Sawa... kila la kheri mwelevuAcha umbumbumbu, Sheria gani iliyobadilika.
Hivi siku akionekana uwanjani akiichezea timu yake ya Yanga, mtaficha wapi sura zenu? Muwe mnaweka akiba ya maneno.
Mngekuwa hampati taabu mngeitisha mkutano wa matawi kususia bidhaa za Azam na kuvunja mkataba wa bilioni 41 ?Feisal sio Yanga wala Yanga sio Feisal, kwanini mnapata tabu nyie na sio sisi?
Wa Simba tuondoe kwenye ujinga wa Yanga na ututake radhiMashabiki wengi wa Yanga na Simba huwa wanafanana, wote ni wajinga, na huwa wako busy mnoo kushabikia chochote, na kwa mtindo huo viongozi wao huwatumia vyovyote vile kama mataahira.
Hilo la Feisal ni mfano mmojawapo.
Ambavyo huna akili haujui katiba ya Yanga sasa hivi haina kitu kinaitwa wazeeMngekuwa hampati taabu mngeitisha mkutano wa matawi kususia bidhaa za Azam na kuvunja mkataba wa bilioni 41 ?
Mnashindwa ku analyze vitu vidogo sana, nyie ni mashabiki wepesi sana msio na kitu kichwani.Mkuu Huwa nakuona mtu mwenye akili nyingi, ila linapokuja suala la u simba na u yanga unakuwa ni pooza[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Usajili wakati mwingine ni kama kubahatisha, mchezaji anaweza kuwa mzuri atokako akija kwako anachemsha, mtazame Hazard wa Chelsea na huyu wa R. Madrid...Kama hakuwa mzuri kwann mlimsajili? Kwahyo viongozi wenu hawana akili wanasajili wachezaji ambao siyo wazuri?? Ouattara anakaa nje tu, Okwa the same mbona wao hawajavunja mikataba wakaondoka?? Think twice mkuu
Hiyo ITC labda mumnyime Fei kwasababu ya siasa za Uyanga zilizopo TFF, lakini akikata rufaa CAS, mtaisoma namba.Nduguzangu ma Mbumbumbu fc nani amewaloga, Feisal hawezi kucheza nje ya nchi pasipo uhamisho wa kimataifa. Taarifa zake na klabu anayoenda na anayotoka lazima zilingane katika mfumo wa usajili wa kimataifa ndio usajili ukamilike.
Hakuna usajili wa kimataifa utakamilika bila Yanga kuhusika. Usajili unahitaji ITC international Transfer Certificate.
Bahati Mbaya Mbumbumbu siku zote wanaingizwa Chaka.
Feisal Kama ameondoka labda kwenda kucheza ma bonanza si Kwa mpira wa Ushindani Wala klabu inayo tambuliwa na FIFA.
Wewe hebu leta hiyo katiba unayoiita ya sasa ya Yanga, halafu utuonyeshe wapi haiwatumbui wazee wa timu......Ambavyo huna akili haujui katiba ya Yanga sasa hivi haina kitu kinaitwa wazee
Ujumbe muruwa wa kufungulia mwakaHalafu wakiambiwa hawajui kuweka vipengele vya kwenye mikataba na wachezaji wao wanabisha tu, wajinga wanajibana wenyewe, ...."ooh lazima akitaka kuvunja mkataba akaongee na Yanga", haya sasa ndio huyoo anaenda kupanda ndege akaongee na utopolo.!!
Na yule Hersi huwa anawachezea utopolo fans kama midoli, ..ooh tuna negotiating power sijui nini!! hajui hata Madrid na wengine wazito huwa wanawaacha wachezaji wao waondoke wakinunua mikataba yao, wao wapo kipropaganda tu.
Viongozi vijana wanaotumia akili za wazee wa klabu kufikiria na kutenda.!!
Onyo:
Hasira za ujinga wenu msituletee sisi, bado tunasherehekea wiki tuliyompiga mtu jana, makasiriko yenu pelekeni kule kwenye matope.
Kabla ya kubamizwa 3-1 hapo kwa Mkapa hatoki mtu yule mhamasishaji wenu MWIJAKU alipoapa kuwa viongozi wa Nganda watavua nguo na kutembea uchi ikiwa watafungwa na wale Makirikiti alikuwa anaapa kwa niaba ya YANGA?Hivi mashabiki na viongozi wa Yanga hii ya kusema mkifanya hivi mniite fulana mbona mnaipenda...Mara Mbwa,mara Ashura cheupe mara Ashura UTI...au utasikia nitatembea uchi na kujisaidia hadi Kariakoo..,aisee...mara mcheze uchii ...yaani shida sana.
Nikuletee wewe nani?Wewe hebu leta hiyo katiba unayoiita ya sasa ya Yanga, halafu utuonyeshe wapi haiwatumbui wazee wa timu......
Yanga walipewa tu huyu mchezaji kama rambirambi hawajamnunua hata kwa thumni ,kumbuka hilo kwanzaUfafanuzi tafadhali. Kama amepata kweli timu Ulaya, sioni tatizo. Ni jambo la heri kwake. Na hata kama anaenda Azam, bado sioni kama kuna tatizo.
Muhimu tu aondoke kwa utaratibu. Maana mpaka hapo alipo, Yanga nayo ina mchango wake. Huwezi kumlinganisha yule Fei Toto wa JKU enzi hizo, na huyu Fei Toto wa sasa.
Ebu acha ujinga Jana vs mtibwa mbona job amecheza unaongea as if Simba wameshamalizana nayeView attachment 2464427
Kuna mwingine amesharushiwa chambo, ana angaika kuimeza...
Mo amefirisika, alisikika kijana mmoja pale jangwa la karahali...