Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Feisali aliamza kuvunja mkataba kwa kurudisha pesa ya mishahara mitatu na hela ya usajili. Aliambatanisha na kifungu cha mkataba kinachompa authority ya kuvunja mkatabaSijachanganya. Fei alitanguliza utovu wa nidhamu kwa kuondoka kambini kihuni...huo si utovu wa nidhamu?
Au kibongobongo ni sawa?
Na alitoa na statement ya kuwaaga mashabiki.
Hata Club ilikiri kupokea hizo pesa.
Kwa hiyo kusema aliondoka kambini naweza kukubali, kwasababu aliondoka akiwa sio mchezaji wa Yanga.