SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Haya Utopolo pandeni juu mkazibe sasa, mna roho mbaya sana na ndiyo imekula kwenu si mumedengua na ile hela mkamrudishia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Utopolo pandeni juu mkazibe sasa, mna roho mbaya sana na ndiyo imekula kwenu si mumedengua na ile hela mkamrudishia.
Ufafanuzi tafadhali. Kama amepata kweli timu Ulaya, sioni tatizo. Ni jambo la heri kwake. Na hata kama anaenda Azam, bado sioni kama kuna tatizo.
Yanga 1 - Mtibwa 0 HT
NAWAKUMBUSHA TU msije sema bahasha wakat mnafuatilia suala la feisal wenzenu wanakusanya point 3
Mkimsajili niiteni mbwa,nyie kazi kujifariji kwa kuwataja wachezaji wa Yanga,mkija kushuka toka usingizini Yanga bingwa[emoji23][emoji23]View attachment 2464427
Kuna mwingine amesharushiwa chambo, ana angaika kuimeza...
Mo amefirisika, alisikika kijana mmoja pale jangwa la karahali...
Sheria kwanza, utaratibu ni sawa na hisani tu, hata hivyo alishawashukuru kwa kuwa pamoja nae kwenye ile taarifa yake aliyoitoa muda mfupi baada ya kuwapa zile pesa mkazikataa.Ufafanuzi tafadhali. Kama amepata kweli timu Ulaya, sioni tatizo. Ni jambo la heri kwake. Na hata kama anaenda Azam, bado sioni kama kuna tatizo.
Muhimu tu aondoke kwa utaratibu. Maana mpaka hapo alipo, Yanga nayo ina mchango wake. Huwezi kumlinganisha yule Fei Toto wa JKU enzi hizo, na huyu Fei Toto wa sasa.
punguza kunywa mbege wewe
Wanajutraaaa kwakweliWatu wamepewa kimilioni miamoja na kumi na mbili chao wamesusa ,eti wamerudisha hahahaha
Watu,wameprint pay in slip wamekaa nayo kama ushahidi........
Watalia na kusaga meno
StressUna shida gani kiongozi! Mbona unatukana tukana tu hovyo!
Kwaiyo Fei toto ndio kombe lenu vijana wa rage? Naona kaondoka fei toto na yanga ameshuka kwenye msimamo🤣🤣🤣
Nawakumbusha tu zebaki mechi 11 ligi itamatikeWanajutraaaa kwakweli
Aisee mnatia huruma sanaaa...mna stress sanaaa...sisi tunakumbukaaNawakumbusha tu zebaki mechi 11 ligi itamatikeView attachment 2464576
Ni wapi kasema kuwa anaenda Ulaya?
Hivi siku akionekana uwanjani akiichezea timu yake ya Yanga, mtaficha wapi sura zenu? Muwe mnaweka akiba ya maneno.Safi Sana Feisal, utopolo sio Baba yako wala mama yako.
Wenye stress huwa wanatafuta sehemu ya kupata faraja kama mfanyavyo ninyi... Yaani tumewabonda juzi tu ufunguzi wa ligi tukachukua kombe na Sasa tunawaongoza nyie na wenzenu wote waliopo hapa nchini[emoji1241] halafu tutie huruma????[emoji1][emoji1][emoji1]Aisee mnatia huruma sanaaa...mna stress sanaaa...sisi tunakumbukaa
Hv mlete Mzungu aliondokaje??Halafu wakiambiwa hawajui kuweka vipengele vya kwenye mikataba na wachezaji wao wanabisha tu, wajinga wanajibana wenyewe, ...."ooh lazima akitaka kuvunja mkataba akaongee na Yanga", haya sasa ndio huyoo anaenda kupanda ndege akaongee na utopolo.!!
Na yule Hersi huwa anawachezea utopolo fans kama midoli, ..ooh tuna negotiating power sijui nini!! hajui hata Madrid na wengine wazito huwa wanawaacha wachezaji wao waondoke wakinunua mikataba yao, wao wapo kipropaganda tu.
Viongozi vijana wanaotumia akili za wazee wa klabu kufikiria na kutenda.!!
Onyo:
Hasira za ujinga wenu msituletee sisi, bado tunasherehekea wiki tuliyompiga mtu jana, makasiriko yenu pelekeni kule kwenye matope.