Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Sasa si aende au atume wawakilushi wake tutajua mbivu na mbichi....anashindwa Nini!?

Shida kwake ni Yanga hawajakiuka kipengele chochote cha mkataba....

Yeye kaviolate mkataba lazima wamalizane nae kinidhamu kwanza.....ndicho hofu yake...


Alafu kumbuka kwa muda uliobakiwa hakupaswa kurubuniwa na Timu yoyote.....labda angebakisha miezi sita....

Kwa Sasa ipo shida kwake!!?
Kwani adhabu haiwezi kutolewa akiwa hayupo eneo la mjadala?
 
Hakika elimu ni ukombozi wa maisha. Ukiwa umeelimika inakuwa sio rahisi mtu kukushikia akili, ukiwa na elimu sio rahisi kuendeshwa kama gari bovu, ukiwa na elimu sio rahisi kutumiwa kwa maslahi ya mtu bila wewe kujua.

Hata hivyo:

Unaweza kukosa Elimu ya kutosha lakini ukajaaliwa kuwa na Akili kubwa kuliko hata ya mwenye Elimu ,mfano mzuri ni kwa mchaga, mkinga na mpemba aliyeishia la nne ana akili kubwa ya biashara kuliko professor wa UDSM.
Na ndio maana wapo walioishia std 7 lakini wana akili kubwa sana na sio rahisi kushikiwa akili, sio rahisi kudanganywa, sio rahisi kuendeshwa.

Feisal yeye amekosa vyote, AKILI na ELIMU, ameshikiwa tu akili kwa maslahi ya hao waliomshikia akili. Nadhani angekuwa anacheza soka Ulaya angekuwa kama yule mchezaji nadhani anaitwa Eboue aliyefilisiwa mali na Mke. Eboue alikosa akili ya kujua dhamira ya ndani ya mke anayemuoa. Lakini tunashuhudia akili kubwa ya Hakhim jinsi alivyompiga chenga mke tapeli.

Kukosa Elimu ni bora kuliko Kukosa AKILI
😂😂😂😂 Kwamba watu wote wanaomzunguka hawawezi mshauri
 
Dogo ana kipaji cha kucheza mpira! Halafu amenyimwa akili ya kuchanganua mambo. Kweli inasikitisha na kuhuzunisha sana.

Yaani mkataba ulikuwa unaisha mwakani tu 2024, na hivyo angeweza kuondoka kama free agent! Alikuwa ana uwezo wa kukaa mezani na timu yake, ili kuboreshewa mkataba wake! Ila ndiyo hivyo tena. Ameamua kuchagua njia ya mkato.
Na sio kuboreshewa tu bali angekuwa ameongeza dhamani yake, lakini pia angeweza kuvunja mkataba kwa kufanya mashauriano na timu yake ili wakae mezani aondoke kwa heshima, tatizo lake alitumia wahuni wakina jemedari.
 
BASI UONGOZI WA YANGA WALIKUWA WAPUMBAVU KUMPA UNAODHA MPUMBAVU.

Muite

kweli kwa ANDIKO lako nasadiki kusema KWELI yanga WENYE AKILI NI WAWILI TU.

Manahodha yanga.

1.mwamnyeto.
2. FEISAL SALUM.
3. Dickson Job.
Sijui unaongea nini akili za Makolo bana, kwa akili ya kawaida huoni kubwa fei ametuhumiwa?
 
Yoyote anayemtetea Fei ni ama hajui masuala ya mikataba na sheria au anajitoa ufahamu kwa ushabiki.
Mimi ni Simba lakini itoshe kusema dogo ama ni mjingamjinga au kuna wapuuzi hawana dhamira naye njema wanampotosha kwa maslahi yao.
 
Ukikataliwa nyongeza unavyunja mkataba? ulisomea wapi wewe?
Mkataba unavunjwa kama party moja haitaki kuendelea ndo inaanzisha mutual agreement...

Katika kuvunjwa kwa mkataba lazima sehemu moja ndo inakuwa haijaridhia na ndo inaanza kudai ..Either yanga wangetaka wangemuambia labda kiwango chake hakiridhishi na yeye kaamua kuvunja kwa vile alipofika kiwango kipo juu na mshahara anataka wa juu.

Ulijua mkataba watu wanavunja vip? wakati upande mmoja ndo unaanzisha madai na kushirikisha upande wa pili madai yake.😅😅.

Clubs kubwa zinavunja mkataba kama mtu kiwango kimeshusha hata kama ana miaka 2 mbele na wanamshirikisha kwamba kiwango chako ni dhaifu naye anakubali.


Nyie mnakaza kichw kwa akili kwamba ataenda Simba au Azam basi hapo roho zenu hazitaki ila jambo lipo wazi kabisa..

Lazima pawe na mdai ndo akubaliane na upande wa pili.😅😅
 
We una elimu gani wakati hamna unachojua.

Mtu anapambani haki yake na ujinga wako eti elimu ,wewe imekusaidia nn? kama sip kuwa mnfiki halafu mwanaume.


Si wamuache mbona kama timu ipo vizuri kwani wanapoteza nn ?


Mashabiki wa mpira wengi ni hamnazo kila sehemu unapeleka siasa kwa elimu gani uliyokuwa nayo ? hyo elimu ya kuiba mitihani na kucopy assignments & research ndo unakuja kuandika mashudu?
Ameambiwa atumie njia sahihi ili kuuvunja mkataba, yeye anataka kuruka fensi ili ajiondokee kinyemela. So???
 
Back
Top Bottom