Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Feisal penalty/fidia ya kutokutumikia mkataba inamsubiria

Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Halazimishwi kubaki bali mkataba alio usaini mwenyewe ndio unaomtaka kubaki.
 
Akienda lazima ashinde, kikwazo hapo ni pesa tu.

Kwasababu Yanga hawawezi kutoa gharama za kuendeshea kesi hivyo Feisali itamlazimu kuwalipia.

Na ndiyo option ambayo TFF na Yanga wameiona Feisali ana udhaifu nayo
Unazani Fei anatumia pesa zake ? Hii issues mastermind ni Yusuph kama wangekuwa watu wakwenda CAS wangeenda zamani ushajiuliza kwa nini wanakomaa na TFF.
 
Nakuchukulia kama genius siku zote kwa michango yako humu jamvini lakini leo nashangaa comment yako hii uliyoandika! Aisee kweli ushabiki wa hizi timu zinawatoa watu akili duh!

Yanga hawalazimishi Feisal abaki suala lipo wazi na hata TFF wameshaliweka wazi kwamba kilichobaki ni maongezi kati ya mwajiri(yanga) na mwajiriwa(Fei) kwa hili yanga yupo tayri kukaa chini na Fei kudiscuss kuhusu kuvunja mkataba wameshatoa wito sana kwa Fei aende mezani waongee,Fei hataki anataka kuvunja mkataba kienyeji kana kwamba yanga sio professional team ni kijiwe cha kahawa tu..Mpaka hapo utasemaje yanga wanamng'ang'ania?

Maamuzi ya TFF sio unfairly na hayajakaa kishabiki maana kwenye mkataba TFF ni third party tu kutoa maamuzi inategemea na maelewano kati ya pande mbili za kwanza..yangekuwa unfairly kamanYanga wangekuwa hawataki kukaa mezani kuvunja mkataba na Fei halafu wao wakasema mchezaji aende akamalizane na timu yake lakini kwa hili yanga yupo tayari kumalizana na Fei,Unfair iko wapi hapa? Ulitaka TFF ndio wavunje mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa? Ingekuwa hivi team zingebaki na wachezaji!? Yaan mtu aamke tu from abajalo fc let's say atake kuvunja mkataba ghafla kwa kulazimisha mkataba uvunjwe TFF bila kuwashirikisha abajalo Fc,wewe umeona wapi hii!? Kutakuwa na mpira kweli nchi hii?
Msimpotoshe dogo aisee aendelee kuliwa hela zake na wanasheria akae chini amalizane na Yanga ataachiwa kwa amani
Kwanza mi sio genius na sitaki mnione kwa jicho hilo kwasababu nitashindwa kuongea mengi ambayo nayaona ni ya kweli kwasababu ya kufikiria kuna watu wanaoniona genius hivyo nibaki kuongea yale wanayotaka kuyasikia.

Mtu ambaye amevunja mkataba illegal sheria inasema kuna adhabu ya faini na kifungo na wakati huo mkataba lazima utakuwa umevunjika, sasa why mnakiri alivunja sheria lakini hamjamuwajibisha?
 
Kwanza mi sio genius na sitaki mnione kwa jicho hilo kwasababu nitashindwa kuongea mengi ambayo nayaona ni ya kweli kwasababu ya kufikiria kuna watu wanaoniona genius hivyo nibaki kuongea yale wanayotaka kuyasikia.

Mtu ambaye amevunja mkataba illegal sheria inasema kuna adhabu ya faini na kifungo na wakati huo mkataba lazima utakuwa umevunjika, sasa why mnakiri alivunja sheria lakini hamjamuwajibisha?
Kama mwambie feisal ameshavunja mkataba tayari atafute timu ameshaachana na yanga tayari
Asipoteze mda wake kwenda TFF hana mkataba na Yanga
 
Ndio 100% jana Fei na mawakili wake walikuwa wakitaka idhini ya kuvunja mkataba kwasababu, kwa TZ ili mkataba uvunjwe lazima chombo husika kihusishwe, sasa majibu waliyopewa leo haya lingani na lile ombi lao
Umeona wapi wakili anayetaka mteja wake ashindwe? Wakili yupo kumtetea mteja wake na kuutetea ugali wake.
 
Tatizo wengi mnaongelea speculations wakati mimi natumia references za CAS.

Nimeweka huko juu nukuunya kifungu ambacho kinazungumzia mkataba kuvunjika katika namna zote mbili, (with cause & without cause)

Kama mkataba umepitia njia isiyo ya halali lazima uvunijike ila upande uliovunja sheria lazima uwajibike.

Sasa nyinyi wengi mnakubali kuwa Feisali alivunja mkataba bila kufuata utaratibu ila ambacho mnashindwa kujua ni kwamba jaribio lolote la kuvunja mkataba moja kwa moja litakuwa limevunja mkataba
Kuna mda nasoma comments zako nacheka tu, ni kwamba huna akili au unajifyatua? Kwamba jaribio la kuvunja mkataba ni sawa na tayari usha vunja mkataba? sasa anatafta nini hapo TFF wakati asha vunja mkataba kwa maelezo yako? ulisoma wapi wewe mbumbumbu?
 
Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?

Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair

Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Wewe nae ni mpuuzi mmoja tu... Hiyo hoja akiyoioeleka imekiuwka ndani ya mkataba wake, yaani atangeneza hoja za kipuuzi afu taasisi kama Tff waingie chaka!!. Watu mmekuwa wajinga na matahira kupitiliza kisa chuki za kishabiki mnataka tff afanye upuuzi wenu?. Puuzi waheed kabisa.....
 
Akienda lazima ashinde, kikwazo hapo ni pesa tu.

Kwasababu Yanga hawawezi kutoa gharama za kuendeshea kesi hivyo Feisali itamlazimu kuwalipia.

Na ndiyo option ambayo TFF na Yanga wameiona Feisali ana udhaifu nayo
Nyie mnaona anaweza kushinda kesi Kwanini msimchangie Kama mna mapenzi nae? Au ndio ukasuku wakipuuzi tu...., Changishaneni mmpe pesa aende CAS.
 
Akienda lazima ashinde, kikwazo hapo ni pesa tu.

Kwasababu Yanga hawawezi kutoa gharama za kuendeshea kesi hivyo Feisali itamlazimu kuwalipia.

Na ndiyo option ambayo TFF na Yanga wameiona Feisali ana udhaifu nayo

Feisal alilipa 112m na akapanda pipa kwenda Dubai kufanya mazoezi na personal trainer ,Leo imekuwaje hana hela ya kwenda CAS?

Unafikiri kwa nini wanasheria wake wa kwanza waligoma kwenda CAS na hawa kina Fatma hawataki kwenda CAS?
 
Back
Top Bottom