Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Anapotea wapi si mumuache kama sio shobo mgando ni nn?[emoji28][emoji28][emoji23]

Timu nzima na wafuasi wake wote vilaza ..Haya wewe unanufaika na nn unaishi Tandale ndani ndani muache dogo wa watu akapate pesa.
Huna Akili kama mama Ake Fei.....[emoji1787][emoji1787]

Mikataba sio ujinga .....endeleeni kushupaza shingo
 
Hela za huruma zilitolewa kipindi cha bakuli, mlipiga kampeni kwenye tv kila time kulikuwa kuna maandishi yanayosomeka changia Yanga.

Scars

Sijakuelewa ulichoandika mkuu???

Ila nafikiria kama kuna kitu chakuogopa ni huruma.
 
Wanasheria wanavyomdanganya ni kuwa, ni kweli atashindwa kesi CAS, ila kwa vile Mchezaji hana furaha na Team yake, Watavunja Mkataba wake kwa yy kupigwa Fine, then hiyo Team inayomtaka itamlipia fine basi.
Sasa kama anajua anaenda shindwa CAS na bado atatakiwa lipa fine kwa nini asirudi mezani wayamalize aende timu anayotaka.?

Anaenda poteza 100mil CAS bila sababu yoyote.
 
Mikataba havunjiki kwa Akili za kijinga kama zenu...

Sheria, kanuni, taratibu na vitu vya aina hii vikiiukwa labda.....mengine kaleni ugali na Sukari,[emoji23][emoji23]
Kanuni zipi maana hata mkataba hajawahi kuoana unapiga kelele😂😂.

Nyie mnataka kumkoa hamna la maana eti Yule Azizi k apewa mil 26 then Dogo apewa 4 mna akili kweli?

Ulivyokuwa kilaza unashabikia huku Aziz k kwa kazi anayofanya pale Yanga?
 
Kanuni zipi maana hata mkataba hajawahi kuoana unapiga kelele[emoji23][emoji23].

Nyie mnataka kumkoa hamna la maana eti Yule Azizi k apewa mil 26 then Dogo apewa 4 mna akili kweli?

Ulivyokuwa kilaza unashabikia huku Aziz k kwa kazi anayofanya pale Yanga?
Huyo mwehu Fei ana profile ya kumfikia Aziz K...??

Kamtu kametokea unguja huko kakacheza singida united....tena kaka letwa Yanga kwa shukrani za Mwigulu ndio kamshinde mshahara Aziz...

Kwa cv Gani !? Umerogwa sio Bure!!?
Hana Thamani hiyo,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo mwehu Fei ana profile ya kumfikia Aziz K...??

Kamtu kametokea unguja huko kakacheza singida united....tena kaka letwa Yanga kwa shukrani za Mwigulu ndio kamshinde mshahara Aziz...

Kwa cv Gani !? Umerogwa sio Bure!!?
Hana Thamani hiyo,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshamba nn huyo Azizi k Nyie wajinga ndo mnamuona mchezaji wa maana .

Maana ndo akili zenu zimefikia mwisho ...Cv ya nyoko mtu si anataka kusepa si mumpe ruksa asepe!

Huoni kama nyie ndo ving'ang'anizi ?
 
Mshamba nn huyo Azizi k Nyie wajinga ndo mnamuona mchezaji wa maana .

Maana ndo akili zenu zimefikia mwisho ...Cv ya nyoko mtu si anataka kusepa si mumpe ruksa asepe!

Huoni kama nyie ndo ving'ang'anizi ?
Hakuna kusepa kihunj we mama....taratibu lazima zifuatwe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama mnamtaka nendeni Yanga pale mtauziwa hata Bure..... Mbumbumbu [emoji24] mnashindwa nini!?
 
Hakuna kusepa kihunj we mama....taratibu lazima zifuatwe...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kama mnamtaka nendeni Yanga pale mtauziwa hata Bure..... Mbumbumbu [emoji24] mnashindwa nini!?
Tafuta pesa kijana muache mtu apambanie maslahi yake.

Wewe na elimu yako ya uwizi wa mitihani hamna kitu unajua na unashindwa kupambania maslahi yako kwa uoga.
 
Tafuta pesa kijana muache mtu apambanie maslahi yake.

Wewe na elimu yako ya uwizi wa mitihani hamna kitu unajua na unashindwa kupambania maslahi yako kwa uoga.
We Bora utafute bwana uolewe....huna unachojua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom