Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wakati anasaini Mkataba alilazimishwa!?Mtu hawataki, mnamlazimisha
Kuna kitu Club imemfanyia mpaka dogo ameamua kuikachaTayari ameshavuna AIBU maana amekaa nje na Yanga imefika Fainali
Yanga wametoa option kuwa aende yeye au timu inayomtaka iende ila haijasema ni nn anachotakiwa kufanya kuvunja mkataba wake.Yanga si wamemuita Klabuni na kumuelekeza Nini anatakiwa kufanya ...au!?
Gharama Fei hajawahi sema kuwa ni tatizo. Ndo maana nasema kuna jambo Yanga na Fei hawalisemi. Yanga ingesema lipa kiasi fulani uondoke na sababu halafu Fei akagoma hapo tungeweza kupima moja kwa moja nani muhuni.Hakuna suala kuachiwa huru hapo,, Kuna kulipa gharama
Ni kinyume na kuachiwa huru
Kwani sababu ya Fei kuondoka ni kuiteteresha Yanga au kupata maslahi mazuri nje ya Yanga?Tayari ameshavuna AIBU maana amekaa nje na Yanga imefika Fainali
Mkataba halali ndio hauvunjiki?Hoja hapa ni mkataba halali aliosaini kwa hiari...ckuiz hakuna mambo ya kupenda timu wala sio takwa la mkataba.....
Sasa si aende au atume wawakilushi wake tutajua mbivu na mbichi....anashindwa Nini!?Yanga wametoa option kuwa aende yeye au timu inayomtaka iende ila haijasema ni nn anachotakiwa kufanya kuvunja mkataba wake.
Hapa ndo kunaposhangaza pia. Kwann Fei asiende akarudi akisema masharti nimepewa ni haya na hayatekelezeki?
Avunje kama ni rahisi kiivyo.....ukanywe alkasusu alafu uje useme navunja Mkataba tu....Mkataba halali ndio hauvunjiki?
Termination of contract ina vipengele vingapi?
Hujajibu swali, huu sio mjadala wa walevi unahitaji kuja na hoja.Avunje kama ni rahisi kiivyo.....ukanywe alkasusu alafu uje useme navunja Mkataba tu....
Punguza Bangi...
Aende akawaeleze na nia yake ya kuvunja Mkataba...Tujue Yanga watamwambia niniGharama Fei hajawahi sema kuwa ni tatizo. Ndo maana nasema kuna jambo Yanga na Fei hawalisemi. Yanga ingesema lipa kiasi fulani uondoke na sababu halafu Fei akagoma hapo tungeweza kupima moja kwa moja nani muhuni.
Kwa hiyo hakuna sababu ya kwenda, asubirie kiwango cha faini ili kama hakilipiki ndo aende.Sasa si aende au atume wawakilushi wake tutajua mbivu na mbichi....anashindwa Nini!?
Shida kwake ni Yanga hawajakiuka kipengele chochote cha mkataba....
Yeye kaviolate mkataba lazima wamalizane nae kinidhamu kwanza.....ndicho hofu yake...
Alafu kumbuka kwa muda uliobakiwa hakupaswa kurubuniwa na Timu yoyote.....labda angebakisha miezi sita....
Kwa Sasa ipo shida kwake!!?
Hapa sikupingi.Aende akawaeleze na nia yake ya kuvunja Mkataba...Tujue Yanga watamwambia nini
Kwenda ni lazima ....kiburi kitamfikisha pabaya....Kwa hiyo hakuna sababu ya kwenda, asubirie kiwango cha faini ili kama hakilipiki ndo aende.
Una nipinga wapi?![emoji16][emoji16][emoji16]Hapa sikupingi.
Mwishowe itajulikana, Kijana atapata haki yake.😅😅Wewe zero kabisa.
Mwenzio anayo sababu kwamba ombi lake la kuongezewa mshahara halikupatiwa majibu akaomba wavunje mktaba na mkataba anaujua kushinda wewe mkaaa kijiwe cha bodaboda.
Kila upande una haki zake, tusubiri tuYanga taarifa hiyo wataipata wapi!? Mchezaji haonekani kambini!? anakiuka masharti ya mkataba wa kuutumikia timu....
Anaandikiwa barua hajibu .....anazurula TFF....TFF wanamrudisha Klabuni akafuate TARATIBU ..,atekelezi...
Yanga sio wajinga.
Adhabu na kulipa gharama pia ni Haki....Kila upande una haki zake, tusubiri tu
Mfano kwa soka la dunia hii hii ya kina mancity na liverpool? Hapa umekuza.Kwenda ni lazima ....kiburi kitamfikisha pabaya....
Ni Bora akasikia mapema akaenda tu...atakuwa Funzo kwa soka la Africa na Dunia , Wacha ashupaze shingo tu