Ndugu yangu nina mengi basi? Nipo paleee! Fatuma kalibeba hili na Karumes watafanya nini? Kama aliwahi kuwa against CCM wakabaki macho kodo itakuwa Uto timu ya babu? Nipo paleeee [emoji23]Leo unamsifia fatima karume wakati wa Magufuli ulikuwa ukimtukana na kumuita shoga kweli wewe dishi lipo sawa kweli?
DuhSababu za kuvunja mkataba FIFA ni iwapo mchezaji halipwi na timu yake sio tu akijisikia kuvunja anavunja
Endelea kulikalia wala usichomoe Hadi unyeWakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Ipo wapi hio barua!?Kama barua mbona alishapeleka hii nchi duhh!!!
Acha waendelee kupoteza mda na nguvuSababu za kuvunja mkataba FIFA ni iwapo mchezaji halipwi na timu yake sio tu akijisikia kuvunja anavunja
Umeelewa ulichoandika mkuu?Wakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Awaandikie nyingine tena ya kuomba taratibu za kuvunja mkataba na kuwakumbusha kuwa hataki kurudi kambini wala mazoezini. Yanga watamwachia tu Haha.Si aliwaandikia ile ya kwanza, wakasema hakufuata taratibu, TFF haikutoa idhini, wameandikiwa TFF ndio wamejibu walichojibu
Makolo na Faisal lao moja piaKwenye suala la Feisal, TFF na utopolo lao moja imeshathibitika muda mrefu uliopita.
Naona hamjachoka kumdanganya, nawashauri tu mwambieni arudi Yanga ndio salama yake.Wakuu,
Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki mudhalilishe professional yake kizembe! Sasa goma limekwama kooni, Dogo amekaa pembeni big fish wanachapana [emoji23]
Fatuma kashasema hili goma lake! Hajasoma vichochoroni [emoji23] , kiufupi Uto wana kuwa dragged into complex trap wachekwe! Mtumieni mchezaji mnataka avunje vipi mkataba biashara iishe bila any damage! Otherwise nimekaa paleeee!
Nyie ndo mnaaomdanganya FEI Toto..!! Mpaka sasa, Fei kishaanza kutoweka midomoni na vichwani mwa wapenzi wa soka..!!Hizi danana za TFF zina mwisho.
Mwanzo Fei alipovunja mkataba, Yanga ilimshtaki kuwa hajafuata uataratibu kwasababu TFF haikutoa idhini, ikiwa TFF lazima ihusishwe kwenye kuvunja mkataba.
Mawakili wa Fei wakadai mkataba ushavunjwa kama amekosea kuvunja apewe haki yake kama kulipa fidia au adhabu.
TFF ikakomaa kuwa mkataba utavunjika tu ikiwa wao watahusishwa na kutoa idhini.
Wakaona isiwe kesi, mawakili wa Fei wakaandika barua kwenda TFF ili kutoa idhini ya kuvunja mkataba.
Matokeo ndio haya ya Sasa [emoji2962][emoji2962]
Na kwa bahati mbaya kwa FEI, Yanga imesonga without him..!! Yaani kama ni pengo kuonekana, almost halijaonekana kabisa..!! Wanamdanganya..!! Tena sana..!!Naona hamjachoka kumdanganya, nawashauri tu mwambieni arudi Yanga ndio salama yake.
Alhaji Rage Alisha lisema hili, Sheria za kazi / Sheria za nchi ni tofauti na Sheria za FIFA.Ukisema kuongea na waajiri wake unamaanisha kuripoti kambini ambapo hataki kuwepo au unamaanisha kupeleka barua ya kuomba kupewa taratibu za kuvunja mkataba?
Yanga wametimiza masharti ya mkataba....hivyo Hana hoja ya kuwaandikia kuvunja mkataba kienyeji...Aliandika kwenda TFF. Awaandikie Yanga sasa tuone majibu yao. Hahaha
Hapo kwenye tafsiri ya mawasiliano na Yanga ndo pana shangaza.Alhaji Rage Alisha lisema hili, Sheria za kazi / Sheria za nchi ni tofauti na Sheria za FIFA.
Kumwandikia mwajiliwako notice ya 24hrs ya Kuvunja mkataba ni Sheria za nchi.
FIFA hawana utaratibu huo na hawawezi luhusu ilo kwakua Ipo siku unaweza Kupoteza mchezaji zaidi ya mmoja Kwa mkupuo.
Ndio maana Rage alimshauri Fisal arudi kuongea na Yanga Ili wafikie muafaka na kuachana bila ugomvi.
Akaongeza kuwa Feisali amfuate yeye amsaidie tatizo alilo nalo.
Okey boss.Yanga wametimiza masharti ya mkataba....hivyo Hana hoja ya kuwaandikia kuvunja mkataba kienyeji...
Ndio maana Yanga wanataka apeleke ofa wamuuze kwa faida ama la wanshughulikie kwa kuto utendea Haki mkataba....
Amekwama.....
Mikataba haivunjwi kuholela kama utakavyo wewe.Hivi mnaposema kuongea na waajiri wake manaanisha nini ?
Maana hapo awali alishatuma na barua huko jangwani.
Tatizo mnatanguliza ushabiki na hisia, hakuna mkataba usio vunjikaMikataba haivunjwi kuholela kama utakavyo wewe.
Ingekuwa hivyo basi timu nyingi zingekuwa zinajifia wakati ligi inaendelea , wachezaji wanarubuniwa then wote wanadai mikataba ivunjwe.
Ukishaishiwa hoja laxima ukimbilie comment ya aina hiyo uliyoitoa.Tatizo mnatanguliza ushabiki na hisia, hakuna mkataba usio vunjika
Uko sahihi......Kisheria hakuna mkataba usiovunjika nashindwa kuelewa wanasheria wa yanga walisoma vyuo gani. Mkataba usiokuwa na option ya termination ni mkataba batili.