Feisal: Naelekea Ulaya kuanza majukumu mapya

Feisal: Naelekea Ulaya kuanza majukumu mapya

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20221231-153404_Samsung Internet.jpg


Nawashauri Wazee wa Yanga waandamane kumuona Rais Samia,hii sio sawa
 
Halafu wakiambiwa hawajui kuweka vipengele vya kwenye mikataba na wachezaji wao wanabisha tu, wajinga wanajibana wenyewe, ...."ooh lazima akitaka kuvunja mkataba akaongee na Yanga", haya sasa ndio huyoo anaenda kupanda ndege akaongee na utopolo.!!

Na yule Hersi huwa anawachezea utopolo fans kama midoli, ..ooh tuna negotiating power sijui nini!! Hajui hata Madrid na wengine wazito huwa wanawaacha wachezaji wao waondoke wakinunua mikataba yao, wao wapo kipropaganda tu.

Viongozi vijana wanaotumia akili za wazee wa klabu kufikiria na kutenda.!!

Onyo:

Hasira za ujinga wenu msituletee sisi, bado tunasherehekea wiki tuliyompiga mtu jana, makasiriko yenu pelekeni kule kwenye matope.
 
Walijua wakirudisha pesa dogo atajirudisha wakaongee wamalizane, matokeo yake pesa imerudi dogo anapanda ndege anasepa zake.

Akili na mawazo ya kizee havina nafasi tena kwenye mpira wa kisasa..issue ni vipengele vya kwenye mkataba tu, nothing else.
 
Back
Top Bottom