Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Sijasema Yanga hana uwezo wa kulipa.

Nimesema Yanga hana maslahi kupeleka kesi CAS hivyo hawezi kukubali kutoa hiyo hela.

Kwenye kesi ya Morrison Yanga ndio waliotoa hela kule CAS baada ya Simba kuona kesi hiyo kwao haina maslahi kwasababu hapa walikuwa wameshinda.

Sijui kama umeelewa
Ile million 100 aliyoweka kwenye account ya Yanga si aipeleke CAS kama ana uhakika atashinda
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Ebu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendelee
 
Hakuna mwamuzi wa mwisho kwenye kuvunja mkataba

Hakuna maamuzi yanayoruhusu upande wowote kuendelea kumng'ang'ania mtu pale ambapo yeye hana nia ya kuendelea kubakia

Nimeweka vifungu vya kisheria hapo, njoo na wewe na hoja zako ambazo ziko supported na sheria usije na speculations zako zakishabiki
Kwaiyo fei alisign mkataba wa upande mmoja na ndio maana kavunja peke yake au sio bwana mwanasheria?
 
Tanzania pekee ndio chama cha mpira kina haki ya kuvunja mkataba, ila huko duniani ni mchezaji ndio anavunja mkataba
Mnaingia king kwa vitu hamjui Feisal anataka TFF wavunje mkataba wakati hawana mamlaka kumbe huelewi nn kinacho endelea una payuka tu
 
Yani kama hajafuata utaratibu basi ndio inafanya zoezi la kuvunjika mkataba liwe lepesi zaidi.

Na faini juu, ambapo kama Club inaweza kujipatia pesa kupitia makosa ya mchezaji.

Lakini hata baada ya maneno mengi kusemwa kuwa amevunja utaratibu na kuamua kufata utaratibu kuvunja mkataba bado maamuzi yaliotolewa yameonesha tatizo halikuwa kutofuata utaratibu

Bali tatizo ni Yanga hawataki mkataba uvunjwe, hivyo kwasababu yeyote ile huwezi kupatiwa unachokitaka
Ni utaratibu upi ameufata tuambie? Ameenda kuzungumza na waajiri wake? Au utaratibu unaosema ni wa kuwataka tff wavunje mkataba wake na yanga?
 
Ebu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendelee
Vijana wa hivi ni hasara kwa Taifa
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Hajalazimishwa alisaini mkataba.
 
Nani analazimisha? Yanga since day One walimwambia wakae mezani wajadiliane jinsi ya kuvunja mkataba na siyo kukurupuka unauvunja mkataba facebook/instagram na kuingiza pesa bila kukaa mezani na mwajiri wako,inaonekana haujawahi kufanya kazi zenye mikataba wewe....Ukitaka kuacha kazi lazima utoe notice kwa mwajiri either 1 month or 24 hrs ila huyu Amijei yeye hajatoa notice wala nini yeye kadumbukiza fedha kisha akavunja mkataba Instagram/facebook.

Mikataba ya mipira ipo wazi haivunjwi kienyeji enyeji ,ingekuwa inavunjwa kienyeji enyeji ipo siku utakuta simba mmebakia na MO tu,wachezaji wate wamevunja mkataba facebook nyinyi mkakuta fedha kwenye account halafu hapo hapo mna mechi ndani ya siku 3,utafanyaje?

Amijei amekurupuka ,wamemdanganya ,asichokijua mshahara ni bargaining kati ya mwajiri na mwajiriwa ,ndiyo maana wote mnaweza kuwa same position lakini mkazidiana mishahara ,kama yeye aliona analipwa kidogo kuliko azizi ki ,mkataba ulipoisha hapo mwanzo asingeongeza.
Yanga haikuwahi kumuita mezani Feisali kwa lengo la kuvunja mkataba
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Na wewe kuna wakati uwe unafikiri kabla ya kuandika. Kwa akili yako unaona ni sahihi huyo Dogo kwenda TFF kuomba mkataba wake na Yanga uvunjwe?

Yaani mkataba ameingia na Yanga! Halafu TFF ndiyo wauvunje! Inakuja akilini kweli? Kwa nini asiende kukaa meza moja na Yanga, ambaye ndiyo aliyeingia nao mkataba; kufikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja huo mkataba waliongia?
 
Elimu Elimu Elimu ,Nyerere alizungumzia Umuhimu wa katiba ,Katiba ndiyo sheria Mama ,Hauwezi kukurupuka asubuhi umepata ushauri kutoka kwa mkeo halafu unakuja kuiplement nchini ,hii nyerere alimaanisha lazima ufuate katiba/sheria na si kukurupuka.

Ni kweli mkataba una pande mbili na kati ya hiyo yoyote anaweza kuvunja na kila pande kuna taratibu hata mwajiri akikurupuka tu kuvunja mkataba inabidi akulipe pesa ndefu sana kama hajafuata taratibu ,the same kwa fei(mwajiriwa) hawezi kukurupuka kuvunja mkataba bila kufuata sheria ,mwajiri akitaka kuvunja mkataba kwanza inatakiwa aongee na mwajiriwa kisha atoe notice ya mwezi mmoja kwamba mwezi ujao sitoendelea na mkataba kisha ampe stahiki zake kimkataba na hivyo hivyo mwajiriwa akitaka kuvunja mkataba inabidi atoe notice kwa mwajiri wake either 1 month notice or 24 hrs ,Sasa Amijei yeye alilipa tu fedha kisha akavunja Mkataba instagram/facebook hajakaa mezani wala kuwapa taarifa waajiri kama ana nia ya kuvunja mkataba.
Tatizo wengi mnaongelea speculations wakati mimi natumia references za CAS.

Nimeweka huko juu nukuunya kifungu ambacho kinazungumzia mkataba kuvunjika katika namna zote mbili, (with cause & without cause)

Kama mkataba umepitia njia isiyo ya halali lazima uvunijike ila upande uliovunja sheria lazima uwajibike.

Sasa nyinyi wengi mnakubali kuwa Feisali alivunja mkataba bila kufuata utaratibu ila ambacho mnashindwa kujua ni kwamba jaribio lolote la kuvunja mkataba moja kwa moja litakuwa limevunja mkataba
 
Hii ni pumba
Yanga wamekuambia wana haja ya kuvunja mkataba mpaka wamuite
Feisal ndo anataka kuvunja mkataba na sio yanga
Sasa hii ulitakiwa umuandikie shabiki mwenzako ambaye alidhani Yanga walimuita Feisali kwa lengo la kuvunja mkataba
 
Ebu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendelee
Post zilizopita nimeelezea hilo, rudi nyuma usome
 
iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot be obliged to remain employed by the club with which the contractual relationship has been terminated under any circumstances (whether the termination was with just cause or without just cause). Nor can the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to terminate a contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In the event of a dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sanctions may be imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or considered. This principle has been confirmed by CAS,215
Ona hii Bush lawyer inavyotaka kujifanya ni Wakili Msomi.
 
Back
Top Bottom