OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nawashauri Wazee wa Yanga waandamane kumuona Rais Samia,hii sio sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamepewa kimilioni miamoja na kumi na mbili chao wamesusa ,eti wamerudisha hahahahaCaption inajielezaView attachment 2464407
Mkose wote na nani?? [emoji23][emoji23][emoji23]Safi sana,bora tukose wote.
Mzee mzima kiherehere debe
Feisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?Yanga Sasa
Wanarudi Wanalia Aaa Huruma Watia Hurumaa
Wamesusia bidhaa!! HahahahaaaaWazee wa Yanga itabidi waende Zanzibar kwenye mapinduzi cup kwa kutumia mtumbwi
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣😂😂😂Feisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?
Wapo hapa watazama Azam HD1. Wajinga hawa jamaaWamesusia bidhaa!! Hahahahaaaa
Kwani mlikuwa mnashindana na nani. Mi najua ni Yanga na Feisal, na Fei ndio kashindaSafi sana,bora tukose wote.