Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

Hii ni moja ya changamoto yangu labda wewe ndo ufocus na maisha yako.

Hako kajamaa kanaitwa Faisal ni kajinga, katoto, na kana kiburi, kalionyesha wakati kanatoka Yanga, ujinga is what is expected of Him....
 
Badala ya kufurahia kombe mnacheza ngoma ya Fei.
 
Wasabato hii siku hawataisahau kamwe.Imagine umeuza kila kitu na kuaga watu wote wa duniani kwamba unaenda Mbinguni na Bwana Yesu, halafu hola.
Hivi walijichanganyaje...maana biblia inasema hakuna aijuaye siku wala saa!
 
Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.

Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.

Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.

Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.

Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
Hichi kitendo angekifanya mchezaji yoyote wa Yanga,yule Kazumari angetoa gazeti refu,lakutaka mchezaji apewe adhabu na TFF.

Jana wao walijiandaa na penati hawakuja kucheza mpira,ndio maana walikiwa wanajiangusha na kupoteza mda tu.
 
Badala ya kufurahia kombe mnacheza ngoma ya Fei.
Haya kiko wapi1.jpeg
Haya kiko wapi2.jpeg
 
Back
Top Bottom