Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kumnyoosha Fei. Sioni popote ambapo Yanga inaweza mkomoa Fei unless iwezeshe yeye kufungiwa soka.Una nipinga wapi?![emoji16][emoji16][emoji16]
Ili baadae usimuulize nani kampa hiyo pesa.Kama ana zaidi ya mil. 200 kwenye akaunti yake kwa nini anaomba achangiwe pesa za kuendesha kesi??!!
Sahihi....Kwenye kumnyoosha Fei. Sioni popote ambapo Yanga inaweza mkomoa Fei unless iwezeshe yeye kufungiwa soka.
🤝Sahihi....
Mama ndio mpumbavu kuliko yeye. Kwa kifupi dogo amezama na kujikwamua haweziAna mama
Wewe ndio huna akili kuliko Feisal na Mama yeke. Haki ipi aliyonyimwa huyo mbumbumbu mwenzio?We una elimu gani wakati hamna unachojua.
Mtu anapambani haki yake na ujinga wako eti elimu ,wewe imekusaidia nn? kama sip kuwa mnfiki halafu mwanaume.
Si wamuache mbona kama timu ipo vizuri kwani wanapoteza nn ?
Mashabiki wa mpira wengi ni hamnazo kila sehemu unapeleka siasa kwa elimu gani uliyokuwa nayo ? hyo elimu ya kuiba mitihani na kucopy assignments & research ndo unakuja kuandika mashudu?
Tutasema tunashukuru kirusi kilikaa pembeni tukafika fainali ya CCC na ikiwezekana tutabeba ubingwa huoHaya mfano akashinda KESI, Mtakuja msemeje humu ndani.
Simsapoti kabisa ila aina upende maana sjui Nini ttzo tunaongea bila kujua Kuna shid gani nje ya uwanja .
HAUJIULIZI kwa nini utopolo wanamganda feisal?huyo ndo anabeba mizigo ya wazee alafu analipwa hela ndogo.kachoka kubeba uchawiHuu nao ni aina nyingine ya.... mbav
Kwani tangu mwaka Jana aondoke umeona timu ikifanya vibaya kisa mbeba vibuyu hayupo? Tumia kichwa kufikiriWasiokuwa na akili ni utopolo mchezaji hataki kubeba vibuyu bado mnamlazimisha mwambieni mganga wenu achague mchezaji mwingine ambebeshe mizigo
😅😅Wanyonyaji watu washachoka.Ombi linaweza kubaliwa na kukataliwa na Mkataba wako ukasubiri uishe usepe!
wapi Mkataba unasema kuomba kuongezewa mshahara kutasababisha, mkataba uvunjike au usitumikie Mkataba wako....!?
Tumia akili
Umeona vipengele vya mkataba au shobo ?Ulienda nae? maana Yanga washa toa wito wa maandishi kua aende yeye au wa wakilishi wake hatujaona ameenda au barua yake kama Yanga walivyo fanya
Si kukosa akili, lakini kuuliza kwa mtindo huu wa uulizaji ni zaidi ya kukosa akiliKwahiyo mtu kudai haki yake ni kukosa akili ???
Uliona wapi CAS wanavunja mikataba halali?Wanasheria wanavyomdanganya ni kuwa, ni kweli atashindwa kesi CAS, ila kwa vile Mchezaji hana furaha na Team yake, Watavunja Mkataba wake kwa yy kupigwa Fine, then hiyo Team inayomtaka itamlipia fine basi.
Ungekaa kimya tusingejua kama hujui, mkataba alilazimishwa kusaini? Leo Ronaldo analipwa zaidi ya B 1 kwa wiki na anazurura tu uwanjani, kwa hiyo anayelipwa kidogo agome kwamba ananyanyaswa.FEISAL Milioni 4.
Azizi ki 24.
Kweli inaingia akilini??????
NB.
HAKUNA MKATABA USIOVUJWA DUNIANI.
Wewe uliona barua yake?Yanga haina taarifa kuwa Fei anataka kuvunja mkataba?
Usitumie nguvu kubwa kumuelimisha mbumbumbu hawaelewi hawaHaya malalamiko yako yamekaa kingumbalu sana. Ulitaka hiyo mishahara yao ilingane? Na uliwahi kuona wapi wachezaji wanalipwa mishahara sawa?
Au unataka kuniambia Clotus Chama na Jonas Mkude mwenye miaka zaidi ya 10 pale simba wanalipwa mshahara sawa?
Je, unafahamu msugua benchi Eden Hazard analipwa mshahara mkubwa Real Madrid kuliko hata wale wachezaji wanaocheza kila wiki! Lakini huwezi kuwaona wakiingiwa na wivu kama huyo kiazi wenu!!
Ibrahimu Abdallah 'Bacca' ameongezewa mshahara mwezi uliopita tu, baada ya kuonesha juhudi uwanjani! Je, ulimsikia akilalamika kwa nini Mamadou Doumbia anaye sugua benchi muda mwingi, alikuwa analipwa mshahara mkubwa kuliko yeye?
Ni kwa sababu kila mtu aliingia Yanga kwa mkataba wake, na pia kwa makubaliano yake na klabu.
Sikukuuliza wewe boss. Niliyemuuliza tumeshamalizana.Wewe uliona barua yake?
Umechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Wanyonyaji watu washachoka.
Anapotea wapi si mumuache kama sio shobo mgando ni nn?😅😅😂Umechanganyikiwa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mnampoteza kijana weni ktk ulimwengu wa Soka