Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Nadhani kama hatujaelewana. Otherwise, ungekubaliana nami kwamba Morison hawezi kuwa na mshahara mara 5 zaidi ya Feitoto. That means walitumia udhaifu wake. Ndo hicho tunachosema.Sawa basi kitaje hicho kima Cha chini Cha wachezaji tuone kama Yanga hawajafwata sheria
Kwani wewe unavyojua BOC inapatikanaje?Kwaio buy-out clause ya Feitoto ni milion 112??
Icho kipengele cha mchezaji kuuvunja mkataba hakijawekwa na manara.. kimewekwa na CAF ili kulinda hadhi za wachezaji kwenye sakata kama hili.Hakuna mtu alimlazimisha kusaini mil 4 yeye mwenyewe alisaini.
Watanzania tujifunze ku bargain sio kuja kulalamika mchango wangu mkubwa.
Labda ungefafanua kipi kimefanyika ndivyo sivyo..Mimi naamini kuna mengi yameongelewa na pande zote mbili kabla ya taarifa kuanza kuvuja..hapo wa kiwalaumu ni viongozi wa yangu..wamekuwaje wazembe Hadi kijana anaondoka? Walishindwa kumtimizia mahitaji yake? Walishindwa ku counter offer ofa ya Azam?Football ni biashara ila kilichofanyika kwa Fei kimefanyika kienyeji Sana
Ana wakala wake na watu wake wa karibu nadhani walipitia walikua na nafasi pia ya kusema kitu flani kiongezwe au kipunguzwe kwenye mkataba na wakaona unawafaa na akasaini sasa ushasaini alafu badae ndo uje useme wametumia udhaifu wako.Nadhani kama hatujaelewana. Otherwise, ungekubaliana nami kwamba Morison hawezi kuwa na mshahara mara 5 zaidi ya Feitoto. That means walitumia udhaifu wake. Ndo hicho tunachosema.
Manara anahusika vipi sasa hapa?Icho kipengele cha mchezaji kuuvunja mkataba hakijawekwa na manara.. kimewekwa na CAF ili kulinda hadhi za wachezaji kwenye sakata kama hili.
Hujawai kuajiriwa sehemu nn? Au unategemea mkataba uvunjweje?Rahisi tu ki ivyo mkuu?? You are not seriously
Toa namba za mkeo kwanzaKwa sisi tuaojua sheria za usajili wa wachezaji, hili swala la Feitoto na Yanga linawapa advantage Yanga kuendelea kummiliki mchezaji pamoja na mchezaji kuwa amelipia mkataba wake uliosalia..
Kitu pekee ambacho kitamruhusu Feitoto kucheza Azam ni pale tu uongozi wa Azam utakapokubaliana na uongozi wa Yanga.
Vinginevyo haitatokea mchezaji huyo kucheza timu tofauti na Yanga hadi pale mkataba wake na Yanga utakapoisha tarehe 30 June 2024
Feitoto akicheza Azam niitwe shoga na mke wangu achukuliwe akaliwe na popoma, pia nipigwe life ban humu JF.
Kuna kitu hukifahamu naomba nikufahamishe..mkataba wa mwanzo mnapoingia na mchezaji .haimaanishi kwamba hamuwezi kuifanyia marekebisho au maboresho kabla haujaisha..wakati mnamsign mlimpatia 4mil ila baada ya muda kiwango chake kikipanda mnabidi muuboreshe mkataba na kumshawishi aongeze muda ..mtu kama feisal huwezi kumlipa mil 4 kamwe..Azam kaja anataka mpa 10 mil kwa mwezi..njia pekee ya kumbakisha ni kumpa anachotaka pewa na Azam la sivyo mwache aendeHakuna mtu alimlazimisha kusaini mil 4 yeye mwenyewe alisaini.
Watanzania tujifunze ku bargain sio kuja kulalamika mchango wangu mkubwa.
Ni mpuuzi pekee anaweza kataa deal kama hili..dogo anavuja jasho Sana..anaambulia 4mil ..Kila mechi yupo dk 90..alafu kuna mgeni analipwa mara 3 yake wakati mchango wake haufikik hata robo ya anachofanya feisal..dogo aende Azam na hapo afanye kama njia ya kwenda nje kama samatta..Hela ziko nje huku ndani kelele tuFeisal Salum to Azam Fc ada ya Usajili Tsh. Mil.396 kwa kandarasi ya Miaka ya 3
NMshahara kwa mwezi Tsh.Mil 16,
Feisal amejiunga na Azam akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba wake na Yanga Sc uliosalia ambao ulikuwa unatamatika 2024,View attachment 2457030
Mi hayo unayonifahamisha nayafahamu kitambo sababu mpira sijaanza kufwatilia Leo.Kuna kitu hukifahamu naomba nikufahamishe..mkataba wa mwanzo mnapoingia na mchezaji .haimaanishi kwamba hamuwezi kuifanyia marekebisho au maboresho kabla haujaisha..wakati mnamsign mlimpatia 4mil ila baada ya muda kiwango chake kikipanda mnabidi muuboreshe mkataba na kumshawishi aongeze muda ..mtu kama feisal huwezi kumlipa mil 4 kamwe..Azam kaja anataka mpa 10 mil kwa mwezi..njia pekee ya kumbakisha ni kumpa anachotaka pewa na Azam la sivyo mwache aende
Manara alisema madini ya thamani kubwa ya M4 kwa mwezi hauzwi ngoo. CAF INASIMAMIA MPIRA NA HADHI ZA WACHEZAJI AFRIKA.Manara anahusika vipi sasa hapa?
Kingine mikataba yote ya wachezaji inafwata Miongozo iliyotolewa na FIFA sasa CAF anahusika vipi?
Ni vizuri ukajielimisha na sio kukurupuka.
Kwahiyo mkuu wewe na akili zako unamtumia manara kama reference yako?Manara alisema madini ya thamani kubwa ya M4 kwa mwezi hauzwi ngoo. CAF INASIMAMIA MPIRA NA HADHI ZA WACHEZAJI AFRIKA.
Ndo mwenye akili yanga nzimaKwahiyo mkuu wewe na akili zako unamtumia manara kama reference yako?
Manara anacheo gani pale Yanga mpaka aongelee mikataba ya wachezaji?
Hujaona alichopost siku mbili zilizopita akisisitiza yanga haitamuuza fei kwa vile anathamani kubwa? Au umeanza kufuatilia hizi habari leo?Kwahiyo mkuu wewe na akili zako unamtumia manara kama reference yako?
Manara anacheo gani pale Yanga mpaka aongelee mikataba ya wachezaji?
Manara kwasasa ni shabiki tu na anachoongea ni maoni yake kwa sasa hana cheo wala nafasi yoyote pale Yanga.Hujaona alichopost siku mbili zilizopita akisisitiza yanga haitamuuza fei kwa vile anathamani kubwa? Au umeanza kufuatilia hizi habari leo?