Feisal Salum (Fei Toto) na Yanga kimeeleweka, kutambulishwa Azam muda wowote


Niliandika hapa jana kuhusu hili.
 
All the best kwake
 
Fei hakuna timu ya kumfanya akuze career yake bongo unless aongeze mshahara tu. Dogo mwenzie yule pale Sakho kaja na moto sana. Na Kila siku Simba ukiskia wameshinda bhas atatajwa kama mtu aliyenyunyiza. Yani ilikuwa mwendo wa minyunyizo tu... Sasa hivi hata wakimuacha pale Azam hawamachukui yule pimbi pamoja na kuwa na goli Bora afrika nzima mwaka ule... Hajifunzi tu?
 
Fei akienda Azam ntamshangaa sana, yaani atakua amekubali kuua career yake kwasababu ya maslahi ya muda mfupi let say miaka kama mitatu ivi

Unatoka Yanga unaenda Azam? Bora angetafuta club ya nje...
Ataenda nje akitokea hapo.

Subiri tuone mjataba wake utakuwaje, maana Azam ni wafanya biashara na wanawekeza fedha nyingi kwenye mpira.

Tusitegemee huruma kwenye biashara.
 
Fei akienda Azam ntamshangaa sana, yaani atakua amekubali kuua career yake kwasababu ya maslahi ya muda mfupi let say miaka kama mitatu ivi

Unatoka Yanga unaenda Azam? Bora angetafuta club ya nje...

huwa mnanishangaza sana huu mtazamo wenu. Yaani abaki yanga kwenye maslahi madogo kisa nini labda? Carrier?
 
Ataenda nje akitokea hapo.

Subiri tuone mjataba wake utakuwaje, maana Azam ni wafanya biashara na wanawekeza fedha nyingi kwenye mpira.

Tusitegemee huruma kwenye biashara.
Bibi unafeli wapi

Andika vizuri
 
Kimaslahi sawa, kimpira ?
 
huwa mnanishangaza sana huu mtazamo wenu. Yaani abaki yanga kwenye maslahi madogo kisa nini labda? Carrier?
Sijasema abaki Yanga, angepata timu ya nje ingesaidia career yake, sasa unatoka Yanga unaenda Azam?
 
Watu wanaongea tu kishabik we mwenyewe kampun nyingine ikikutaka ikasema inakupa mpunga mara2/3 zaid ya unachopewa kwenye kampuni unayofanyia kazi utabaki??? Au mnamsema tu Fei mwache aende Ronaldo mwenyew yupo Arabun huko kwasababu ya mpunga mrefu,,,!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…