Feisal Salum kakosa Elimu na Akili

Ameambiwa atumie njia sahihi ili kuuvunja mkataba, yeye anataka kuruka fensi ili ajiondokee kinyemela. So???
Unayajua mazungumzo ya awali mpaka wakakataa kumuongezea mshahara?.Yanga wanaaminisha watu kwamba hawajaongea kabla ila sio kweli walishaongea .
 
Michango ipi wazee wa bakuli[emoji28][emoji28][emoji28].

Si mlikuwa mnapitisha bakuli
Enzi hizo zimepita we mama[emoji23][emoji23][emoji23] au ugali na Sukari umekupa sonona....

Watu ni Mwendo wa Fainali, medali, vikombe na kumwagiwa mihela....[emoji23][emoji23][emoji23]

Mmefikisha shilingi ngapi..? kesho baada ya mechi tutuwaongezea michango ...Muwahi CAS[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nyie ndo mmeanza kutembeza bakuli ni aibu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Your browser is not able to display this video.

Tumtakie kila lenye heri Mwenyezi Mungu ampe hikima
 
Ndio hicho ambacho mimi nimekuwa nikikisema humu. Mkataba umevunjika kwa njia ambayo sio ya kiutaratibu kivipi maamuzi yatolewe kuwa aendelee kusalia kwenye hiyo Club badala ya kumuadhibu kisha aondoke?

Siku zote mimi hoja yangu iko hapo tu

Ni sawa mkuu Scars
 
Naamin hata akienda CAS na akashinda Kesi Feisal lazima awe liable for damages alizoifanyia Yanga
Sababu yeye ndo amepelekea Yanga kufanya usajili wa wachezaji wapya kuziba nafasi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…