Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
- Thread starter
- #21
Hizi timu zinafanyaga watu wawe matahiraNakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!
Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?
Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
Mfano madrid wanamtaka jude bellingham basi wamwambie ingia mitini alafu ukiwa ukiwa mitini nenda kwenye shirikisho la ujeruman la mpira waambie wavunje mkataba wako na dortmund sababu huipendi dortmund alafu chama cha mpira wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni madrid kirahis hivyo
Ukinga ni tatizo kubwa sana Tanzania nyerere hakukosea