Hata alipotoka Zenji dhumuni lilikuwa ni hiloNadhani ndo mpango huo..dogo ana ndoto ya kuichezea Simba
mengine hayawahusu WengineKwanini akae mwaka huko Azam aje hata leo
All the best kwakeMWANASPOTI linajua kabla ya jua kuzama leo Jumatano Juni 7, Feisal Salum 'Fei Toto' atatambulishwa rasmi ndani ya Azam.
Licha ya Azam kufanya siri, lakini Mwanaspoti linajua klabu hiyo ilimalizana na Yanga jana jijini Dar es Salaam baada ya kikao kizito cha pande zote mbili.
Hatua hiyo imekuja baada ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuwaomba Yanga kumaliza mgogoro na kiungo huyo Mzanzibari, ili mambo mengine yaendelee.
Fei aliingia kwenye mgogoro huo, baada ya kuvunja mkataba bila kuzingatia kanuni, hadi kesi kupelekwa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) bado Yanga ikawa kwenye upande wa haki.
Kwa habari zaidi endelea kufuatilia kwenye mitandao yetu na Gazeti la Mwanaspoti kesho Alhamisi Juni 8.
Chanzo: Mwanaspoti
Sure kwanza atakuwa na presha plus gubu la kutaka kuwaonyesha Wananchi as kutafuta hata goli nk, atapotea uwanjani.Kama wana busara, atulie, asicheze kwanza, maana hakika atavurunda vibaya
hv unaielewa futiboli vzr mkuu?Kama wana busara, atulie, asicheze kwanza, maana hakika atavurunda vibaya
Ataenda nje akitokea hapo.Fei akienda Azam ntamshangaa sana, yaani atakua amekubali kuua career yake kwasababu ya maslahi ya muda mfupi let say miaka kama mitatu ivi
Unatoka Yanga unaenda Azam? Bora angetafuta club ya nje...
Fei akienda Azam ntamshangaa sana, yaani atakua amekubali kuua career yake kwasababu ya maslahi ya muda mfupi let say miaka kama mitatu ivi
Unatoka Yanga unaenda Azam? Bora angetafuta club ya nje...
Roho nzuri ni kushadadia mgogoro wa jirani yako?Roho mbaya haijengi...
Bibi unafeli wapiAtaenda nje akitokea hapo.
Subiri tuone mjataba wake utakuwaje, maana Azam ni wafanya biashara na wanawekeza fedha nyingi kwenye mpira.
Tusitegemee huruma kwenye biashara.
Yani pale yangn angekomaa na haya mashindano ya kimataifa yangemuuza anaenda Azam hayo mashindano atacheza lini?. Least angekuwa hata kolo kucheza mashindano ya kimataifa na kuuza jina nje ingekuwa rahisKwa alivyopambana, sio wa kwenda Azam. Atakama mshahara wanaenda ku-double.
Mgogoro kama hauishi majirani tunaingilia katiRoho nzuri ni kushadadia mgogoro wa jirani yako?
😀 mangungu alishakuingiza chaka fei anakuja kwenu nini 🙄Magazeti nayo yanakuwaga na habari za kizushi sometimes
Kimaslahi sawa, kimpira ?Tuchukulie Azam wampe mshahara wa milioni 8 kwa mwezi. Hiyo ni tofauti ya milioni 4 kwa mwezi kulingana na aliyokuwa anapata. Hiyo ni ziada ya milioni 48 kwa mwaka. Hiyo ni ziada ya milioni 100 ndani ya miaka 3. Na hapo nimeweka kiwango cha chini cha milioni 8 tu na pia sijaangalia mazagazaga mengine mengi tu atakayoweza kupewa na Azam.
Kwenda Azam au Simba bado ni upgrade kwa Feisal kimaslahi na hata kimpira.
Sijasema abaki Yanga, angepata timu ya nje ingesaidia career yake, sasa unatoka Yanga unaenda Azam?huwa mnanishangaza sana huu mtazamo wenu. Yaani abaki yanga kwenye maslahi madogo kisa nini labda? Carrier?
Sasa aendee wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa alivyopambana, sio wa kwenda Azam. Atakama mshahara wanaenda ku-double.