Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Unayajua mazungumzo ya awali mpaka wakakataa kumuongezea mshahara?.Yanga wanaaminisha watu kwamba hawajaongea kabla ila sio kweli walishaongea .Ameambiwa atumie njia sahihi ili kuuvunja mkataba, yeye anataka kuruka fensi ili ajiondokee kinyemela. So???