurahia kombe mnacheza ngoma ya Fei.
Fake Id lolote linawezekana, inawezekana ni Ali K huyo.Una uhakika muanzisha mada anastahili kufurahia kombe la Yanga?
Hata wewe unaruhusiwa kufurahiaBadala ya kufurahia kombe mnacheza ngoma ya Fei.
Hichi kitendo angekifanya mchezaji yoyote wa Yanga,yule Kazumari angetoa gazeti refu,lakutaka mchezaji apewe adhabu na TFF.Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.
Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
Mm nahuzunika. Zamu ya vyura tena.Hata wewe unaruhusiwa kufurahia