Nani analazimisha? Yanga since day One walimwambia wakae mezani wajadiliane jinsi ya kuvunja mkataba na siyo kukurupuka unauvunja mkataba facebook/instagram na kuingiza pesa bila kukaa mezani na mwajiri wako,inaonekana haujawahi kufanya kazi zenye mikataba wewe....Ukitaka kuacha kazi lazima utoe notice kwa mwajiri either 1 month or 24 hrs ila huyu Amijei yeye hajatoa notice wala nini yeye kadumbukiza fedha kisha akavunja mkataba Instagram/facebook.
Mikataba ya mipira ipo wazi haivunjwi kienyeji enyeji ,ingekuwa inavunjwa kienyeji enyeji ipo siku utakuta simba mmebakia na MO tu,wachezaji wate wamevunja mkataba facebook nyinyi mkakuta fedha kwenye account halafu hapo hapo mna mechi ndani ya siku 3,utafanyaje?
Amijei amekurupuka ,wamemdanganya ,asichokijua mshahara ni bargaining kati ya mwajiri na mwajiriwa ,ndiyo maana wote mnaweza kuwa same position lakini mkazidiana mishahara ,kama yeye aliona analipwa kidogo kuliko azizi ki ,mkataba ulipoisha hapo mwanzo asingeongeza.