Feisal Salum (Fei Toto) na Yanga kimeeleweka, kutambulishwa Azam muda wowote

Sijasema abaki Yanga, angepata timu ya nje ingesaidia career yake, sasa unatoka Yanga unaenda Azam?

Carrier ipi hapa bongo mzee? Kama nani labda? Hapa angalia pesa tu. Ang'ang'anie yanga kwenye maslahi madogo kwa lipi?
 
Fei ashukiru Mama ni WA kwao vinginevyo
 
Sijasema abaki Yanga, angepata timu ya nje ingesaidia career yake, sasa unatoka Yanga unaenda Azam?
Nje ya nchi ni Kwa wachache na ndio maana mayele hato ondoka yanga..........

Unakumbuka MAKAMBO? Kibongo bongo..... Nje ni Kwa wachache sana tena DEDICATED PLAYER...
 
Kimaslahi sawa, kimpira ?
Kimpira pia. Hakuna mchezaji asiyetamani kuchezea Simba. Tukiweka ushabiki pembeni kihadhi tu Simba iko juu zaidi ya Yanga, huo ndiyo UKWERII.

Malengo ya Simba msimu ujao ni kuendelea kupambana kutoboa kwenye Champions League wakati uwezekano mkubwa malengo ya Yanga yakawa kuendelea kupambania Kombe la Shirikisho maana wameona kuna urahisi zaidi (kupanga ni kuchagua), kwa hiyo kimpira pia Simba ni option bora zaidi kwake.
 
Kauli ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaonekana kutoa matunda baada ya tetesi zinazoeleza kuwa Azam Fc na Yanga Sc wamemalizana juu ya usajili wa kiungo, Feisal Salum Abdallah (Fei Toto).Ni muda wa takribani miezi sita kiungo huyo amekuwa na mgogoro na klabu yake ya sasa ya Yanga juu ya kuvunja mkataba wake hatua iliyopelekea mshauri kadhaa kujadiliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Yanga kuwa upande wa haki juu ya madai ya mchezaji huyo.

 
Fei akienda Azam ntamshangaa sana, yaani atakua amekubali kuua career yake kwasababu ya maslahi ya muda mfupi let say miaka kama mitatu ivi

Unatoka Yanga unaenda Azam? Bora angetafuta club ya nje...
kama ulikua hujui hii balaa yote wameileta azam
 
Hii italeta viburi kwa wachezaji wengi kutokuheshimu mikataba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…