Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Mkataba huvunjwa na pande mbili za mkataba Tff sio miongoni mwao.pili hill shauri lilikwisha sikilizwa na uamuzi ukatolewa.high of Fei na wanasheria wake wa kuokoteza walitakiwa kurudi Yanga kupata muafaka au kwenda CA's.Yanga imetumia busara ambayo fei na mawakili wake hawana Kwa mujibu wa kanuni za Fifa hairuhusiwi kuvunja mkataba huki ligi ikiwa inaendelea.mwisho kamati ya Tff Kwa kuwa ilikwisha lisikiliza shauri hili pamoja na rufaa haikuwa na jurisdiction tena hivyo upande wa Fai walitakiwa kwenda CA's
Unafikiri hapo mwanzo walipoambiwa hawakufuata taratibu unajua ni zipi ?
 
Unafikiri hapo mwanzo walipoambiwa hawakufuata taratibu unajua ni zipi ?
Wewe shida yako na feisal aende bure yanga isipate chochote
Yanga ina haki lazima akomae apate pesa ya huyo mchezaji
Unajua yanga wamewekeza sh ngapi kwa huyo feisal Hadi kumtambulisha
Gharama za makocha
Matibabu
Gym
Kambi
Lazima aje na timu inayo muhitaji ndani ya mkataba auzwe
Na yanga Ione inarejesha vipi gharama zake
Acheni makelele Mambo sio rahisi ivo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe shida yako na feisal aende bure yanga isipate chochote
Yanga ina haki lazima akomae apate pesa ya huyo mchezaji
Unajua yanga wamewekeza sh ngapi kwa huyo feisal Hadi kumtambulisha
Gharama za makocha
Matibabu
Gym
Kambi
Lazima aje na timu inayo muhitaji ndani ya mkataba auzwe
Na yanga Ione inarejesha vipi gharama zake
Acheni makelele Mambo sio rahisi ivo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Badala ya kujibu hoja unakuja na hisia
 
Mfano Madrid wanamtaka Jude Bellingham basi wamwambie ingia mitini halafu ukiwa ukiwa mitini nenda kwenye Shirikisho la Mpira Ujeruman uwaambie wavunje mkataba wake na Dortmund sababu huipendi na analipwa mshahara mdogo halafu Chama cha Mpira wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni Madrid kirahis hivyo!
Ndo mbinu anayotaka kuitumia feisal na washauri wake

Ni takriban miezi mitano imepita tokea Feisal aingie mitini nikimaanisha kwa muajiri wake Yanga, hayupo kwa sababu anazozijua yeye.

Yanga kama custodian wa mkataba wa Feisal ndio mwamuzi wa mwisho either avunje au asivunje mkataba asubirie mpaka pale utakapoisha na halazimishwi na mtu au taasisi yeyote ile as long anatimiza matakwa ya kimkataba waliyokubaliana.

Na nguvu itaondoka kama atavunja matakwa ya mkataba kama kutokumlipa mchezaji mshahara, mfano Wydad walikuwa hawalimpi mshahara Mvusa kwa hiyo walikiuka matakwa ya kimktaba, ila Yanga hawajakiuka matakwa ya kimkataba.

Unaposign mkataba lazima uutumikie, usipoutumikia makusudi kama afanyavyo Feisal ni kosa kisheria na hilo kosa litapelekea kwa muajiri wako kukupiga penalty ya wewe. Kutokutumikia mkataba ni jambo ambalo watu wengi hasa Watanzania hawalioni.

Kwa Watanzania wengi wana desturi ya kuvunja mikataba kihuni dhid ya waajiri wao na hawachukuliwi hatua yeyote ni kwa sababu tu na wewe pia mwajiri hakuhitaji, lakini kama mwajiri anakujitaji anayo haki ya kukudai fidia sio tu ya kuvunja mkataba kihuni plus kutokuhutumika. Na watu waelewe kutumikia mkataba ni lazima as long ulikubali kusign, sio ombi.

Kitu ambacho Feisal anatakiwa aambiwe straight; asifikiri ataondoka bure hata kama mkataba wake ukiisha anachotakiwa kujua Yanga kama mwajiri wake anahaki ya kumdai fidia Feisal kwa kutokutumikia mkataba wake. Kwa hiyo swala la yeye kuondoka bure mpaka sasa hivi halipo tena, kwa namna yeyote ile labda mwajiri wake Yanga waamue kumhurumia.

Feisal either akubali kuongea na Yanga wamtajie dau wanalotaka ili auzwe au asubirie mkataba uishe awalipe Yanga fidia kwa kutokutumikia mkataba.

Nimeshtuka kuona wakina Fatuma Karume na Madeleka kama Mawakili hili swala, hawajui kwamba kuna penalty ya kutokutumia mkataba ambayo inamsubiria Feisal?



Mfano Yanga wanamtaka Chama basi wamwambie ingia mitini halafu ukiwa mitini nenda TFF uwambie wavunje mkataba wake na Simba sababu Chama haipendi Simba. Chama anailipa Simba kwa kununua mkataba halafu TFF wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni Yanga kirahis hivyo. Ni wenye akili tu ndiyo watakao nielewa.Sijui kipindi kile wanapewa Uwakili Law School haikuwepo ?
 
Mfano Yanga wanamtaka Chama basi wamwambie ingia mitini halafu ukiwa mitini nenda TFF uwambie wavunje mkataba wake na Simba sababu Chama haipendi Simba. Chama anailipa Simba kwa kununua mkataba halafu TFF wavunje mkataba wake aende atakapo ambapo ni Yanga kirahis hivyo. Ni wenye akili tu ndiyo watakao nielewa.Sijui kipindi kile wanapewa Uwakili Law School haikuwepo ?
Ndo uhuni anaotaka kufanya azam alafu watu na akili zao timamu wana-support
 
Hicho kikenge kinatafutq followers tu instagram, kwahiyo kanafanya drama for as long as kinaweza, anajua hawezi shinda, ila the longer the drama, the better
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Ila we jamaa una ushabiki wa hovyo.
Moses Caicedo
Kylian Mbape
Jude Bellingham
Umewahi sikia scenario zao ,maana unaandika utafikiri unaishi pekee Ako pangoni
 
Nakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!

Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?

Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
Yaani huyu jamaa akili zote kaweka pembeni ,mihemko na ushabiki ndio vinamuongoza
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Bro naona kama una uelewa. Ila ngoja nikuulize, umepitia sheria za FIFA za kuvunja mkataba? Mimi sio mwanasheria, ila naona ni vitu very basic kuelewa. Umeona vitu vimeanishwa kama "just cause", je vinaendana na Feisall? Umepitia Article 16 inayosema "a contract cannot be unilaterally terminated during the course of a season."?

 
Kuendelea kulipwa na hafanyi kazi haoni kama ni mtego
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Mkataba hauvunjwi kiwenyeji. Dogo han'gang'aniwi ila afate makubaliano na Sheria zile. Anarudi yanga na anawekwa benchi mana hakuna mtu wa kumpa nafas ya kucheza pale timu ile imekamilika.
 
We lazima unione mbishi, kwasababu huna uelewa wa vitu navyoviandika.

Endelea kuvuta picha maana ndio kitu pekee unachoweza kufanya ukafanikiwa lakini kwenye maswala ya law we ni brightest kama crystals
Okay si uende ukasimamie hio kesi ya nini kupiga kelele mitandaoni wakati mwenzenu anaonewa?
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Yaaani wewe jamaa akili yako ni ngumu sana kuelewa mpaka nawaonea huruma walimu wako.hivi andiko umesoma mpaka mwisho kweli?
 
iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club

When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot be obliged to remain employed by the club with which the contractual relationship has been terminated under any circumstances (whether the termination was with just cause or without just cause). Nor can the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to terminate a contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In the event of a dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sanctions may be imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or considered. This principle has been confirmed by CAS,215
Chaajabu umekopi hiyo post hata hujui kilichozungumzwa
 
Ila we jamaa una ushabiki wa hovyo.
Moses Caicedo
Kylian Mbape
Jude Bellingham
Umewahi sikia scenario zao ,maana unaandika utafikiri unaishi pekee Ako pangoni
Hao uliowataja ndio wali terminate contract without cause?
 
Bro naona kama una uelewa. Ila ngoja nikuulize, umepitia sheria za FIFA za kuvunja mkataba? Mimi sio mwanasheria, ila naona ni vitu very basic kuelewa. Umeona vitu vimeanishwa kama "just cause", je vinaendana na Feisall? Umepitia Article 16 inayosema "a contract cannot be unilaterally terminated during the course of a season."?

Sasa wewe ndio tunaweza kufanya mjadala maana wengine wote wameshindwa kuja na hoja kama hizi.

Najibu swali lako sasa.

Ni kweli hiyo article 16 imezungumzia unilaterally termination, lakini vipi tukienda article 17 inayofuata ambayo haihitaji cause?

Mkataba huwa una room nyingi hivyo kila mtu huamua kuchagua kutumia kipengele gani ambacho yeye kwake ataona kinamfaa.

Tukiamgalia article 17 inatoa ruhusa kuvunja mkataba without cause na mifano ya wanasoka waliowahi kuvunja mikataba kina Hakan Calhanoglu ipo.
 
Mkataba hauvunjwi kiwenyeji. Dogo han'gang'aniwi ila afate makubaliano na Sheria zile. Anarudi yanga na anawekwa benchi mana hakuna mtu wa kumpa nafas ya kucheza pale timu ile imekamilika.
Unaposema Mkataba hauvunjwi kienyeji References yako inakuwa ni nini?
 
Okay si uende ukasimamie hio kesi ya nini kupiga kelele mitandaoni wakati mwenzenu anaonewa?
Umeweza kujitofautisha na mwenzako ambaye analeta challenge kwa kupoint vifungu vya sheria?

Maana yake wewe unayebisha bila references unakuwa huna tofauti na waumini wa Pastor Mackenzie
 
Chaajabu umekopi hiyo post hata hujui kilichozungumzwa
Ukihitaji tafsiri naweza kukupa, maana itabidi nianze kuamini pengine ni lugha ndio inayowapa ugumu hapo

Kwasababu kama umesoma na kuelewa huwezi kundelea kuja na hoja za kishamba sijui mkataba hauvunjwi kienyeji mara mpaka mkae mezani nk.
 
Back
Top Bottom