joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Nimeteska sehemu gani, niimekupa mifano halisi unasema nateseka.Hahahaa. Mm naona unateseka nae. Huu ni mpira boss.
kitoto kinadeka deka tokea mama yake kuwa raisi kimekuwa jeuri sanaNikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.
Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
Dogo ana utoto mwingi sana. Atafutiwe watu wa kumshauri.Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi.
Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa Azam na gongo lake anavishwa medali.
Lakini Kwa namna nisiyotarajia mdogo wangu Feisal sikumuona. Labda kama atakuja na sababu isoyotia Shaka iliyosababisha asiwepo.
Kama Hana sababu zaidi ya makusudi na siasa za usajili basi amevuka mipaka ya ustaarabu wa soka.
Feisal ni mchezaji mzuri lakini Kwa mwenendo huu hapana, utapotea mdogo wetu.
Sio hata ngumu kumuona Feisal kuwa kwa sasa ana pride sana, Kendrick Lamar alisema "Pride is gonna be the death of you and me".Dogo ana dharau, kiburi kilicho komaa mnoo.
Kwa Ile ishara alipofunga Gori lake Ina tafsiri Pana sana, wala sio nongwa
Mjomba ni mama..!!Tatizo la malezi ya upande mmoja.Feisal kalelewa ujombani,hawezi kuwa sawa.
Tuchukulie Wachezaji wote wa Azam wangesusia kuvalishwa medali, wewe ungeona poa tu Mkuu? Mambo haya madogo ndio yanafanya Wachezaji wengi wa Kitanzania kushindwa kuendeleza career zao.Hahaha, baadhi ya mashabiki wa Yanga furaha yao itakamilika pale tu Fei atakapopotea kisoka. Yaani haifichiki hata wajitahidi vipi unakaona kachuki kaleee.
Hapana hapa napingana na wewe Mkuu. Mfano mechi ya jana Fei alikuwa na papara sana.Uzuri inampa motisha zaidi. Anafanya vizuri sana uwanjani. Fei ni mwamba.
Hahaha. Mechi hainihusu. Embu tuishie hapa boss. Pumzika.Nimeteska sehemu gani, niimekupa mifano halisi unasema nateseka.
Kwanza huoni kwamba unateseka ww sababu mechi haikuhusu. Halafu waliocheza jana wapo level tofauti na ww,wenzako wapo Championship, ww upo confederation level mbili tofauti.
Mwakani tena.Hahaha. Mechi hainihusu. Embu tuishie hapa boss. Pumzika.
Upo sawa.Tuchukulie Wachezaji wote wa Azam wangesusia kuvalishwa medali, wewe ungeona poa tu Mkuu? Mambo haya madogo ndio yanafanya Wachezaji wengi wa Kitanzania kushindwa kuendeleza career zao.
Huu ni mpira tu mdau......tusifike huko..... ina maana wewe una akili ?Mnashangaa nini wakati mtu mwenyewe hana kichogo unategemea mtu wa aina hiyo atakuwa na akili?
Aliona aibu baada ya kuonesha ishara za kukomesha mashabiki wa Yanga